Paap
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 1,493
- 1,401
That aint enough my kaka, bado tunasaidiana ktk kutambua kuwa sote tumefanya chaguzi sahihi, hata kama choice itakuwa right bado kama hakutokuwa na "mahusiano" baina yenu bado mabalaa yatawaandama tu, na kama bado utakaa kusubiri nikosee ili unizodoe kisa nilikuchagua eti mimi ndio mwenye makosa basi tunarudi kulekuleeeee. Jitambueni mturahisishie kazi ya kuwasaidia.
Wakat mwingine unaweza fanya right choice akaja badilika badae.tunaita kuharibikia ukubwani