Sitamani mapenzi, nimekinai kabisa

Sitamani mapenzi, nimekinai kabisa

Bado Mungu Anaweza!!!
Jipe Moyo bila kukata tamaa na Mwombe Mungu hajawahi kushindwa.
 
Ukiwa na house girl lazima uzae nae. Hata Ibrahim, Yakobo, Selemani na Daudi walizaa na ma house girl, house girl hayupo pale ili apige deki wala kupika. Yuko pale kwa ajili ya kumsaidia mama tendo la ndoa. House girl yuko pale ili baba amtafune. Na house girl ataondoka iwapo baba hajamtafuna. Hebu tafakari house girl anapoishi kwako atachukuliwa na nani? Baba asipomtafuna house girl atamtengenezea mazingira mabaya. Mbona Ibrahim alizaa na mjakazi wake Hajra!!! Selemani alitoka nao 300!! We kamoja tu! Gonga buana. ViVA Nabii TITO...
 
Jamani hizi ndoa!.
Tutaoa kweli?
Pole my dada, jipe moyo, Mungu ni mwema!
 
hii hatari aisee wanaume sisi nasi dah sijui udhaifu huu tutaudhibiti lini...pole dada yetu na sie ndoa zatusubiri
 
Hapana mkuu, mi nasemaga mnafanya wrong choice kupata mwenza. Si unaona mwenyewe hapo juu umesema vizuri kuwa kuna wanaume wana adabu zao. So why not choose these you ladies??!!

cc atoto

Hao wanaume wenye adabu zao katika kumi kumpata moja ni kwa tabu sana
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu,

Poleni na majukumu pamoja na pilika za siasa. Mimi ni mama mwenye mume na familia kiumri ni miaka 38. Ni mfatiliaji mzuri wa habari za huku leo nami nineona niwape ya kwangu. Kifupi nimechoshwa na mapenzi, sitamani mapenzi, nimekinai sitaki hata kusikia habari zake.

Mbaya zaidi siku zinavozidi kwenda sitaki hata kuhudhuria harusi au ndoa. Nikiona tukio hilo huwa linanitesa sana na hii ni baada ya kuona ndoa nyingi hazina amani, wanandoa wengi wanaishi maisha yasio na amani.

Nilibahatika kuchaguliwa nafasi ya malezi kanisani ambapo ndoa nyingi zilizokuwa zikija kuleta malalamiko kanisan nikiitwa na mch kutoa ushauri. Kwakweli nilikua naumia sana. Sikutamani hayo yanikute nilijua iwapo yatanitokea yatanitesa sana.

Sasa yamenikuta na yananitesa sana, nashindwa kujishauri japo kwa wengine nilifanikiwa kiasi fulan. Ama kweli mganga hajigangi. Kupitia kusikiliza ndoa nyingi zenye maumivu nilijitahidi sana kutimiza wajibu wangu kama mama, nilimpenda mume wangu, nilimjali sana, mara nyingi nilimsisitiza awe mwaminifu nami nilijitahi pia kuwa mwaminifu mume wangu si mlevi wa pombe ila ana kaulevi kake.

Jaman sikuamini kilichotokea, alitembea na mtoto wa kaka angu bila mimi kujua akatembea na hg na kumpa mimba. Siku niliyomfuma housegirl akakiri na kuniambia hata mtoto wa kaka yangu ametembea na baba ndio maana walikua hawapendani. Housegirl alirudi kwao na amejifungua. Mtoto wa kaka nae alirudi kwa mama ake nilimchukua baada ya baba ake kufariki. Ni zaidi ya miezi sita imepita nashindwa kumsamehe huyu mume, simtaman kabisa.

Nipo kwa kulea watoto ila ameniumiza sana. Sitaki kabisa kushiriki nae tendo la ndoa silitaman kabisa. Mara nyingi nilisikia taarifa mbaya za mume wangu nilipuuza hata nilipojaribu kumuuliza alikua mkali sana. Baada ya fumanizi hili yote niliowahi kusikia kumbe yalikua yana ukweli kabisa.

Nimeumia sana, sana. Nimemwambia na kumpa uhuru andelee tu na wao anaona wanamfaa mimi tena basi. Yaan ndoa hizi zina mambo. Polen wanandoa wote mnaopita katika kipindi kigumu. Mwenzenu nimeinua mikono.

Sijui kwanini ndoa badala ziwe na amani zinakua jehanam ya dunia. Mh!!

Hujampata wa kukuchapa nao
mbona utasahauu tu
wewe ni mama uchungu wa kujifungua waujua lakini bado uliendelea kuchapwa

ipe muda utasahau...usijudhulumu nafsi kwa kutochapwa mjebele.
 
Hao wanaume wenye adabu zao katika kumi kumpata moja ni kwa tabu sana

Hata wife material ni adimu hivyo hivyo kama walivyo adimu wanaume wa maana. So ni kushirikisha zaidi akili yako huku ukimuomba Mungu akupatie huyo huyo wa maana
 
Hata wife material ni adimu hivyo hivyo kama walivyo adimu wanaume wa maana. So ni kushirikisha zaidi akili yako huku ukimuomba Mungu akupatie huyo huyo wa maana

Well said katika mahusiano kumshirikisha MUNGU ni jambo la muhimu sana hata kama uhusiano ni mchanga
ili kama siyo chaguo lako sahihi MUNGU akuonyeshe mapemaaa kuepuka machozi
 
Habari zenu,

Poleni na majukumu pamoja na pilika za siasa. Mimi ni mama mwenye mume na familia kiumri ni miaka 38. Ni mfatiliaji mzuri wa habari za huku leo nami nineona niwape ya kwangu. Kifupi nimechoshwa na mapenzi, sitamani mapenzi, nimekinai sitaki hata kusikia habari zake.

Mbaya zaidi siku zinavozidi kwenda sitaki hata kuhudhuria harusi au ndoa. Nikiona tukio hilo huwa linanitesa sana na hii ni baada ya kuona ndoa nyingi hazina amani, wanandoa wengi wanaishi maisha yasio na amani.

Nilibahatika kuchaguliwa nafasi ya malezi kanisani ambapo ndoa nyingi zilizokuwa zikija kuleta malalamiko kanisan nikiitwa na mch kutoa ushauri. Kwakweli nilikua naumia sana. Sikutamani hayo yanikute nilijua iwapo yatanitokea yatanitesa sana.

Sasa yamenikuta na yananitesa sana, nashindwa kujishauri japo kwa wengine nilifanikiwa kiasi fulan. Ama kweli mganga hajigangi. Kupitia kusikiliza ndoa nyingi zenye maumivu nilijitahidi sana kutimiza wajibu wangu kama mama, nilimpenda mume wangu, nilimjali sana, mara nyingi nilimsisitiza awe mwaminifu nami nilijitahi pia kuwa mwaminifu mume wangu si mlevi wa pombe ila ana kaulevi kake.

Jaman sikuamini kilichotokea, alitembea na mtoto wa kaka angu bila mimi kujua akatembea na hg na kumpa mimba. Siku niliyomfuma housegirl akakiri na kuniambia hata mtoto wa kaka yangu ametembea na baba ndio maana walikua hawapendani. Housegirl alirudi kwao na amejifungua. Mtoto wa kaka nae alirudi kwa mama ake nilimchukua baada ya baba ake kufariki. Ni zaidi ya miezi sita imepita nashindwa kumsamehe huyu mume, simtaman kabisa.

Nipo kwa kulea watoto ila ameniumiza sana. Sitaki kabisa kushiriki nae tendo la ndoa silitaman kabisa. Mara nyingi nilisikia taarifa mbaya za mume wangu nilipuuza hata nilipojaribu kumuuliza alikua mkali sana. Baada ya fumanizi hili yote niliowahi kusikia kumbe yalikua yana ukweli kabisa.

Nimeumia sana, sana. Nimemwambia na kumpa uhuru andelee tu na wao anaona wanamfaa mimi tena basi. Yaan ndoa hizi zina mambo. Polen wanandoa wote mnaopita katika kipindi kigumu. Mwenzenu nimeinua mikono.

Sijui kwanini ndoa badala ziwe na amani zinakua jehanam ya dunia. Mh!!

Pole sana, na maradhi ya siku hizi bora umuombee ukiwa pembeni asije akasababisha mkaiongezea jamii yatima.
Tatizo wanawake wengi dalili mbaya tunazisikia hatuchunguzi hivyo hata hatua ya kuomba haifikiwi. .. tena mtu akikwambia unamuona mbaya au kwamba anamtaka bwana ako iwapo ni mwanamke.
Hapo angalia watoto tu, addiction haiponi kirahisi kwa wanaume hasa aina aliyonayo mumeo mpk Mungu aingilie kati. Na wengi wanaamka wakiwa wameshaharibu mambo mengi, na wamepata madhara tayari ndo wanaanza kutia huruma.
Mungu akusaidie, usikate tamaa kuomba kwa ajili ya familia yako hasa watoto maana watoto wa malaya hulipia gharama za tabia za wazazi wao...lawama za waliotendewa ubaya na uchafu wa wazazi wao huleta laana.
 
Last edited by a moderator:
Yaan mume wangu tangu tuoane sikuwahi kumuomba pesa ya mahitaji yangu au matumizi binafsi. Na hata mahitaji na majukum ya ndan ada za watoto nk tulikua tunasaidiana. Nguo, viatu nk nilijitahidi kumpamba hajui kununua soks underwear, mikanda sendoz vest nk. Nikienda kufanya shoping namfanyia hii ni kwa sababu nilikua nampenda na kumjali sana. Lakin tangu nigundue naishi na mtu asijua kupendwa ni nini. Nimesitisha mambo mengi sana.

Pole sana, tangu akuoe wewe iliwahi kumsaliti mara ngapi?
 
That aint enough my kaka, bado tunasaidiana ktk kutambua kuwa sote tumefanya chaguzi sahihi, hata kama choice itakuwa right bado kama hakutokuwa na "mahusiano" baina yenu bado mabalaa yatawaandama tu, na kama bado utakaa kusubiri nikosee ili unizodoe kisa nilikuchagua eti mimi ndio mwenye makosa basi tunarudi kulekuleeeee. Jitambueni mturahisishie kazi ya kuwasaidia.

Wakat mwingine unaweza fanya right choice akaja badilika badae.
 
Back
Top Bottom