Sitasikiliza tena RADIO ONE kipindi cha sports saa 1.30 usiku

Upumbavu mtupu,walitakiwa kumweleza Boss wao kuwa ile ni media na kama ilivyo media yeyote jukumu lake ni kutangaza habari kwa mujibu wa maadili ya sekta hiyo,ugomvi wao Manji na Mengi binafsi haupaswi kuingizwa kwanye kazi/business otherwise inaweza kuathiri sana ufanisi wa chombo hicho kama chombo cha habari,fikiria YusufMaka amejiapiza kutosikiliza tena hicho kipindi chao cha michezo,Dangonini sijui naye kaboreka,Nawaza naye hajaipenda na mimi Anselm pia naungana nao,nina uhakika wako wengi watakaokuwa wameboreka na ile act yao,wote tukitengeneza chuki siyo kwamba tutaacha kusikiliza tu bali hatutakaa tupeleke matangazo siyo ya biashara tu hata ya vifo...matokeo yake mapato ya Radio lazima yatateremka,yakiteremka kuna hatari ya hao wanaomwabudu huyo Mengi wao na kumyeyekea wakaathirika na wenyewe kwa namna moja au nyingine sasa mana'ke nini?
Kila mtu ana haki za kutekeleza maagizo ya Mwajiri wake lkn sote kama watu wazima na tulioelimika tuna nafasi za kuwashauri Waajiri wetu hasa katika masuala nyeti yanayoweza kuwa na impact mbaya kwa Kampuni/Shirika etc
Mambo mengine si utoto tu bali ni ujinga na uhaba wa kuelimika,(kina Kitenge) wangekuwa wameelimika kweli na kuwa na sifa zile stahili zinazohitajika na nafasi zao hizo walizozishika wangetafuta namna nyingine ya kutekeleza hayo maagizo ya Boss wao (kama yapo) kuliko kuutangazia Uma kuwa Makamu Mwenyekiti ndo Boss Mkuu wa Yanga huo ni us***e
Na mtu yeyote mwenye akili timamu (ukiondoa wapenzi wa Simba waliochukizwa na kuchaguliwa kwa Manji kuwa Mwenyekiti) hawezi ku'support us***e huo.
 
mtawalaumu bure watangazaji wakati hawana makosa na kama ni makosa basi anayo bwana wenu yusufu manji, yeye ndiye alikataa kwa kuweka pingamizi mahakamani kwa baadhi ya vyombo vya habari visiandike masuala yake, na kwa taarifa yako sio vyombo vya IPP MEDIA tu ila hata gazeti la Mwananchi na lenyewe huwa haliandiki jina lake bali huwa wanaandika mfanyabiashara maarufu wa Dar es Salaam maana na wao walikatazwa kumuandika, kama unabisha fuatilia Mwananchi na Mwanaspoti kesho uone kama wataandika jina la Yusufu Manji
BTW, radio siku hizi ni nyingi sana kwani lazima usikie habari za bwana wako kupitia Radio One tuu?
Kifupi ni kwamba sitasikiliza hlo redio lililopitwa na wakati kama RTD....spoti leo ndo kipindi pekee nilichokuwa na kiskiliza kuanzia leo MWISHO!
 
Huyo Mengi ndo mana vyombo vyake vya habari vinayumba na kupigwa bao na vyombo vingine vya habari KAMA CLOUDS na magazeti yke yamefuliiia kwa kuendekeza habari za kike!
 
Ulitaka apoteze kibarua kwa ajili yako? Au wewe unaweza kuacha kwenda kazini kwa sababu ya kusherehekea birthday ya mkeo umpendaye halafu usifutwe kazi? Kuweni wakweli. Na kama matokeo uliyajua ulitaka uyasikie tena ya nini? Nakupongeza Kitenge kwa kufuata maelekezo ya bosi wako.
Mwandishi anayejua kazi yake na kujiamini yupo tayari hata kufa kulinda heshima ya kazi yake,au hujasikia waaandishi wakiripoti katikati ya uwanja wa vit,nini kupoteza kazi
 
mtawalaumu bure watangazaji wakati hawana makosa na kama ni makosa basi anayo bwana wenu yusufu manji, yeye ndiye alikataa kwa kuweka pingamizi mahakamani kwa baadhi ya vyombo vya habari visiandike masuala yake, na kwa taarifa yako sio vyombo vya IPP MEDIA tu ila hata gazeti la Mwananchi na lenyewe huwa haliandiki jina lake bali huwa wanaandika mfanyabiashara maarufu wa Dar es Salaam maana na wao walikatazwa kumuandika, kama unabisha fuatilia Mwananchi na Mwanaspoti kesho uone kama wataandika jina la Yusufu Manji
BTW, radio siku hizi ni nyingi sana kwani lazima usikie habari za bwana wako kupitia Radio One tuu?
Kama ni hivyo,sawa...lakini kwanini wasapoti wapinzani wa manji na kuwapiga debe,kwanini wasikae kimya kabisa?! Na *wasiripoti habari za yanga kabisa tuone nani anamuhitataji mwenzake...was***enge wakubwa
 
Back
Top Bottom