Baada ya Kipindi cha Michezo Kipya cha Usiku cha E-Sports cha EFM Radio Kudoda mapema sasa wamekuja na Ahadi ya Kugawa Pesa ili Kisikilizwe

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,646
109,034
Kipindi cha Michezo Kizuri cha Usiku cha Sports Extra cha Clouds FM kinapendwa na kinasikilizwa na Wengi (GENTAMYCINE nikiwemo) si kwa Kuahidiwa nao kupewa Pesa Nono.

Baada ya Kitenge na Wenzake wa EFM Michezo Kukurupuka na kuja na Kipindi chao Kirefu cha Michezo cha Usiku cha E-Sports kuanzia saa 3 hadi Saa 5 Kuwadodea (Kuboa na Watu Kutokipenda kwani hakina jipya) hatimaye ili Kuvutia Wasikilizaji wengi wameamua kuja na Mbinu mpya ya Kuuliza Maswali Wasikilizaji na Ukishinda (ukijibu sahihi) unapewa Zawadi yako ya Shilingi Milioni Moja za Kitanzania.

GENTAMYCINE nimalizie kwa Kuwaambia EFM Michezo mkiongozwa na Boss wenu na mwana Yanga SC lia lia Maulid Kitenge kuwa hata mje na Ahadi za Pesa (kama hii) ila mkiwa hamna Ubunifu kwa Wasikilizaji wenu (hasa upande wa Contents zenu) mtakuwa mnapaka tu Rangi Upepo (Kazi bure) na baadae mtaanza kusema kuwa Mnarogwa na Washindani wenu ambao siwafichi kuwataja kuwa ni Clouds FM (CMG)
 
Wakitaka kusikilizwa na wenye akili zao, iwe asubuhi kwenye headquarters au hicho cha usiku, kwanza waache ushabiki maandazi na mipasho kwenye kipindi chao , wanaboa sana, tena hasa Kitenge, Twalib Muha, na Tunu.

Hao watatu niliowataja hapo juu ndio wanapoteza kabisa mvuto wa hicho kipindi, wameweka profession pembeni kwa makusudi na kuamua kuwa mashabiki wasiofuata miiko ya kazi yao, waliojaa sifa na mipasho, Sports Extra itaendelea kuwa juu yao tu.

Wanawafanya mpaka wale wanaojielewa, kina Maestro na Jemedari wasionekane ukongwe wao kitaaluma, hao kina Muha waliniboa sana siku waliyobishana na Jemedari kutaka zawadi wanazopewa Yanga na Simba na Rais zisifanane kwasababu wako mashindano tofauti.

Wakapewa mfano wa ukubwa wa zawadi zinazotolewa na CAF kwa washindi wa mashindano yote, bado wakawa hawaelewi, wakapewa tena vigezo vya kushiriki hayo mashindano kuonesha ukubwa wa CAFCL, lakini ajabu bado wakawa wanabisha kama watoto wadogo!

Hapo ndipo nikaona hapa hakuna kitu cha kusikiliza tena, ni mipasho tu.
 
Wakitaka kusikilizwa na wenye akili zao, iwe asubuhi kwenye headquarters au hicho cha usiku, kwanza waache ushabiki maandazi na mipasho kwenye kipindi chao , wanaboa sana, tena hasa Kitenge, Twalib Muha, na Tunu.

Hao watatu niliowataja hapo juu ndio wanapoteza kabisa mvuto wa hicho kipindi, wameweka profession pembeni kwa makusudi na kuamua kuwa mashabiki wasiofuata miiko ya kazi yao, waliojaa sifa na mipasho, Sports Extra itaendelea kuwa juu yao tu.

Wanawafanya mpaka wale wanaojielewa, kina Maestro na Jemedari wasionekane ukongwe wao kitaaluma, hao kina Muha waliniboa sana siku waliyobishana na Jemedari kutaka zawadi wanazopewa Yanga na Simba na Rais zisifanane kwasababu wako mashindano tofauti.

Wakapewa mfano wa ukubwa wa zawadi zinazotolewa na CAF kwa washindi wa mashindano yote, bado wakawa hawaelewi, wakapewa tena vigezo vya kushiriki hayo mashindano kuonesha ukubwa wa CAFCL, lakini ajabu bado wakawa wanabisha kama watoto wadogo!.

Hapo ndipo nikaona hapa hakuna kitu cha kusikiliza tena, ni mipasho tu.
Sema wale wote waduanzi tu, hata huyo jemedar na na oluma hamna kitu zaidi ya kuendekeza hisia zao badala ya profession. Kidogo Geoff na Maestro. Mi nilishaacha kusikiliza efm sababu ya unazi wao usio na msingi
 
Sema wale wote waduanzi tu, hata huyo jemedar na na oluma hamna kitu zaidi ya kuendekeza hisia zao badala ya profession. Kidogo Geoff na Maestro. Mi nilishaacha kusikiliza efm sababu ya unazi wao usio na msingi
Wanaamini kuna kundi la mashabiki nje wanaopenda unazi badala ya profession, sasa wacha wabaki na ujinga wao wa kucheka cheka studio kama wako kwenye kitchen party.
 
Wakitaka kusikilizwa na wenye akili zao, iwe asubuhi kwenye headquarters au hicho cha usiku, kwanza waache ushabiki maandazi na mipasho kwenye kipindi chao , wanaboa sana, tena hasa Kitenge, Twalib Muha, na Tunu.

Hao watatu niliowataja hapo juu ndio wanapoteza kabisa mvuto wa hicho kipindi, wameweka profession pembeni kwa makusudi na kuamua kuwa mashabiki wasiofuata miiko ya kazi yao, waliojaa sifa na mipasho, Sports Extra itaendelea kuwa juu yao tu.

