usininukuu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 380
- 44
ooh ndio maanae!nashangaa umeme ghafla umekata!hapa kuna umuhimu wa kutafuta power back up aka invertor
Huyu sitta mimi sina imani naye sana. Yeye kama anataka aonekane ana uchungu basi aungane na kina Slaa.
wewe cheza tu hapo sitta na kikwete sio kundi moja ili liko wazi sana
wewe ni mkenya nini?
Dk 45 ya leo?!!! Maana alikuwepo tena j3 iliyopita...