Sitasahau nilivyonusurika kuuliwa kinyama na baba yangu mzazi

KISIWAGA kuna baba mmoja tajiri alifiwa na mke wake na kumuachia mtoto mmoja wa kiume. Alimlea yule mtoto kama single father lakini alimpenda sana. Alikwenda nae business trips Nairobi hata Afrika Kusini.

Mtoto alikua mjanja na mwenye akili sana. Alipofika secondary alimpeleka boarding school. Mzee alianza kuwa mpweke. Pale ndiyo wazo la kuoa lilimjia.

Mke mpya alijaliwa mtoto wa kiume. Roho ilimuuma alipoona mume wake anaongea na yule mtoto mkubwa mambo mengi ya biashara na mali.

Alipanga kumuua yule mtoto. Alikodi watu na kuwapa pesa wamteke mtoto na kumuua. Wale wauwaji walitokea kumpenda yule mtoto kwakua alikua very gentle man.

Mmoja alimtorosha kwa ahadi kuwa asirudi nyumbani kwao, alimpa mchongo mzima.

Mtoto alikumbia mpaka pumzika ikaanza kukata. Alipata wazo la kwenda polisi. Aliwaeleza polisi kila kitu. Polisi walimfuata baba yake na kumueleza.

Kama siku za za kufa bado utapona tu.
 
Sema mwanangu ww mbinafsi kichizi. Yani umeshindwa kujitoa ili familia iishi kitajiri?
 
So what?
 
Tobaa huyo labda ni step dad, mzazi kabisa? Aisee wababa wanavopenda watoto wao🤔
I'm not attacking you.
Lakini wewe umelelewa na wababa wangapi na kufanya tafiti pia kuchukua sample za kutosha mpaka uje na conclusion kama hiyo?

Kama umelelewa na baba mmoja basi trust me nikisema una'generalize na kujiongopea, ulimwengu ni mpana sana bi'dada.
 
Nina msemo wangu nasema kwamba "ni bora usizaliwe kabisa kuliko kuzaliwa na mzazi asiyejitambua."
Kama wewe unajitambua una mauchafu yako, akili zako hazipo sawa au labda ni kichaa unayetembea na psychopath, basi bora usizae kabisa ukaja kumpa shida na kumtesa huyo mtoto asiye na hatia.

Wewe subiri tu ufe peke yako.
 
🤣🤣🤣🤣 Jf Raha sana.. pole sana mkuu. Pole Kwa kuzaliwa na mzazi katili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…