Wanawafanya mpaka wale wanaojielewa, kina Maestro na Jemedari wasionekane ukongwe wao kitaaluma, hao kina Muha waliniboa sana siku waliyobishana na Jemedari kutaka zawadi wanazopewa Yanga na Simba na Rais zisifanane kwasababu wako mashindano tofauti.

Wakapewa mfano wa ukubwa wa zawadi zinazotolewa na CAF kwa washindi wa mashindano yote, bado wakawa hawaelewi, wakapewa tena vigezo vya kushiriki hayo mashindano kuonesha ukubwa wa CAFCL, lakini ajabu bado wakawa wanabisha kama watoto wadogo!

Hapo ndipo nikaona hapa hakuna kitu cha kusikiliza tena, ni mipasho tu.
Wew ndo ume nyoosha mstari
 
Nikisemaga kwa hapa nchini radio station ya kusikiliza ni moja tu (mawingu fm) watu huniona kama nina chuki binafsi. Kutokana na umri wangu, huu ni mwaka wa 13 mimi nawasikiliza mawingu tu!, sijawahi vutiwa na kituo kingine coz hawana content. PERIOD!
 
Kipindi cha Michezo Kizuri cha Usiku cha Sports Extra cha Clouds FM kinapendwa na kinasikilizwa na Wengi (GENTAMYCINE nikiwemo) si kwa Kuahidiwa nao kupewa Pesa Nono.

Baada ya Kitenge na Wenzake wa EFM Michezo Kukurupuka na kuja na Kipindi chao Kirefu cha Michezo cha Usiku cha E-Sports kuanzia saa 3 hadi Saa 5 Kuwadodea (Kuboa na Watu Kutokipenda kwani hakina jipya) hatimaye ili Kuvutia Wasikilizaji wengi wameamua kuja na Mbinu mpya ya Kuuliza Maswali Wasikilizaji na Ukishinda (ukijibu sahihi) unapewa Zawadi yako ya Shilingi Milioni Moja za Kitanzania.

GENTAMYCINE nimalizie kwa Kuwaambia EFM Michezo mkiongozwa na Boss wenu na mwana Yanga SC lia lia Maulid Kitenge kuwa hata mje na Ahadi za Pesa (kama hii) ila mkiwa hamna Ubunifu kwa Wasikilizaji wenu (hasa upande wa Contents zenu) mtakuwa mnapaka tu Rangi Upepo (Kazi bure) na baadae mtaanza kusema kuwa Mnarogwa na Washindani wenu ambao siwafichi kuwataja kuwa ni Clouds FM (CMG)
Ukiona mpaka unakisimulia basi tayari wameshakupata mmoja tayari.
Hadi umekuja kuwapigia promo na kupelekea hata mimi niliyekua sikijui kama kipo, sasa najua kipo na umesababisha usiku wa leo nikivizie ili nikisikilize
 
Ukiona mpaka unakisimulia basi tayari wameshakupata mmoja tayari.
Hadi umekuja kuwapigia promo na kupelekea hata mimi niliyekua sikijui kama kipo, sasa najua kipo na umesababisha usiku wa leo nikivizie ili nikisikilize
Mbinu yangu imefanikiwa kwa Ukubwa.
 
Wakitaka kusikilizwa na wenye akili zao, iwe asubuhi kwenye headquarters au hicho cha usiku, kwanza waache ushabiki maandazi na mipasho kwenye kipindi chao , wanaboa sana, tena hasa Kitenge, Twalib Muha, na Tunu.

Hao watatu niliowataja hapo juu ndio wanapoteza kabisa mvuto wa hicho kipindi, wameweka profession pembeni kwa makusudi na kuamua kuwa mashabiki wasiofuata miiko ya kazi yao, waliojaa sifa na mipasho, Sports Extra itaendelea kuwa juu yao tu.

Wanawafanya mpaka wale wanaojielewa, kina Maestro na Jemedari wasionekane ukongwe wao kitaaluma, hao kina Muha waliniboa sana siku waliyobishana na Jemedari kutaka zawadi wanazopewa Yanga na Simba na Rais zisifanane kwasababu wako mashindano tofauti.

Wakapewa mfano wa ukubwa wa zawadi zinazotolewa na CAF kwa washindi wa mashindano yote, bado wakawa hawaelewi, wakapewa tena vigezo vya kushiriki hayo mashindano kuonesha ukubwa wa CAFCL, lakini ajabu bado wakawa wanabisha kama watoto wadogo!

Hapo ndipo nikaona hapa hakuna kitu cha kusikiliza tena, ni mipasho tu.
Kama hilo li muha ni pumbafu sana, hakuna linachojua zaidi ya kupiga makelelw tu na ubishi wa kijinga
 
Niwe mkweli sports EXTRA ndio chagua langu la siku zoote.

Lakini sjui sport arena mara E sports, huku siwez gusa,

hawana content, hurudia mada zilezile,
Na hata nliposkia wanakuja na mkakati wa kurusha kipindi hicho muda sawa na Clouds FM, baasi hapo ndio nlipoliona anguko lao

Warejee na wafanje tafiti Kisha waje na mkakati mpya.

Tunatamani tuwe na wapinzani ki mijadala baina ya Vituo tofaut nchini.
 
Kama hilo li muha ni pumbafu sana, hakuna linachojua zaidi ya kupiga makelelw tu na ubishi wa kijinga
Wale ni wajinga waliookotwa barabarani hawana qualification yoyote wanaharibu tasnia ya wanaojitambua.
 
Back
Top Bottom