Sitta alaani katuni ya Bunge iliyochorwa Kenya...

Sitta alaani katuni ya Bunge iliyochorwa Kenya...

Lile bunge letu kabisa,picha ni zaidi ya kitabu!
 
Nampongeza sana aliyechora hiyo katuni. Hakika anastahili kupata tuzo. Hii ndiyo hali halisi ya Bunge letu. Sitta aache kujifanya kwamba hajui kuwa Bunge letu la sasa ni bogus kabisa na tena halina discipline.
 
asema jambo hilo si la kiuungwana wala si la kiurafiki na ujiran mwema.linaweza chochea mgogoro

Cartoon kachora mtanzania (katika gazeti linalomilikiwa na kampuni yenye makao makuu yake Kenya)...Hivyo kutishia ujirani mwema siyo kweli!!! Kuhusu uungwana badala ya kulialia juu ya cartoon angewafunza UUNGWANA Wabunge wenzake wanaolifanya bunge kama Bangi bar!!!!
 
asema jambo hilo si la kiuungwana wala si la kiurafiki na ujiran mwema.linaweza chochea mgogoro

Ile katuni imechorwa na Mwampembwa mtu wa Mbeya lakini kikazi yupo based Kenya, kwahiyo ni katuni iliyochorwa na Mtanzania aliyechoshwa na Bunge hili hasa la ana makinda (Jina la Speaker wetu siku zote naliandika kwa herufi ndogo)
 
Bunge la Tanzania liwe la hovyo au liwe makini sana, bado, si sahihi kabisa kwa nchi nyingine kuchora katuni juu ya yanayoondelea kwenye nchi nyingine -huru. It is up to Tanzanians to say whatever they like about their country. Kenya, wana tabia ya kuinigilia affairs ambazo haziwahusu, na kwa hakika katuni hii inakwenda kinyume na staha za ujirani mwema.

Ni lini Tanzania ilichora katuni kuhusu bunge la Kenya? Hivi ni kweli bunge lao halina vituko? Mzee Sitta yuko sahihi. Kenya should mind their own business.

sidhani katuni kama inaweza kuleta mgogoro kati yetu na Kenya. Itakuwa ni ukosefu wa busara. Pia si busara kuongelea bungeni swala la katuni wakati kuna mambo muhimu yahusuyo Afrika Mashariki. Na hujakatazwa kuchora katuni kuhusu nchi nyingine kama hiyo katuni itawafikia. Ni aibu kwa kiongozi mkubwa kama 6 kuongelea swala hilo tena bungeni na kwa msisitizo.
 
asema jambo hilo si la kiuungwana wala si la kiurafiki na ujiran mwema.linaweza chochea mgogoro
Haya, aiseme na hii

http://www.mwananchi.co.tz/Picha/-/1597602/1765566/-/idrpfiz/-/index.html#2
8HNIeMKC1waBQAAAAASUVORK5CYII=
 
[MENTION][JFMP3][/JFMP3][/MENTION]
Sitta tatizo lipo wapi? Je ni Uongo? ujirani unaharibika
vipi? ndio unataka kugombea urais?

941506_411322565633180_1312344154_n.jpg
h
Yani bunge letu ndo lilipofikia hapo wala sio uongo.
 
aiseeeee babayangu yewiiiii watu wa rombo hatuna mbavu ila mchoraji hajakosea amenena ukweli wabunge badilikeni
ngoja nikapate mbege kikombe
 
Bunge la Tanzania liwe la hovyo au liwe makini sana, bado, si sahihi kabisa kwa nchi nyingine kuchora katuni juu ya yanayoondelea kwenye nchi nyingine -huru. It is up to Tanzanians to say whatever they like about their country. Kenya, wana tabia ya kuinigilia affairs ambazo haziwahusu, na kwa hakika katuni hii inakwenda kinyume na staha za ujirani mwema.

Ni lini Tanzania ilichora katuni kuhusu bunge la Kenya? Hivi ni kweli bunge lao halina vituko? Mzee Sitta yuko sahihi. Kenya should mind their own business.
kama brains zako hazijafungwa kwa kamba ngumu na nene basi utaweza kutoka ndani ya box na kujua kuwa dunia ni kubwa zaidi ya unachoona wewe. Unataka kusema kuwa ukifika Namanga au Holili macho yako hayaruhusiwi kuona mbali ya kuvuka mpaka!??? Kwanza huyu sio Mkenya kama unavyodhani na ana profession yake tofauti na vilaza wengi unaojaribu kuwatetea.
Mradi mjadala wa hii cartoon umepanuka sasa tutaweza kuwajua wenye 'akili ndogo v akili kubwa'
 
Maneno yakitafsiriwa kwenda kwenye pic/katuni..tunabaki uchi.!
 
kweli sasa mtaipeleka nchi kubaya yani majirani wawatie vdole mnachekelea tuu he :heh:he:heh: he:heh: na miguu mnapanua vizuri kidole kiweze kupita vizuri kisa bunge lenu limekosea nyie ni kondom zilizotumika kama misemo yenu kweli leo nakubali. alafu mkielezwa ukweli mnawachukia watu,toeni uchafu jichoni mwenu ndio muone wa pembeni yenu alaaaaaaaa.
 
Ameamua kuitangaza ili ambao hawakuiona kabla wapate nafasi sasa.
kama nimemuelewa vema amemefanya jambo la maana.
 
Back
Top Bottom