Sitta atimuliwa nyumba ya Serikali

Sitta atimuliwa nyumba ya Serikali

Thank you Sir. Nina rekodi ya kuwa mwanachama ya Jf miaka minne iliyopita bila kumtukana mtu
Keep your record, but your post was provocative... Umemuona Sitta kahamia Manzese?

Unaweza usitukane, lakini unayoongea yakawa ni zaidi ya matusi
 
Ametimuliwa au ameondoka kwenye nyumba ya serikali?Nadhani Sita ni mwanasheria na mtumishi wa muda mrefu serikaln, anajua yeye siyo mtumishi wa umma lakn pia azijua stahiki zake km speaker mstaafu.
 
Hivi wasira alisharudisha nyumba ya bodi ya sukari? Walimu na nyie daini kulipiwa nyumba kama sitta.
 
Angalia mwenzake kaachia ngazi juzi na kishaanza kuondoa makabrasha yake.
b606cf93ff942fe8cc0c08dc3c80d30a.jpg
 
Ni Manzese mtaa ndani ya Masaki! Lakini mnavyokurupuka itawachukua muda kujua kuwa si hii Manzese yenu ya Uswazi Darajani.
Hivi hao wanaoishi Manzese ya Uswazi Darajani si binadamu? Si raia wa taifa hili? Si Watanzania kama alivyo Sitta?
 
Ana miaka zaidi 50 ktk utumishi wa umma tena kama kiongozi mwandamizi mkubwa ktk nafasi nyeti nyeti zenye mishahara na mrupu rupu makubwa, awe hajajenga nyumba yake binafsi tu tena ya maana ili aje aishi uzeeni?

Inakuwaje iwe ishu kuuuuubwa hii ya kujadili?

Mimi ni mtumishi wa umma pia na kamshahara kangu hakafiki hata milioni moja kabla ya makato mengine na kodi, lakini Mungu wa Israel ni mwema sana kwani kanibariki kwa kamshahara hakohako jumlisha na vimkopo vya benki kwa dhamana ya mshahara wangu nimejijengea kajumba kangu, naishi na mke na mtoto wangu na kiukweli hata fitina za watu wa Magufuli na serikali yake zinipitie, wala sitapata taabu, sitalalamika...nitasema asante YESU kristo....nitaishi zangu raha mustarehe na maisha hayatasimama ...... yataendelea!!

Sembuse hawa kina Samwel Sitta and the likes ambao wamestaafu na walikuwa wanajua kuwa watastaafu, kwa nini hawakujiandaa? Wanalalamikia nini eti?......Au ni tamaa tu ya kutaka kuhudumiwa na serikali?
 
Dhambi ya kuchakachua katiba ya wananchi imeanza kumtafuna.
 
Nenda Mbweni utaona majumba ya vigogo waliyojenga ni kama mahekalu.

Sasa sijui kwanini hawataki kwenda kuishi huko.
 
Ama kweli mwisho wa ubaya ni aibu.
Huwezi kuwapigisha kura marehemu na watu waliokuwa hijja halafu Mungu akakuangalia tu , hiyo ni kufuru kubwa sana! huyu Mzee kuna laana kubwa zaidi ya hii inamnyemelea , tuendelee kutega sikio .
 
  • Thanks
Reactions: Gut
S
Aliyeyewahi kuwa Spika Na Mwenyekiti wa Bunge la Katiba Mzee 6 ameondolewa kwenye Nyumba ya Serikali Na kuhamia Manzese.Kwa wale wenye shuda ya kumwona au kumtembelea Mzee wetu watampata Manzese.
Siyo manzese manzese kama ulivyozea ni Masaki ila kuna mtaa unaitwa manzese acha kupotosha uma wewe
 
Aliyeyewahi kuwa Spika Na Mwenyekiti wa Bunge la Katiba Mzee 6 ameondolewa kwenye Nyumba ya Serikali Na kuhamia Manzese.Kwa wale wenye shuda ya kumwona au kumtembelea Mzee wetu watampata Manzese.
Na ile OFISI YA SPIKA wa BUNGE la JMT alioijenga Urambo IMEPELEKWA Kongwa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom