Sitongozwi, nini tatizo?

Sitongozwi, nini tatizo?

Kichwa chatopic kinajieleza, ni mzuri najijua though si wa kutisha, nina kishuzi ila kimezidiwa na tuhips kidogo, am dark skin, sio mrefu ila nimempita urefu Lulu Michael kidogo. Shida ni nini?

Yes am overconfident, ila sidhani hiyo ni sababu, Am smart kichwani hadi mwilini. Shida ni nini? Au ninavosali kumpata mume atakaempendeza bwana kuna sehemu nakosea?

Nakubali mimi ni antisocial ila sidhani hiyo ni sababu. Yes i was selective ila zamani sana kama 2 years back, now nimeacha. And am just 23, whats wrong with me? Nikaoge baharini au?

Embu nifarijini guys.
Mi sijakuelewa bado, yaani hutombwi au hutongozwi? Mfano mie huwaga sitongozi, nikikutaka basi naomba mashine, habari ya kuzungushana na kucheleweshana hayo mambo ya zamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
njoo nikufariji
Kichwa chatopic kinajieleza, ni mzuri najijua though si wa kutisha, nina kishuzi ila kimezidiwa na tuhips kidogo, am dark skin, sio mrefu ila nimempita urefu Lulu Michael kidogo. Shida ni nini?

Yes am overconfident, ila sidhani hiyo ni sababu, Am smart kichwani hadi mwilini. Shida ni nini? Au ninavosali kumpata mume atakaempendeza bwana kuna sehemu nakosea?

Nakubali mimi ni antisocial ila sidhani hiyo ni sababu. Yes i was selective ila zamani sana kama 2 years back, now nimeacha. And am just 23, whats wrong with me? Nikaoge baharini au?

Embu nifarijini guys.
 
b9c30eb88eb2afcffef2bb38c102411f.jpg
 
mtoa mada kwangu u look good,intelligent,beautiful,and u still very young,ishi maisha yako ya furaha,jenga empire yako bado muda upo in ur side,tembea duniani huo ni muda muafaka wa kuijua Dunia na anza na nchi yako.and end of day u never know,labda mpenzi wako yupo Lingusenguse,Canada,Ghana,spread your wings.
 
Kichwa chatopic kinajieleza, ni mzuri najijua though si wa kutisha, nina kishuzi ila kimezidiwa na tuhips kidogo, am dark skin, sio mrefu ila nimempita urefu Lulu Michael kidogo. Shida ni nini?

Yes am overconfident, ila sidhani hiyo ni sababu, Am smart kichwani hadi mwilini. Shida ni nini? Au ninavosali kumpata mume atakaempendeza bwana kuna sehemu nakosea?

Nakubali mimi ni antisocial ila sidhani hiyo ni sababu. Yes i was selective ila zamani sana kama 2 years back, now nimeacha. And am just 23, whats wrong with me? Nikaoge baharini au?

Embu nifarijini guys.
Mi nakutaka nikugegede..!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushajisema anti social sasa unataka jibu gani? Wanawake wenyewe saivi Wapo teleee. Nani anataka mwanamke wa kumuimbia nachi za kuch kuch hota háe. Kama unapenda USERIOUS Punguza tu utaliwa hata uwe mbaya vipi
 
Screenshot_2017-08-17-10-19-24.png
post ndeeefu comment moja tu inafanya aandike nyingne kwa acc nyingne ha ha ha ha bye ukijibu imeingia moyon uliachwaaaa bado kelele nying PALE UNAPOINGIA CHOO CHA KIKE UNATAMAN NA WENGNE WAINGIE MUUMIE WOTEEEE POLEEEE USIFANYE MAAMUZI UKIWA NA HASIRA
 
Unataka kutongozwa tu? Ama ndoa? Tuanzie hapo Kama ni kutongozwa usijali sio ishu ila kama unataka MWANAUME...kuna vitu flani unatakiwa ujitathmini
 
Antisocial wewe
Ujuaji wewe
Maringo wewe
Selectiveness wewe
Alafu hupendi wa mitandaoni and then unaomba ushauri mtandaoni, we huna tofauti na chichidodo.
 
Kichwa chatopic kinajieleza, ni mzuri najijua though si wa kutisha, nina kishuzi ila kimezidiwa na tuhips kidogo, am dark skin, sio mrefu ila nimempita urefu Lulu Michael kidogo. Shida ni nini?

Yes am overconfident, ila sidhani hiyo ni sababu, Am smart kichwani hadi mwilini. Shida ni nini? Au ninavosali kumpata mume atakaempendeza bwana kuna sehemu nakosea?

Nakubali mimi ni antisocial ila sidhani hiyo ni sababu. Yes i was selective ila zamani sana kama 2 years back, now nimeacha. And am just 23, whats wrong with me? Nikaoge baharini au?

Embu nifarijini guys.

I see nothing wrong with you...

1. May be you way too perfect...
2. May be you are hanging with the wrong crowd.
3. Attitude yako ichunguze: May be you make those who wander into your presence feel bad about themselves. People avoid/run away from situations/experiences/individuals who make them feel bad about themselves!

But, just out of curiosity, why are you yearning kutongozwa?

Unaweza kuwa patient ukaja kutongozwa once ikawa the right thing all the way.
 
thats nat true,am fuckin pretty and i know it ndomana am asking whats wrong with me
There's more than that (prettiness) in a woman. I guess you have a bad attitude towards men. That's why they repell.
 
wanawake kama wewe wanaojiona wazuri mara chache sana kutongozwa labda mtumie nguvu ya ziada.
 
Back
Top Bottom