Elections 2010 Sitta: Kutoka Uspika hadi Uwaziri; safari ya anguko inakaribia

Hapo kazi ipo, lakini kwa taratibu za serikali lazima mhusika alijua na alikubali hiyo post......
 
dharau kubwa sana, sijui atafanya nini kule..yaani wamemmaliza kabisa. mwakyembe ndo ameponea chupuchupu....hapa tz ni ajabu sana, utashangaaa mwanasheria wanaenda kumuweka waziri anayeshughulikia mambo ya kujenga mabarabara, injinia wanaenda kumuweka ashughulikie sheria, hahaha, mwakyembe, sitta etc ni wanasheria, lakini walikopelekwa, ni kusumbua nafsi tu.
 
JK amemvunjia heshima Sitta kwa kukubali aondolewe kwenye uspika, kazi aliyokuwa anaifanya kwa umahiri mkubwa. Lakini hili la kumteua kuwa waziri kwenye ka-wizara ka Afrrika Mashariki ni dharau kubwa zaidi kwa mtu wa hadhi ya Sitta. Ngoje tusikilizie, ila sidhani kama Sitta ataikubali hii post.
 
Kuna mdau alianzisha thread kwamba Sita kakataa hiyo post.
Sijui imefikia wapi?

Ndibalema kama angekataa wala asingetangazwa wanaochaguliwa wanajulishwa kwanza. Labda aliyekataa Wizara anaweza kuwa Prof Tibaijuka. Ni hisia zangu JK alitaka kumficha tibaijuka pengine inawezekana mama alikomaa kama hutaki kuniweka ardhi niache tu. Time will tell as event unfold.

BTW
Sioni kwa nn JK alichukua muda kuunda baraza lake au ni katika kujaribu kutuonyesha yuko serious na " Unpredicatble".
 
kama Samuel Sitta ataridhia uteuzi wake wa kuwa Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki ambao amesema utamshushia hadhi.
Sitta alikuwa amechukua fomu za kutaka achaguliwe tena kuliongoza Bunge la Jamhuri ya Muungano lakini CCM ikamuengua kwa kile ilichoeleza kuwa ni kutaka wanawake waongoze moja ya mihimili ya nchi.
Kuenguliwa kwake kulifanya wengi wabashiri kuwa Rais Kikwete angempa wizara nyeti kama ya Katiba na Sheria ili aongoze mabadiliko ya katiba baada ya Zanzibar, lakini jana alitangazwa kushika wizara hiyo ya ushirikiano wa Afrika Mashariki.

“Hili baraza limeundwa kujenga utawala wa kifisadi, kazi ya Baraza la Mawaziri si kumlinda rais ni kuwahudumia Watanzania; hizi si sura sahihi.”

“Uteuzi huu si kwa ajili ya maslahi ya Watanzania; baraza hili la mawaziri ni maafa makubwa. Nchi ya Ujerumani ina mawaziri 14, Marekani hawazidi 30, lakini sisi ndio tunaendeleza kufurahishana. Nakwambia baada ya miaka mitano nchi hii itakuwa imekwisha kabisa,” alisema Mchungaji Mtikila.
Naye mwenyekiti wa TLP, Augustine Mrema alisema Kikwete anatakiwa kuwa mkali kwa baraza hilo ili mawaziri wake wasifanye mzaha.
 
Kuna watu hatari sana kwa career za wenzao na Watanzania kwa ujumla. Niwaite wapambe nuksi. Sitta is smart enough hawezi kuingia kwenye mtego wako wa kukataa kazi hii.

Wale uliowapamba waquit hotuba ya Rais, kwamba watu wangewashangaa kama wangebaki bungeni kuisikiliza, wanarethink uamuzi ule. Records zipo humu.

Upotoshaji, upambe nuksi ni hatari. Subiri utapopopewa position utushangaze kwa kuikubali au kuikataa.
 
kama Samuel Sitta ataridhia uteuzi wake wa kuwa Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki ambao amesema utamshushia hadhi.
Sitta alikuwa amechukua fomu za kutaka achaguliwe tena kuliongoza Bunge la Jamhuri ya Muungano lakini CCM ikamuengua kwa kile ilichoeleza kuwa ni kutaka wanawake waongoze moja ya mihimili ya nchi.
Kuenguliwa kwake kulifanya wengi wabashiri kuwa Rais Kikwete angempa wizara nyeti kama ya Katiba na Sheria ili aongoze mabadiliko ya katiba baada ya Zanzibar, lakini jana alitangazwa kushika wizara hiyo ya ushirikiano wa Afrika Mashariki.

Asiye sikia lamkuu huvunjika Guu,, We subiri tu,, huyu Kikwete aliambiwa na Ng'hili lakin hasikii tu

"Hili baraza limeundwa kujenga utawala wa kifisadi, kazi ya Baraza la Mawaziri si kumlinda rais ni kuwahudumia Watanzania; hizi si sura sahihi."

