Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,417
- 7,732
Nilikimbizana v8 mi niko na chaser toka himo maeneo ya same akikaa mbele anapunguza hadi 140 nikikaa mimi mbele hata niko 160 ananipita, kuna sehemu akawa analipita na nkaunga nyuma amemaliza basi na mi nkamuungia na yeye, kuja kucheki kisahani nipo speed 180 hadi mi mwenyewe nkawa naogopa, kufika livepool pale nimepaki sikuzima gari ila nkafungua boneti nao wakafika, walishuka wote kwenye gari wa4 wakaja kuangalia kwenye engine ya gari, hawakua watanzania wakanionyesha kwa ishara wee ndio unaendesha hii gari nkawaambia ndio, wakawa wanatingisha kichwa tu.Inatokea unaweza kuwa 160 akakupita mtu kama vile upo 80 unajiuliza yeye amekanyaga ngapi.... Ndo raha za barabarani hizo...
Sent using Jamii Forums mobile app