Sitopenda tena...

Sitopenda tena...

Ni wasi wako na haraka yako tu hata nae alikua anakupenda mno alichokua akikifanya ni kutafuta uzowefu na umahili kutoka kwa watu mbalimbali ili aje autumie kwako ili akulilidhishe kutokana na uzowefu alioupata sehemu mbalimbali kama unabisha mpe nafasi nyingine naamini hautajuta kurudi kwake
 
Mapenzi yalifanya nikaumbuka ninachoshukuru hayakuniua.. Kila nikisikiliza mistari hiyo ktk wimbo mpya wa fid q Unanikumbusha mbali xana

Niliwai kumpenda Binti mmoja.. Nilikuwa nauzuia moyo usimpende lakin mwisho wa siku nikajikuta nimependa bhana... Dah sitosahau alinitesa yule mwanamke... Nilimpa upendo kadri ya uwezo wangu lakin Nilimfumania kila mwezi.. Nilimsamehe bila kuchoka.. Na yeye akaendelea kuniumiza bila kuchoka pia. Kama alikuwa ananikomoa vile.

Kuna wakati nilimtafutia kazi.. Dah kumbe nimempeleka kwa wanaume wengine.. Akaanza kutoka na Manager wa hiyo Bank mpaka wafanyakazi wa kawaida bhana.. Alikuwa malaya wenda kutokana na uzuri wake... Alikuwa mzuri sana.. Ndo shida ya kuwa n demu mzuri

Nilitaman kumroga ili atulie ila nilishindwa kwa sababu mambo ya waganga sijazoea... Sitosahau

Kuna wakat mpaka nikahic nimepata ugonjwa wa moyo kumbe wapi nilikuwa naweweseka tu ikifika usiku saa tisa lazima nishtuke naanza kumuwaza nakosa usingiz mpaka asubuhi.. Duh. Acha tu.

Niliwai kumfumania na Boyfrnd wa rafiki yake.. Nilichoka. Nilihic huyu demu ana mapepo

Msomaji huwezi amini nilimpeleka kwa mchungaji mmoja(Jina nalihifadhi) ili aombewe. Mchungaji akampa demu ratiba ya maombezi, aende kila siku jioni Hahahaha Mchungaji nae si akaanza kumtongoza demu..nilikuta sms za mchungaji za mapenz kwenye simu ya demu.. Nilishaangaa. Mwaka jana nikachoka nikaamua kumwacha.. Ila ilikuwa kazi ngumu kumwacha.. Ilibid niwe malaya ili nimsahau yeye kwa nguvu... Sitaki hata kukumbuka

Sitopenda tena.
Story ndefu saana, ukweli unabak pale pale ukisha yaanza mapenzi ni sawa na kula nyama ya MTU hautoacha kamwee!!! Unless umepata ajali Gegedeo likanyofoka!!!
 
Let it go men.Umenikumbusha mbali.Hiyo ndio transformation stage ya ununda wa mapenzi.Baadae utawaliza wengi.
Anaweza pia nae akalizwa na wengi pia!!Maana Moyo hauupangii et penda yule a
Kwa muda Fulani au Acha yule!!;Kupenda ni inatokea Automatically!!
 
Mapenzi yalifanya nikaumbuka ninachoshukuru hayakuniua.. Kila nikisikiliza mistari hiyo ktk wimbo mpya wa fid q Unanikumbusha mbali xana

Niliwai kumpenda Binti mmoja.. Nilikuwa nauzuia moyo usimpende lakin mwisho wa siku nikajikuta nimependa bhana... Dah sitosahau alinitesa yule mwanamke... Nilimpa upendo kadri ya uwezo wangu lakin Nilimfumania kila mwezi.. Nilimsamehe bila kuchoka.. Na yeye akaendelea kuniumiza bila kuchoka pia. Kama alikuwa ananikomoa vile.

Kuna wakati nilimtafutia kazi.. Dah kumbe nimempeleka kwa wanaume wengine.. Akaanza kutoka na Manager wa hiyo Bank mpaka wafanyakazi wa kawaida bhana.. Alikuwa malaya wenda kutokana na uzuri wake... Alikuwa mzuri sana.. Ndo shida ya kuwa n demu mzuri

Nilitaman kumroga ili atulie ila nilishindwa kwa sababu mambo ya waganga sijazoea... Sitosahau

Kuna wakat mpaka nikahic nimepata ugonjwa wa moyo kumbe wapi nilikuwa naweweseka tu ikifika usiku saa tisa lazima nishtuke naanza kumuwaza nakosa usingiz mpaka asubuhi.. Duh. Acha tu.

Niliwai kumfumania na Boyfrnd wa rafiki yake.. Nilichoka. Nilihic huyu demu ana mapepo

Msomaji huwezi amini nilimpeleka kwa mchungaji mmoja(Jina nalihifadhi) ili aombewe. Mchungaji akampa demu ratiba ya maombezi, aende kila siku jioni Hahahaha Mchungaji nae si akaanza kumtongoza demu..nilikuta sms za mchungaji za mapenz kwenye simu ya demu.. Nilishaangaa. Mwaka jana nikachoka nikaamua kumwacha.. Ila ilikuwa kazi ngumu kumwacha.. Ilibid niwe malaya ili nimsahau yeye kwa nguvu... Sitaki hata kukumbuka

Sitopenda tena.


!
!
Dah.....nipe namba yake nijaribu bahati yangu.
 
Siku zote ukiwa na demu mzuri sana ambaye hakupendi lazima utateseka tuh.Labda akupende yeye.
 
