Sitokaa nirudie katabia ka kutongoza demu aliyekosea namba

Sitokaa nirudie katabia ka kutongoza demu aliyekosea namba

0b12848a7267e492d54c3e4e02fbf80e.jpg
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Umenikumbusha mwaka 2012 kuna binti alikoseaga no,kwa maelezo yake aliniambia ni mwenyeji wa Tanga basi tukawa tunachart ile romantic kbs,siku nisipomtafuta akinitafuta kujitetea namwambia sikuwa na voucher bas utangaa dk hizo hizo salio limesoma,na alikuwa na sauti ya kumtoa nyoka pangoni nakumbuka kipindi fulani cha Eid alinitumia mpaka hela ya thoda,basi bhana kuna mshikaji wangu ni mwenyeji wa Tanga tupo nae kwenye mihangaiko alipata matatizo akaenda home Tanga si nikampa mawasiliano ya huyo dem na dem nikamwarifu kuna mshikaji wangu anakuja huko fanya mpango unitumie hata zawadi za huko,dem alikubali na alifurahi kweli
Siku mshikaji amerudi namwuliza umemwonaje shemeji yako mtarajiwa alicheka saaana akaniuliza umetoka wap na huyo mmama?!,nikamuuliza mmama teena akaniambia ndio hivyo nilichoka mzee...,akawa akipiga sim nampotezea mara nipokee mpaka akajichokea kupiga sim...
 
Binamu yangu aliniunganisha na huyu mkaka yuko serious anatafuta mke, nilipatiwa profile ya jamaa PhD holder ndiyo amerudi kutoka unyamwezini na ndiyo ameanza kazi mkoani. Tulianza kuchat na mkaka Ikawa kawaida kila siku lazima zile za 'morning'' na 'good night babe' si nimepata mchumba.

Baada ya miezi kama miwili ya mawasiliano akaniambia anakuja Dar na angependa kufikia k wangu. Wakati huo hakuna smart phones ikumbukwe. Siku nilifika airport kumpokea mgeni wangu miguu iliishiwa nguvu. Uchumba uliishia pale.
 
Binamu yangu aliniunganisha na huyu mkaka yuko serious anatafuta mke, nilipatiwa profile ya jamaa PhD holder ndiyo amerudi kutoka unyamwezini a mean za kazi mkoani. Tulianza kuchat na mkaka I kawaida kila siku lazima zila za 'morning'' na 'good night babe' si ni me path mchumba.

Baada ya miezi kama miwili ya mawasiliano akaniambia anakuja Dar na angependa kufikia k wangu. Wakati huo hakuna smart phone ikumbukwe. Siku nilifika airport kumpokea mgeni wangu miguu iliishiwa nguvu. Uchumba uliishia pale.

Hehehehehee, mungu anakuona ujue. Enhe, tuambie huo uchumba uliumalizaje.?
 
Habari kwenu wanajukwaa. naenda direct kwenye ajenda

Mwaka 2010, nilikuwa nasoma chuo flani Arusha. Kuna siku sms iliingia ya "tafadhali nipigie", bila hiana nikapaa hewani nikampigia.

Alipopokea nilisikia sauti nyororo ya binti nikamuuliza nani mwenzangu? Akajibu anaitwa {jina}. Katika mahojiano nilipoteza lengo la alichokuwa anakitafuta tukaanza kuchat.

Zoezi likawa la kila siku, bahati nzuri yule binti alikuwa ni wa ar palepale. Siku moja tukapanga kuonana, mambo yakaenda kama tulivyopanga. Siku hiyo ilikuwa ni wkend, sehemu tuliyopanga kuonana ilikuwa ni garden moja {jina} ambapo wanafunzi wenzangu wanapenda sana kwenda pale kurefresh.

Nilitangulia mimi kukaa, na kumsubiri kwa hamu kubwa na ikibidi nikafanye kwichi kwichi. Ikawa washkaji wakija nilipokaa nawajibu leo shemeji yenu anakuja wakakae sehemu nyingine.

Hawakuwa na kinyongo washkaji zangu. Muda ulipofika nikaenda kumpokea..... kwa kweli MUNGU ANISAMEHE,,,, SAUTI ZILIKUWA HAZIENDANI NA UHALISIA.

NILIAHIRISHA KILA KITU SIKU HIYO, Mbaya zaidi washkaji wengi walikaa kwa mbali waone kifaa,, sikuonekana chuoni wiki nzima, baadae ilibidi niwe tu muwazi kuwa nilikuwa simjui ndo nimemuona siku hiyo.

Tulikuwa tunachat tu kabla
Siku hizi huwa wanapiga wring number kusudi
 
Umenikumbusha mbali sana bro na mimi nilitokewa na situation kama hiyo unfortunately mimi nilimkaribisha chuo, washkaji wote wakamuona ilibidi nimzuge nimepigiwa simu ya msiba ili aondoke lkn nilitaniwa mpaka kumaliza chuo, in short nilikuwa SI unit ya vibovu
[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Nilikoseaga Namba Kwa Jidada Nikaanza Kuwasiliana Nalo. Nikachombeza Likaniambia Mie Mkubwa Nina Kama 34 Nikakomaa "Kwani Kama Mkubwa Ndo Haiingii" Likaelewa. Siku Ya Kukutana Na Mgegedo Nakutana Nae Saa 6 Mchana,Kudadadeki Bonge La Jidada,Yani Kama Vile Queen Latiffa Au Isha Mashauzi Yani A Giant Woman.Hajaamini Ananiona Mdogo Kiumbo Alafu Mambo Yangu Na Stori Za Kikubwa Akaanza Kusema Alikua Anachat Na Kaka Yangu Eti Sio Mimi. Nmekaa Nae Cafe Hapo Kagoma. Nkamuambia Ndo Mimi Na Nikamthibitishia Kwa Kumuonesha Convo Zetu Na Picha.Akakubali Kugegedwa Koz Nlimtiaga Nyege Sana Ktk Chats Zetu Ila Aliniambia Hatuwez Kuongozana Lodge So Nitangulie. Nikamuambia Nitangulie Ili Usije,Nkamuambia Natangulia Hatua 10 Nifuate. Akanifuata Bwana. Ila Kuanzia Siku Iyo Nikawa Namgegeda Usiku Tu Asubuhi Anasepa Zake Ananiacha. Eti Anaona Aibu Kuongozana Na Mimi.
Uwwiiii, mi kwa mshituko nisingeweza

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Umenikumbusha mwaka 2012 kuna binti alikoseaga no,kwa maelezo yake aliniambia ni mwenyeji wa Tanga basi tukawa tunachart ile romantic kbs,siku nisipomtafuta akinitafuta kujitetea namwambia sikuwa na voucher bas utangaa dk hizo hizo salio limesoma,na alikuwa na sauti ya kumtoa nyoka pangoni nakumbuka kipindi fulani cha Eid alinitumia mpaka hela ya thoda,basi bhana kuna mshikaji wangu ni mwenyeji wa Tanga tupo nae kwenye mihangaiko alipata matatizo akaenda home Tanga si nikampa mawasiliano ya huyo dem na dem nikamwarifu kuna mshikaji wangu anakuja huko fanya mpango unitumie hata zawadi za huko,dem alikubali na alifurahi kweli
Siku mshikaji amerudi namwuliza umemwonaje shemeji yako mtarajiwa alicheka saaana akaniuliza umetoka wap na huyo mmama?!,nikamuuliza mmama teena akaniambia ndio hivyo nilichoka mzee...,akawa akipiga sim nampotezea mara nipokee mpaka akajichokea kupiga sim...
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] haya mambo kumbe yapo tu.
 
Binamu yangu aliniunganisha na huyu mkaka yuko serious anatafuta mke, nilipatiwa profile ya jamaa PhD holder ndiyo amerudi kutoka unyamwezini na ndiyo ameanza kazi mkoani. Tulianza kuchat na mkaka Ikawa kawaida kila siku lazima zila za 'morning'' na 'good night babe' si ni me path mchumba.

Baada ya miezi kama miwili ya mawasiliano akaniambia anakuja Dar na angependa kufikia k wangu. Wakati huo hakuna smart phone ikumbukwe. Siku nilifika airport kumpokea mgeni wangu miguu iliishiwa nguvu. Uchumba uliishia pale.
Angalau leo umetoa kisa chako mwenyewe.
 
sitaki kujua hizo habar za meeting na watu nisiowajua. mi nilimchomeshaa mahind had bas ile kufika nikaanza mim kumuona kabla yake. .nilichofanya ni kupanda gar na kusepa (tabia mbaya kwel kweli )
[emoji6][emoji6][emoji35][emoji35][emoji6]
 
Kitambo mwaka 2014 nilikosea number nika mpigia simu huyo mdada aka niambia wrong number bas nikaomba samahani nika potezea,kesho yake akanza ni tafuta mara ani sms mara ani call mambo yakawa hivo aka niambia yuko moro muda sio mrefu atakuja dar nika mwambia karibu maana nilikuwa nimepanga zangu geto maeneo ya pugu...siku ana kuja akasema nauli imepelea mzee mzima nika mtumia buku kumi akasema kaipata ana anza safari ,muda huo geto natoa kitu (napika) nika wambia washikaj tule kiasi chakula kingine tumwachie shemeji yenu watu sawa sawa bwana ehee akafika ubungo aka nipigia nija mwambia tukutane jeti ana sauti nzuri kwenye simu.Akili ika ni cheza sikutaka kutoka mwenyewe kuna jamaa yangu nika mwambia tuongozane wote kumpokea huyo mgeni mweheeee mweheeee.....nilicho kiona nikaishiwa pozi simu nilimpa jamaaa yangu apige ajifanye ndo mimi alafu mim nikajifanya nime msindikiz jamaaa demu akaja had hapo mdada mtu mzima sanaaa ana kwa haraka haraka ana cheza miaka 30 alikuwa na ndevu sana kifua usipime jamaaa akazuga tuna kuja kuna mzigo tunapelek kiwalan twaja tuli rudi tena demu ali maind sanaaaa kwenye simu uzuri dar alikuja kw dada yake
 
Mwaka 2009 baada ya paper la form two nilikutana na jamaa yangu aliyekuwa na simu yenye dk 60 za voda. Sasa zile kutokana na kutokuwa na wateja wa kuwapigia tukaanza mchezo wa kibuni namba. Namba ya kwanza alikuwa ni Hassani wa Tanga( huyu tulimwbia tumekosea namba). Wapili Ezdola ila alikuwa na mapozi sana( tukampiga chini). Watatu ni Atu wa Tukuyu (kisa kinaanzia hapa). Jamaa akawa kila siku wanaongea nae, anaunga bando na kuchati nae kwa SMS na kumpigia( alikuwa na saitu nzuri sana). Walifikia mpaka kutambulishana kwa ndugu na jamaa( binti anawapa simu marafiki na wazazi waongee na jamaa, na jamaa vivyo hivyo). Sasa siku moja ilikuwa binti anakuja Mbarali kijiji cha karibu na kwetu kwenye sherehe. Jamaa wakawa wanawasiliana na jamaa akamwambia binti amkute karibu na kanisa na binti alitii akatangulia. Kwakuwa hawajuani na masuala ya WhatsApp hayakuwepo kabisa, basi jamaa akanambia tuende tukamuone Shem. Kufika karibu na kanisa jamaa akampigia sim na kuiweka mfukoni. Tukamuona binti anayepokea simu maweeeeeeeeeeee ni black-bongelized women with single-mother characteristics. Jamaa alichoka, Mimi nilicheka sana na jamaa muda huo huo akazima simu na tukarudi jamaa akiwa full stressed. Siku zilizo fuata jamaa alimwambia mwenzake Mimi nilikudanganya nina mke na pia nipo Mwanza ila huko ni kwa ndugu tu, ikawa mwisho wa Wrong number relationship
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom