Aliyekuwa mpinga ufasadi na spika wa bunge mh. Samuel Sitta kwa mtazamo wangu amejimaliza kabisa kisiasa. Nasema hivyo kwani kwa kukubali kubaki na kungojea cheo atakachopewa na JK(nasema anangojea cheo kwani sioni sababu nyingine ambayo ingemfanya abaki CCM baada ya kujeruhiwa hivyo), ni kwamba amekubali kununuliwa na hawezi kupinga ufisadi kwenye chama ambacho ni cha kifisadi.
Hii inamaanisha kwamba juhudi zake zote za kupinga ufisadi ni sifuri kama amekubali kumkumbatia JK na pia kwa kukubali kubaki kwenye chama kilichomjeruhi vibaya sana katika kinyang'anyiro cha uspika. Yote aliyoyafanya nyuma kwangu mimi yanakuwa hayana maana tena kwani amerudi kundini kwa mafisadi hata kama yeye si fisadi, lakini ndo keshamkumbatia bosi wake ambaye ni fisadi.
Kumpinga itakuwa ngumu sana kama atapewa ulaji naJK, na hata akipinga havitakuwa na nguvu akiwa ndani ya chama kwani atakuwa keshawekwa mfukoni kwa kupewa ulaji. Mh. Sitta nae anaonyesha nae ana njaa kwani hamna sababu ambayo ingemfanya aendelee kubaki ndani ya CCM kama si njaa na kusubiria kupozwa cheo. Inamaanisha nae anapenda cheo kuliko wananchi aliodai anawapenda sana na anatetea maslahi yake. Sikutegemea kwa mtu mwenye busara kama yeye bado angebaki CCM.
Kwangu mimi ni kwamba amekwisha vunjwa miguu kabisaa. Na hatakuwa tena na nguvu za kupiga vita ufisadi kama JK atampa ulaji. Na hii ina apply kwa wapinga ufisadi wote walio ndani ya CCM hawatakuwa na nguvu sana ya kupambana na ufisadi kwani sasa hivi vigezo vya CCM ni kwamba kama unataka kuwa mwana CCM mzuri, criteria ya kwanza ni either usipinge ufisadi au uwe neutral.
Kwa kifupi CCM ni chama chenye viongozi wanao encourage ufisadi na hivyo inakuwa ndio itikadi ya chama na wanachama wake wote! Huwezi kupinga ufisadi vizuri ukiwa ndani ya chama cha wasanii na majangili kama kina Rostam, Lowassa, Makamba, JK n.k. Watakumaliza tu! Hivyo mh. Sitta kabla hujachelewa ondoka CCM! Hujachelewa!
Huyu ni bonge la mnafiki ambaye mimi naona tayari kashalipia gharama ya unafiki wake.
Mtazamo kwa mtazamo, Skeleton kumbuka kwamba Sitta aliomba ridhaa kwa wana urambo ili aweze kuwawakilisha Bungen kwa kuwa Mbunge wao, kumbe basi mengine ni matokeo tu ya kuwa Mbunge. Ni dhahiri kuwa baada kuupata ubunge alipenda kuwa Spika, lakini CC ikaamua vinginevyo. Sasa, kwa kuukosa uspika ndo sababu ya kuhama chama? Ungewafaa nini uamuzi huo wana urambo ambao walimwamini na kumpa ridhaa ya kuwawakilisha? Unakumbuka falasafa yake ya kwamba kazi ya siasa inahitaji kuwa na ngozi ngumu? Hebu mtafakari tena katika angle hiyo.Aliyekuwa mpinga ufasadi na spika wa bunge mh. Samuel Sitta kwa mtazamo wangu amejimaliza kabisa kisiasa. Nasema hivyo kwani kwa kukubali kubaki na kungojea cheo atakachopewa na JK(nasema anangojea cheo kwani sioni sababu nyingine ambayo ingemfanya abaki CCM baada ya kujeruhiwa hivyo), ni kwamba amekubali kununuliwa na hawezi kupinga ufisadi kwenye chama ambacho ni cha kifisadi. Hii inamaanisha kwamba juhudi zake zote za kupinga ufisadi ni sifuri kama amekubali kumkumbatia JK na pia kwa kukubali kubaki kwenye chama kilichomjeruhi vibaya sana katika kinyang'anyiro cha uspika. Yote aliyoyafanya nyuma kwangu mimi yanakuwa hayana maana tena kwani amerudi kundini kwa mafisadi hata kama yeye si fisadi, lakini ndo keshamkumbatia bosi wake ambaye ni fisadi. Kumpinga itakuwa ngumu sana kama atapewa ulaji naJK, na hata akipinga havitakuwa na nguvu akiwa ndani ya chama kwani atakuwa keshawekwa mfukoni kwa kupewa ulaji. Mh. Sitta nae anaonyesha nae ana njaa kwani hamna sababu ambayo ingemfanya aendelee kubaki ndani ya CCM kama si njaa na kusubiria kupozwa cheo. Inamaanisha nae anapenda cheo kuliko wananchi aliodai anawapenda sana na anatetea maslahi yake. Sikutegemea kwa mtu mwenye busara kama yeye bado angebaki CCM. Kwangu mimi ni kwamba amekwisha vunjwa miguu kabisaa. Na hatakuwa tena na nguvu za kupiga vita ufisadi kama JK atampa ulaji. Na hii ina apply kwa wapinga ufisadi wote walio ndani ya CCM hawatakuwa na nguvu sana ya kupambana na ufisadi kwani sasa hivi vigezo vya CCM ni kwamba kama unataka kuwa mwana CCM mzuri, criteria ya kwanza ni either usipinge ufisadi au uwe neutral. Kwa kifupi CCM ni chama chenye viongozi wanao encourage ufisadi na hivyo inakuwa ndio itikadi ya chama na wanachama wake wote! Huwezi kupinga ufisadi vizuri ukiwa ndani ya chama cha wasanii na majangili kama kina Rostam, Lowassa, Makamba, JK n.k. Watakumaliza tu! Hivyo mh. Sitta kabla hujachelewa ondoka CCM! Hujachelewa!
Nawashangaa mnaosema Sitta kajiua kisiasa wakati ametangaza kustaafu siasa 5 years to come na anataka apumzike na familia yake ale pension yake. Any way kitu chochote kinachoonekana kuwafurahisha wanachadema hata kama ni pumba lazima kiletwe hapa. Badilikeni
Angelistaafu siasa kwa heshima na taadhima na watu wasingemsahau kama angejitoa toka CCM lakini kwa aina hii ya kusubiri apewe cheo cha uwaziri ni kutetea zaidi ulaji wake na si kwa ajili ya wananchi kama anavyodai siku zote.
Kama akiondoka CCM basi maisha yake yanaweza kuwa hatarini. Kumbuka kina Malima, Kolimba. CCM ni chama cha FreeMason.
CCM-FreeMason, wapo tayari kummaliza mtu yoyote kimaisha iwapo mtu huyo, ataleta athari ktk CCM-FreeMason. Nchi yetu ishaliwa na hawa wezi CCM-Mason.
Sasa ana uhakika gani kuwa huo sio muendelezo wa kummaliza ambao ulishanza?
Aliyekuwa mpinga ufasadi na spika wa bunge mh. Samuel Sitta kwa mtazamo wangu amejimaliza kabisa kisiasa. Nasema hivyo kwani kwa kukubali kubaki na kungojea cheo atakachopewa na JK(nasema anangojea cheo kwani sioni sababu nyingine ambayo ingemfanya abaki CCM baada ya kujeruhiwa hivyo), ni kwamba amekubali kununuliwa na hawezi kupinga ufisadi kwenye chama ambacho ni cha kifisadi. Hii inamaanisha kwamba juhudi zake zote za kupinga ufisadi ni sifuri kama amekubali kumkumbatia JK na pia kwa kukubali kubaki kwenye chama kilichomjeruhi vibaya sana katika kinyang'anyiro cha uspika. Yote aliyoyafanya nyuma kwangu mimi yanakuwa hayana maana tena kwani amerudi kundini kwa mafisadi hata kama yeye si fisadi, lakini ndo keshamkumbatia bosi wake ambaye ni fisadi. Kumpinga itakuwa ngumu sana kama atapewa ulaji naJK, na hata akipinga havitakuwa na nguvu akiwa ndani ya chama kwani atakuwa keshawekwa mfukoni kwa kupewa ulaji. Mh. Sitta nae anaonyesha nae ana njaa kwani hamna sababu ambayo ingemfanya aendelee kubaki ndani ya CCM kama si njaa na kusubiria kupozwa cheo. Inamaanisha nae anapenda cheo kuliko wananchi aliodai anawapenda sana na anatetea maslahi yake. Sikutegemea kwa mtu mwenye busara kama yeye bado angebaki CCM. Kwangu mimi ni kwamba amekwisha vunjwa miguu kabisaa. Na hatakuwa tena na nguvu za kupiga vita ufisadi kama JK atampa ulaji. Na hii ina apply kwa wapinga ufisadi wote walio ndani ya CCM hawatakuwa na nguvu sana ya kupambana na ufisadi kwani sasa hivi vigezo vya CCM ni kwamba kama unataka kuwa mwana CCM mzuri, criteria ya kwanza ni either usipinge ufisadi au uwe neutral. Kwa kifupi CCM ni chama chenye viongozi wanao encourage ufisadi na hivyo inakuwa ndio itikadi ya chama na wanachama wake wote! Huwezi kupinga ufisadi vizuri ukiwa ndani ya chama cha wasanii na majangili kama kina Rostam, Lowassa, Makamba, JK n.k. Watakumaliza tu! Hivyo mh. Sitta kabla hujachelewa ondoka CCM! Hujachelewa!