"Uteuzi huu si kwa ajili ya maslahi ya Watanzania; baraza hili la mawaziri ni maafa makubwa. Nchi ya Ujerumani ina mawaziri 14, Marekani hawazidi 30, lakini sisi ndio tunaendeleza kufurahishana. Nakwambia baada ya miaka mitano nchi hii itakuwa imekwisha kabisa," alisema Mchungaji Mtikila.
Naye mwenyekiti wa TLP, Augustine Mrema alisema Kikwete anatakiwa kuwa mkali kwa baraza hilo ili mawaziri wake wasifanye mzaha.

Asiye sikia la mkuu huvunjika Mguu kama ni tusi basi na mimi nikamatwe
 
Hivi ni kwli sitta kasema uteuzi huo umemshushia hadhi? If that is the case, Kiketwe should replace him with immediate effect!
 
kama samuel sitta ataridhia uteuzi wake wa kuwa waziri wa ushirikiano wa afrika mashariki ambao amesema utamshushia hadhi.
Sitta alikuwa amechukua fomu za kutaka achaguliwe tena kuliongoza bunge la jamhuri ya muungano lakini ccm ikamuengua kwa kile ilichoeleza kuwa ni kutaka wanawake waongoze moja ya mihimili ya nchi.
Kuenguliwa kwake kulifanya wengi wabashiri kuwa rais kikwete angempa wizara nyeti kama ya katiba na sheria ili aongoze mabadiliko ya katiba baada ya zanzibar, lakini jana alitangazwa kushika wizara hiyo ya ushirikiano wa afrika mashariki.

“hili baraza limeundwa kujenga utawala wa kifisadi, kazi ya baraza la mawaziri si kumlinda rais ni kuwahudumia watanzania; hizi si sura sahihi.”

“uteuzi huu si kwa ajili ya maslahi ya watanzania; baraza hili la mawaziri ni maafa makubwa. Nchi ya ujerumani ina mawaziri 14, marekani hawazidi 30, lakini sisi ndio tunaendeleza kufurahishana. Nakwambia baada ya miaka mitano nchi hii itakuwa imekwisha kabisa,” alisema mchungaji mtikila.
Naye mwenyekiti wa tlp, augustine mrema alisema kikwete anatakiwa kuwa mkali kwa baraza hilo ili mawaziri wake wasifanye mzaha.
huyu mnyamwezi ana njaa sana hawezi kukataa hiyo nafasi na angekuwa hana njaa umri wake na madaraka aliyowahi kuwa nayo hastahili hata kugombea ubunge,njaa kali lazima akubalia
 
Kuna watu hatari sana kwa career za wenzao na Watanzania kwa ujumla. Niwaite wapambe nuksi. Sitta is smart enough hawezi kuingia kwenye mtego wako wa kukataa kazi hii.

Wale uliowapamba waquit hotuba ya Rais, kwamba watu wangewashangaa kama wangebaki bungeni kuisikiliza, wanarethink uamuzi ule. Records zipo humu.

Upotoshaji, upambe nuksi ni hatari. Subiri utapopopewa position utushangaze kwa kuikubali au kuikataa.


HUITAKII MAENDELEO NCHI YAKO,JARIBU KUFIKIRIA KIDOGO NA UJIFUNZE KIDOGO TU WAJIBU WA NYAMA VYA SIASA,KWA KIDOGEZO TU kwanza ni kuikosoa/kuwakosoa walioko madarakani ili wawajibike MENGINE..................
 
Nani anakataa ulaji labda awe mwendawazimu. Kwani mshahara wa mawaziri unatofautiana? kila waziri si analipwa mshahara unaolingana na mwenzake. Labda kama mnaongelea mishahara ya kuiba
 
Jamani muwe mnazunguka kuangalia threads, hii mbona ilishaletwa hapa jamvini? Mods vipi hii kitu?
 
Sio wote wenye akili ndogo kama wewe. Kwa nini akatae? Sita sio mbowe na genge lake.
Kama huna la kujibu si unyamazeya nini kuonyesha chuki yako kwa Mbowe ambaye sio alianzisha hii mada,una matatizo wewe jibu hoja sio kuingiza watu wasio husika
 
Sio wote wenye akili ndogo kama wewe. Kwa nini akatae? Sita sio mbowe na genge lake.
Kama huna la kujibu ungeacha tuu badala ya kuonyesha chuki yako kwa Mbowe ambaye hahusiki na mada hii jibu hoja yake sio kupindisha kwa kuhusisha watu wasio husika halafu tumia akili kubadilika akina mbowe wanatumia haki yao ya kikatiba kuwa kwenye vyama vingine kwa mujibu wa sheria enzi za ndio mzee zimeisha
 
Back
Top Bottom