Jamani kwani KUTAFAKARI HOTUBA ni Bungeni Dodoma tuu??Hata vikao vya nje sheria ya KUTAFAKARI (kama itumikavyo kujitetea bungeni kwetu) inatumika pia!! Mh HAJALALA HUYO..UTAUWAWA BUREEEEE
Halafu ndio wa kwanza kulilia posho na safari!kulikua na haja gani ya kuomngozana nae wakati analala kwny mkutano...huo ni ufisadi ambao CDM wanaoupinga...kwani hapoamelipiwa tiketi ya ndege first class ana perdiem zaid ya 500$...hadi hawa jamaa waondoke 2mekwisha kabisa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.