Huwezi ukahitimisha maisha yako ya mapenzi eti kwa sababu ya malaya.
 
Mapenzi yalifanya nikaumbuka ninachoshukuru hayakuniua.. Kila nikisikiliza mistari hiyo ktk wimbo mpya wa fid q Unanikumbusha mbali xana

Niliwai kumpenda Binti mmoja.. Nilikuwa nauzuia moyo usimpende lakin mwisho wa siku nikajikuta nimependa bhana... Dah sitosahau alinitesa yule mwanamke... Nilimpa upendo kadri ya uwezo wangu lakin Nilimfumania kila mwezi.. Nilimsamehe bila kuchoka.. Na yeye akaendelea kuniumiza bila kuchoka pia. Kama alikuwa ananikomoa vile.

Kuna wakati nilimtafutia kazi.. Dah kumbe nimempeleka kwa wanaume wengine.. Akaanza kutoka na Manager wa hiyo Bank mpaka wafanyakazi wa kawaida bhana.. Alikuwa malaya wenda kutokana na uzuri wake... Alikuwa mzuri sana.. Ndo shida ya kuwa n demu mzuri

Nilitaman kumroga ili atulie ila nilishindwa kwa sababu mambo ya waganga sijazoea... Sitosahau

Kuna wakat mpaka nikahic nimepata ugonjwa wa moyo kumbe wapi nilikuwa naweweseka tu ikifika usiku saa tisa lazima nishtuke naanza kumuwaza nakosa usingiz mpaka asubuhi.. Duh. Acha tu.

Niliwai kumfumania na Boyfrnd wa rafiki yake.. Nilichoka. Nilihic huyu demu ana mapepo

Msomaji huwezi amini nilimpeleka kwa mchungaji mmoja(Jina nalihifadhi) ili aombewe. Mchungaji akampa demu ratiba ya maombezi, aende kila siku jioni Hahahaha Mchungaji nae si akaanza kumtongoza demu..nilikuta sms za mchungaji za mapenz kwenye simu ya demu.. Nilishaangaa. Mwaka jana nikachoka nikaamua kumwacha.. Ila ilikuwa kazi ngumu kumwacha.. Ilibid niwe malaya ili nimsahau yeye kwa nguvu... Sitaki hata kukumbuka

Sitopenda tena.

!
 
Penda pesa Mpwa, usipende binadamu! PESA ina mapenzi ya Kweli ukiipenda, ukiitafuta na kuibembeleza kwenye matumizi. Itakupa kila raha ya Dunia hii.
Mkuu mpenz wa kweli pesa pesaaaa
 
Mwanamke akishakuwa hana hofu ya Mungu, jamii inamuonaje na uhuru wa kutosha ni matatizo kwake na watu wanaomzunguka.Kwa uzuri wake na urembo utanasa ili hali unajua hapa si mahali Salama.

Waweza kuua,kudharilika sana,kwenda jela,kuwa mlevi,kufa au kupata majuto kwa kufanya mambo usiotarajia siku utafanya.Been there.!
 
Kua na mke, mchumba, hawara au demu mzuri ni sawa na kua na shamba la miwa karibu na pori la nguruwe pori
 
Mkuu..huyo dada ana mapepo ya mahaba...sio kosa lake...and acha kujiadhibu....
 
Pole sana, hawa viumbe ni shida, yasikie tu kwa jirani
 
Mapenzi yalifanya nikaumbuka ninachoshukuru hayakuniua.. Kila nikisikiliza mistari hiyo ktk wimbo mpya wa fid q Unanikumbusha mbali xana

Niliwai kumpenda Binti mmoja.. Nilikuwa nauzuia moyo usimpende lakin mwisho wa siku nikajikuta nimependa bhana... Dah sitosahau alinitesa yule mwanamke... Nilimpa upendo kadri ya uwezo wangu lakin Nilimfumania kila mwezi.. Nilimsamehe bila kuchoka.. Na yeye akaendelea kuniumiza bila kuchoka pia. Kama alikuwa ananikomoa vile.

Kuna wakati nilimtafutia kazi.. Dah kumbe nimempeleka kwa wanaume wengine.. Akaanza kutoka na Manager wa hiyo Bank mpaka wafanyakazi wa kawaida bhana.. Alikuwa malaya wenda kutokana na uzuri wake... Alikuwa mzuri sana.. Ndo shida ya kuwa n demu mzuri

Nilitaman kumroga ili atulie ila nilishindwa kwa sababu mambo ya waganga sijazoea... Sitosahau

Kuna wakat mpaka nikahic nimepata ugonjwa wa moyo kumbe wapi nilikuwa naweweseka tu ikifika usiku saa tisa lazima nishtuke naanza kumuwaza nakosa usingiz mpaka asubuhi.. Duh. Acha tu.

Niliwai kumfumania na Boyfrnd wa rafiki yake.. Nilichoka. Nilihic huyu demu ana mapepo

Msomaji huwezi amini nilimpeleka kwa mchungaji mmoja(Jina nalihifadhi) ili aombewe. Mchungaji akampa demu ratiba ya maombezi, aende kila siku jioni Hahahaha Mchungaji nae si akaanza kumtongoza demu..nilikuta sms za mchungaji za mapenz kwenye simu ya demu.. Nilishaangaa. Mwaka jana nikachoka nikaamua kumwacha.. Ila ilikuwa kazi ngumu kumwacha.. Ilibid niwe malaya ili nimsahau yeye kwa nguvu... Sitaki hata kukumbuka

Sitopenda tena.
mateso mengine yanaepukika mtu ukiona mienendo yake hayaendani na wewe ni vyema uka move on
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom