GE2025 Sitisheni kampeni zenu, itisheni mchakato wa Katiba, maandamano ni kweli msipuuze

GE2025 Sitisheni kampeni zenu, itisheni mchakato wa Katiba, maandamano ni kweli msipuuze

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Lee Van free

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2024
Posts
2,246
Reaction score
7,110
Mimi ni miongoni mwa watu wa maono.
Nimekwisha ona mbele kua maandamano yapo kweli,tofauti na watu wengi wanavyodhani.
Watu wengi wanaishi kwa mazoea kudhani Watanzania ni waoga,la ha sha.
Kila kitu kina wakati wake.
Watanzania wamechoka na huu sasa ni wakati wake.
Wala ishu sio Samaia,Bali kwamba inaenda kukatikia kwakwe.

Sio kwamba Tanzania haijawahi kua na maandamano,Bali kuliwahibkua na maandamano mengi TU ila tofauti maandamano hayo yalikua yanahusu taasisi au watu wenye mahitaji yanayofanana mfano maandamano ya wanafunzi wa vyuo vikuu,maandamano ya waislam kuhusu mabucha ya nguruwe,maandamano ya waislam kuhusu BALUKTA,maanadamnao ya Chadema kuzuia wizi wa ushindi wao wa majimbo ya uchaguzi wa wabunge mfano wabunge wa Chadema walioshinda ubunge lkn wakaobiwa ubunge wao ndipo wakaandamana na kufanya fujo Hadi wabunge wao wakarudishiwa ubunge wao,mfano Wenje jimbo la Nyamagana Mwanza,Lema Arusha mjini,Mnyika ubungo,Kasulibayi Shinyanga,Sugu,mbeya mjini,Machemli,Ukerewen n.k
Maandamano mengine ni ya Chadema yaliyopelekea mwanachuo Akwilina kupigwa risasi.

Kuna muda ilikua Kila ijumaa ikifika defender za polisi zilikua zikizunguka misikiti ya ijumaa na kwa mtoro kariakoo zikijiandaa kuzima maandamano ya waislamu waliokua wanajiamdaa kuandamana kudai haki zao.

Zama hizo hapakua na simu za mkononi kuweza kuhamasishana,lkn watu waliweza kuandamana,je Sasa hivi itakuaje?
Hapakua na Twitter, TikTok, Whatsapp l, Instagram, telegram wala face book lakini waliweza.


Sasa kwa kweli maandamano yote hayo yalihusisha watu wenye madai Yao TU,lkn safari hii naona maandamano ya safari hii ya oct 29 naona yatahusisha watu wengi wenye mchanaganyiko wa madai mbali mbali ,hivyo haya yatakua maandamano ya watu we gubkuliko hayo niliyoeleza hapo juu.
Kwa mfano maandamano hayo yatahusisha Chadema wanaodai no reform no election,yatahusisha wahitajibwa usafiri Dar,wafanyabiashara,wakulima,wafanyakazi,wanafunzi waliomaliza vyuo bila ajira,wahanga wa huduma duni,wahanga wa utekaji,kuuawa kisiasa na uhalifu,uonevu wa polisi na mahakama,dhulma,rushwa,wapinga ufisadi kama wa Bandari,wapigania haki za binadamu,wapinga Viongozi kujilimbikizia mali wao na watoto wao na Wana mtandao,wataka katiba Mpya na Kila aina ya madai pamoja na wapenda mabadiliko walioichoka CCM.

Haya makundi yote yanaenda kutoka kwa pamoja Kwa mara ya kwanza toka nchi hii iwepo.

Ninaona Mapolisi wanaenda kuungana na wananchi kiaina baada ya kuona wananchi wana hoja na wanatetea maslahi ya taifa Zika na wao wakiwemo.

Naona kabisa Jeshi safari hii haliko tayari kutumika kuzima vilio vya wananchi ambao wao ndio jukumu lao kuwalinda.

Naona vyombo vingine pia vikiingia katika mkubo huo wa kua upande wa wananchi..

Ushauri,
Sitisheni uchaguzi itisheni mchakato wa katiba.
Bahati nzuri katiba pendekezwa ya Jaji Warioba ipo ,ifufueni tuliokoe taifa lisije likaingia katika historia ya umwagilaji wa damu.

Kitu kibaya zaidi hili ni wimbo,ni kwamba,Gen Z wa TZ wanataka kuionesha Dunia kwamba wao sio dhaifu,kwamba wao ni sawa na Gen Z wa Kenya ,Nepal, Egypt,Tunisia,Libya na Sasa Morocco na Madagascar.

kibaya kingije ni kua Capt Ibrahim Traole ameongeza ufahamu kwa waafrika kua ala!
kumbe inawezekana?

Na kibaya zaidi ICC wako on high alert.

Naiona colabo ya vyombo vyote vya ulinzi na usalama vikiungania kiaina na wananchi kuleta mabadiliko.

Haya ni maoni yangu kua maandamano yapo na ni real na msipuuze.
Okoeni taifa mapema muda bado upo.
 
Sikio la kufa...., ulevi wa madaraka...kibri cha mamlaka.
Kilichobaki kwa sasa ni matendo tu.
 
Njoeni tuwavue nguo
Sikuwahi kua na chuki na Muamar Ghadafi lkn nae aliwapuuza waandanamaji kama ufanyavyo wewe ,aliwaita mende,wamekunywa madawa ya kulevya na ni wahuni wachache Tu lkn kilichotokea nadhani unakijua.
Nimetoa ushauri TU.
 
Natamani sana jeshi lichukue nchi ili tuheshimiane. Hizi dharau na kejeli tunazofanyiwa na wahuni hazivumiliki.
 
Nina mfano mdogo hapa Leo ila Kwa wale watoto wa kishua mtanisamehe maana hili hata Google halipo...

Leo nimekaa hapa nje ya nyumba yangu kijijini kwetu mbele yangu walikua watoto wanne wamechomeka kijiti katikati ya fungu la mchanga halafu Kila mmoja anaupunguza ule mchanga huku wakiwa wanaimba ''kula mbakishie baba" ni ka mchezo maarufu sana kwa watoto waliozaliwa mwishoni wa miaka ya 80 na 90 mwanzoni.

Kwenye huo mchezo atakae punguza vibaya ule mchanga kile kijiti kikaanguka upande wake wale watoto wengine wote watatu waliokua wanakula nae au wanapunguza nae ule mchanga wanamgeuka na kuanza kumpigia... Ni mchezo maarufu sana hapa kijijini Kwa wote waliokulia kijijini na uswahilini huu mchezo lazima wawe wanaujua

Nimejifunza kitu kikubwa Sasa juu ya huu mchezo na kinachoendelea Sasa katika hii nchi huyu mama sio kwamba ni mbaya kiasi hiko ila muda Wa mabadiliko umefika akiwa yeye ndio yupo madarakani hakuna namna muda ulikua ni lazima ufike
 
 
Mjuba mbona hakuna mizania kuwa kutakuwepo na maandamano? Kampeni sitasitishwa kivipi wakati imebaki mikoa minne tu ccm imalize kampeni zake? Haya maandamano ya tunaona hata ccm wanaamini yapo na wanayahubiri kwenye kampeni zao kuwa yapo! Ni maandamano hewa na ccm imetishika na kuingizwa kingi kuyatangaza kwenye kampeni zako! Vituko vya karne hivi!
 
Mimi ni miongoni mwa watu wa maono.
Nimekwisha ona mbele kua maandamano yapo kweli,tofauti na watu wengi wanavyodhani.
Watu wengi wanaishi kwa mazoea kudhani Watanzania ni waoga,la ha sha.
Kila kitu kina wakati wake.
Watanzania wamechoka na huu sasa ni wakati wake.
Wala ishu sio Samaia,Bali kwamba inaenda kukatikia kwakwe.

Sio kwamba Tanzania haijawahi kua na maandamano,Bali kuliwahibkua na maandamano mengi TU ila tofauti maandamano hayo yalikua yanahusu taasisi au watu wenye mahitaji yanayofanana mfano maandamano ya wanafunzi wa vyuo vikuu,maandamano ya waislam kuhusu mabucha ya nguruwe,maandamano ya waislam kuhusu BALUKTA,maanadamnao ya Chadema kuzuia wizi wa ushindi wao wa majimbo ya uchaguzi wa wabunge mfano wabunge wa Chadema walioshinda ubunge lkn wakaobiwa ubunge wao ndipo wakaandamana na kufanya fujo Hadi wabunge wao wakarudishiwa ubunge wao,mfano Wenje jimbo la Nyamagana Mwanza,Lema Arusha mjini,Mnyika ubungo,Kasulibayi Shinyanga,Sugu,mbeya mjini,Machemli,Ukerewen n.k
Maandamano mengine ni ya Chadema yaliyopelekea mwanachuo Akwilina kupigwa risasi.

Kuna muda ilikua Kila ijumaa ikifika defender za polisi zilikua zikizunguka misikiti ya ijumaa na kwa mtoro kariakoo zikijiandaa kuzima maandamano ya waislamu waliokua wanajiamdaa kuandamana kudai haki zao.

Zama hizo hapakua na simu za mkononi kuweza kuhamasishana,lkn watu waliweza kuandamana,je Sasa hivi itakuaje?
Hapakua na Twitter, TikTok, Whatsapp l, Instagram, telegram wala face book lakini waliweza.


Sasa kwa kweli maandamano yote hayo yalihusisha watu wenye madai Yao TU,lkn safari hii naona maandamano ya safari hii ya oct 29 naona yatahusisha watu wengi wenye mchanaganyiko wa madai mbali mbali ,hivyo haya yatakua maandamano ya watu we gubkuliko hayo niliyoeleza hapo juu.
Kwa mfano maandamano hayo yatahusisha Chadema wanaodai no reform no election,yatahusisha wahitajibwa usafiri Dar,wafanyabiashara,wakulima,wafanyakazi,wanafunzi waliomaliza vyuo bila ajira,wahanga wa huduma duni,wahanga wa utekaji,kuuawa kisiasa na uhalifu,uonevu wa polisi na mahakama,dhulma,rushwa,wapinga ufisadi kama wa Bandari,wapigania haki za binadamu,wapinga Viongozi kujilimbikizia mali wao na watoto wao na Wana mtandao,wataka katiba Mpya na Kila aina ya madai pamoja na wapenda mabadiliko walioichoka CCM.

Haya makundi yote yanaenda kutoka kwa pamoja Kwa mara ya kwanza toka nchi hii iwepo.

Ninaona Mapolisi wanaenda kuungana na wananchi kiaina baada ya kuona wananchi wana hoja na wanatetea maslahi ya taifa Zika na wao wakiwemo.

Naona kabisa Jeshi safari hii haliko tayari kutumika kuzima vilio vya wananchi ambao wao ndio jukumu lao kuwalinda.

Naona vyombo vingine pia vikiingia katika mkubo huo wa kua upande wa wananchi..

Ushauri,
Sitisheni uchaguzi itisheni mchakato wa katiba.
Bahati nzuri katiba pendekezwa ya Jaji Warioba ipo ,ifufueni tuliokoe taifa lisije likaingia katika historia ya umwagilaji wa damu.

Kitu kibaya zaidi hili ni wimbo,ni kwamba,Gen Z wa TZ wanataka kuionesha Dunia kwamba wao sio dhaifu,kwamba wao ni sawa na Gen Z wa Kenya ,Nepal, Egypt,Tunisia,Libya na Sasa Morocco na Madagascar.

kibaya kingije ni kua Capt Ibrahim Traole ameongeza ufahamu kwa waafrika kua ala!
kumbe inawezekana?

Na kibaya zaidi ICC wako on high alert.

Naiona colabo ya vyombo vyote vya ulinzi na usalama vikiungania kiaina na wananchi kuleta mabadiliko.

Haya ni maoni yangu kua maandamano yapo na ni real na msipuuze.
Okoeni taifa mapema muda bado upo.
unapoteza mda
 
Mimi ni miongoni mwa watu wa maono.
Nimekwisha ona mbele kua maandamano yapo kweli,tofauti na watu wengi wanavyodhani.

Haya ni maoni yangu kua maandamano yapo na ni real na msipuuze.
Okoeni taifa mapema muda bado upo.
Asante kwa maoni yako na maono, hakuna maandamano yoyote wala machafuko yoyote au vurugu yoyote October 29!, watu wajitokeze kwa wingi kwenda kupiga kura kuwachagua viongozi wanao wataka.
P
 
Mimi ni miongoni mwa watu wa maono.
Nimekwisha ona mbele kua maandamano yapo kweli,tofauti na watu wengi wanavyodhani.
Watu wengi wanaishi kwa mazoea kudhani Watanzania ni waoga,la ha sha.
Kila kitu kina wakati wake.
Watanzania wamechoka na huu sasa ni wakati wake.
Wala ishu sio Samaia,Bali kwamba inaenda kukatikia kwakwe.

Sio kwamba Tanzania haijawahi kua na maandamano,Bali kuliwahibkua na maandamano mengi TU ila tofauti maandamano hayo yalikua yanahusu taasisi au watu wenye mahitaji yanayofanana mfano maandamano ya wanafunzi wa vyuo vikuu,maandamano ya waislam kuhusu mabucha ya nguruwe,maandamano ya waislam kuhusu BALUKTA,maanadamnao ya Chadema kuzuia wizi wa ushindi wao wa majimbo ya uchaguzi wa wabunge mfano wabunge wa Chadema walioshinda ubunge lkn wakaobiwa ubunge wao ndipo wakaandamana na kufanya fujo Hadi wabunge wao wakarudishiwa ubunge wao,mfano Wenje jimbo la Nyamagana Mwanza,Lema Arusha mjini,Mnyika ubungo,Kasulibayi Shinyanga,Sugu,mbeya mjini,Machemli,Ukerewen n.k
Maandamano mengine ni ya Chadema yaliyopelekea mwanachuo Akwilina kupigwa risasi.

Kuna muda ilikua Kila ijumaa ikifika defender za polisi zilikua zikizunguka misikiti ya ijumaa na kwa mtoro kariakoo zikijiandaa kuzima maandamano ya waislamu waliokua wanajiamdaa kuandamana kudai haki zao.

Zama hizo hapakua na simu za mkononi kuweza kuhamasishana,lkn watu waliweza kuandamana,je Sasa hivi itakuaje?
Hapakua na Twitter, TikTok, Whatsapp l, Instagram, telegram wala face book lakini waliweza.


Sasa kwa kweli maandamano yote hayo yalihusisha watu wenye madai Yao TU,lkn safari hii naona maandamano ya safari hii ya oct 29 naona yatahusisha watu wengi wenye mchanaganyiko wa madai mbali mbali ,hivyo haya yatakua maandamano ya watu we gubkuliko hayo niliyoeleza hapo juu.
Kwa mfano maandamano hayo yatahusisha Chadema wanaodai no reform no election,yatahusisha wahitajibwa usafiri Dar,wafanyabiashara,wakulima,wafanyakazi,wanafunzi waliomaliza vyuo bila ajira,wahanga wa huduma duni,wahanga wa utekaji,kuuawa kisiasa na uhalifu,uonevu wa polisi na mahakama,dhulma,rushwa,wapinga ufisadi kama wa Bandari,wapigania haki za binadamu,wapinga Viongozi kujilimbikizia mali wao na watoto wao na Wana mtandao,wataka katiba Mpya na Kila aina ya madai pamoja na wapenda mabadiliko walioichoka CCM.

Haya makundi yote yanaenda kutoka kwa pamoja Kwa mara ya kwanza toka nchi hii iwepo.

Ninaona Mapolisi wanaenda kuungana na wananchi kiaina baada ya kuona wananchi wana hoja na wanatetea maslahi ya taifa Zika na wao wakiwemo.

Naona kabisa Jeshi safari hii haliko tayari kutumika kuzima vilio vya wananchi ambao wao ndio jukumu lao kuwalinda.

Naona vyombo vingine pia vikiingia katika mkubo huo wa kua upande wa wananchi..

Ushauri,
Sitisheni uchaguzi itisheni mchakato wa katiba.
Bahati nzuri katiba pendekezwa ya Jaji Warioba ipo ,ifufueni tuliokoe taifa lisije likaingia katika historia ya umwagilaji wa damu.

Kitu kibaya zaidi hili ni wimbo,ni kwamba,Gen Z wa TZ wanataka kuionesha Dunia kwamba wao sio dhaifu,kwamba wao ni sawa na Gen Z wa Kenya ,Nepal, Egypt,Tunisia,Libya na Sasa Morocco na Madagascar.

kibaya kingije ni kua Capt Ibrahim Traole ameongeza ufahamu kwa waafrika kua ala!
kumbe inawezekana?

Na kibaya zaidi ICC wako on high alert.

Naiona colabo ya vyombo vyote vya ulinzi na usalama vikiungania kiaina na wananchi kuleta mabadiliko.

Haya ni maoni yangu kua maandamano yapo na ni real na msipuuze.
Okoeni taifa mapema muda bado upo.
Unadhani Samuya na Kikwete watakusikia basi? Hao ni hadi pale watakaposhuhudia msururu wa Wananchi ukielekea Ikulu, ndipo watakapokurupuka mbio na KUKIMBIA nchi.
 
Back
Top Bottom