Sitamani tena kuoa

Sitamani tena kuoa

Hapa nakwenda kama Mshangiliaji, Mtazamaji
 
Moja ya ujinga mkubwa ni kutuuliza namna ya kuacha ujinga unaofanya wewe na ulianza kuufanya ukijidhania mjanja,vijana wa dar wengi hamna tofauti na mabinti,km unaelimu ya chuo na bado unafikiri na kuamua hatima yako kwa kiwango hiki aisee wewe ni hasara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu we unaonekana mhenga....Kunywa pombe + Kulala na wadada 10 hiyo ni kwa siku 1 tu.
 
Dah....if you're happy with it GO AHEAD........

Sent from my beretta ARX 160 using JamiiForums Mobile App
 
Acha kutufanya watoto humu,hebu kawaghanie ngonjera zako watoto wa primary
 
Kuna mchungaji flani sijui redio gani hivi , yy kila nikifungulia akipigiwa simu na msikilizaji aka muelezea shida yake...

Majibu ya huyo Pastor ni "utakuwa uchukuliwa nyota yako, njoo kesho saa 3 asubuhi njia ya Airport- Ilemela Mwanza" nimesahau kanisa lake lakini.

Mungu ni mkubwa, nenda uka ombewe.

Au tafta wazee wa jadi kijijini....wakupe mzee mtaalamu...

Jaribu

JPM KAMATA WEZI
 
duuuuh, hadi wanakukopesha, hawajakukopesha na ngwengwe kweli??
 
Sawa unaweza kubusti na VIAGRA,mchuzi wa pweza,
Mihogo mibichi
Ila machangu 10 kwa siku kwa busi hili hili la BODI 7000/- kwa siku
Ebu acha kamba aises
 
Si umesema ushapewa ushauri lkn ukaamuwa kuusikiliza moyo wako unasemje kuwa uwatafune madada poa!sasa unata kuukana moyo wako tena?
 
Mrudie Mungu mwamini yeye ni muaminifu atakusaidia by the way pombe sio rafiki wa kweli,rafiki wa kweli ni Mungu tu aliyemtoa mwanae Yesu Kristo afe kwa ajili yangu na yako yoh 3:16 so ndugu yangu amini unaweza kubadilika
 
Back
Top Bottom