MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,009
- 2,171
Hivi kumbe bado kuna watu wanadhani chama cha upinzani kususia hotuba ya Rais ni uhalifu?
Haya ni mazoea ya kusema ndiyo hata kwa mambo ya hatari ndo kunaleta tabia kama hizo. Hii ni siasa siyo kambi ya jeshi na huyo ni Rais, siyo mfalme.
Ikiwezekana huko mbeleni hoja dhaifu na za kishenzi zikataliwe kwa ngumi.
Tusipende kupambwa eti amani yetu, utulivu wetu, na .... ushenzi wetu. NO! NO! NO!
Haya ni mazoea ya kusema ndiyo hata kwa mambo ya hatari ndo kunaleta tabia kama hizo. Hii ni siasa siyo kambi ya jeshi na huyo ni Rais, siyo mfalme.
Ikiwezekana huko mbeleni hoja dhaifu na za kishenzi zikataliwe kwa ngumi.
Tusipende kupambwa eti amani yetu, utulivu wetu, na .... ushenzi wetu. NO! NO! NO!