Sitopenda tena...

Sitopenda tena...

Huwezi jizuia kutopenda tena... Hua inakuja automatically tu hiyo,mapenzi ni ajali kama ajali zingine hujua saa wala siku hisia na moyo wako vitakayoangukia kwa mtu fulani
 
Mapenzi yalifanya nikaumbuka ninachoshukuru hayakuniua.. Kila nikisikiliza mistari hiyo ktk wimbo mpya wa fid q Unanikumbusha mbali xana

Niliwai kumpenda Binti mmoja.. Nilikuwa nauzuia moyo usimpende lakin mwisho wa siku nikajikuta nimependa bhana... Dah sitosahau alinitesa yule mwanamke... Nilimpa upendo kadri ya uwezo wangu lakin Nilimfumania kila mwezi.. Nilimsamehe bila kuchoka.. Na yeye akaendelea kuniumiza bila kuchoka pia. Kama alikuwa ananikomoa vile.

Kuna wakati nilimtafutia kazi.. Dah kumbe nimempeleka kwa wanaume wengine.. Akaanza kutoka na Manager wa hiyo Bank mpaka wafanyakazi wa kawaida bhana.. Alikuwa malaya wenda kutokana na uzuri wake... Alikuwa mzuri sana.. Ndo shida ya kuwa n demu mzuri

Nilitaman kumroga ili atulie ila nilishindwa kwa sababu mambo ya waganga sijazoea... Sitosahau

Kuna wakat mpaka nikahic nimepata ugonjwa wa moyo kumbe wapi nilikuwa naweweseka tu ikifika usiku saa tisa lazima nishtuke naanza kumuwaza nakosa usingiz mpaka asubuhi.. Duh. Acha tu.

Niliwai kumfumania na Boyfrnd wa rafiki yake.. Nilichoka. Nilihic huyu demu ana mapepo

Msomaji huwezi amini nilimpeleka kwa mchungaji mmoja(Jina nalihifadhi) ili aombewe. Mchungaji akampa demu ratiba ya maombezi, aende kila siku jioni Hahahaha Mchungaji nae si akaanza kumtongoza demu..nilikuta sms za mchungaji za mapenz kwenye simu ya demu.. Nilishaangaa. Mwaka jana nikachoka nikaamua kumwacha.. Ila ilikuwa kazi ngumu kumwacha.. Ilibid niwe malaya ili nimsahau yeye kwa nguvu... Sitaki hata kukumbuka

Sitopenda tena.
Mkuu vipi alisalimishwa Tigo lakini?
 
Huwezi jizuia kutopenda tena... Hua inakuja automatically tu hiyo,mapenzi ni ajali kama ajali zingine hujua saa wala siku hisia na moyo wako vitakayoangukia kwa mtu fulani
Kama mimi kwako,lakini wala hujali maumivu nayopata mamii.
 
Me mapenzi nilishaenda likizo...SIKU NIKIPOMTEXT GALWANGU "MPENZI NIMEMISS PENZI LAKO,!! AKANIJIBU, "POA"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom