Sitamani mapenzi, nimekinai kabisa

Sitamani mapenzi, nimekinai kabisa

umri unachangia pia +38, kama ungekuwa kijijini ni bibi kwa wajukuu 10+, una haki ya kupumzika.

we kabila gani? huku kwetu rukhsa kuoa mtu na dada yake mf. mobutu alioa mapacha; ni wivu tu wakizee unaogopa ukewenza.
 
kwanini ukate ukate tamaa kwa ajili ya mtu mmoja,
 
Pole sana......

Mwanaume anayetembea na ndugu yako wa damu hafai...tupa mbali sana..... hashindwi hata kutongoza wanae mfyuuu zake

Na inakera sana anapotembea na hg.....

Ilanusifunge moyo wako.kwa sababu ya bazazi mmoja....kuna wanaume wenye adabu zao
 
Duh, aisee I can imagine unavyoumia sista atoto

Sina cha kusema zaidi, nadhani unaweza kukumbuka kile kigezo cha ucha Mungu tulichokuwa tunajadili siku ile na 'mfanyakazi wako' Heaven Sent, pia nikahusisha na maneno ya kwenye signature yangu.

Otherwise ni wanaume wachache sana, tena sana wanaweza kushinda dhambi ya uzinzi
 
Last edited by a moderator:
Bora umuite.....

Maana anasemaga kuwa tunatetea wanawake.....

Juzi kati hapo kuna mwanamke kalalamika mumewe anabaka ndugu za mkewe.........(sio jf)

Hapana mkuu, mi nasemaga mnafanya wrong choice kupata mwenza. Si unaona mwenyewe hapo juu umesema vizuri kuwa kuna wanaume wana adabu zao. So why not choose these you ladies??!!

cc atoto
 
Last edited by a moderator:
redo

POLE POLE POLE POLE SANA DADA.
NI KWELI UMEUMIZWA KIASI KIKUBWA

LAKINI KUMBUKA KUSAMEHE HATA MARA SABINI
ongea naye umwambie wazi jinsi ulivyoumia
 
Last edited by a moderator:
Bora umuite.....

Maana anasemaga kuwa tunatetea wanawake.....

Juzi kati hapo kuna mwanamke kalalamika mumewe anabaka ndugu za mkewe.........(sio jf)

Hivi unadhani kwenye hili mito atakubali tatizo lao? Yeye matatizo ni ya wanawake tu!

Hapana mkuu, mi nasemaga mnafanya wrong choice kupata mwenza. Si unaona mwenyewe hapo juu umesema vizuri kuwa kuna wanaume wana adabu zao. So why not choose these you ladies??!!

cc atoto

I knew it!
 
Last edited by a moderator:
hapo sasa ndo wakati wetu serengeti boys kufanya yetu. huyo mumeo mbona utamsahau
 
Asante wote. Ni kweli sio ndoa zote mbaya lakin asilimia kubwa za ndoa ni maumivu. Mke akiwa mwema mume mkorofi. Mume akiwa mwema mke mkorofi. Jaman sijui kwanini huwa tunasahau upendo wa mwanzo. Yana mume wangu


Huyo mumeo bado unaishi nae? Au kila mtu anakaa kwake?
 
Tangu ndoa ilipopoteza maana na kuwa chombo cha maadili imekua tafrani.


Ndoa ni ndoto yangu, ndoa ndoa
Ndoa ni ombi langu, ndoa ndoa
Ni usafiri wa ndoto yangu ndoa ndoa
Ni mpango wa Mungu wangu,ndoa ndoa


Lakini imegeuka mwiba, ndoa ndoa
Imeua maono yangum ndoa ndoa
Imekuwa ni mateso kwangu ndoa ndo




NAIMBA TU MIMI JAMANI.


Njoo nikuoe my lady.
Nitatembea na ndugu zako wote. Mahaus geli wote nitawapitia.
 
Duh, aisee I can imagine unavyoumia sista atoto

Sina cha kusema zaidi, nadhani unaweza kukumbuka kile kigezo cha ucha Mungu tulichokuwa tunajadili siku ile na 'mfanyakazi wako' Heaven Sent, pia nikahusisha na maneno ya kwenye signature yangu.

Otherwise ni wanaume wachache sana, tena sana wanaweza kushinda dhambi ya uzinzi

Hapana hebu kumbuka mwanamke pekee ndio atakiwa kuwa mcha Mungu, (according to you), maana ndio wanaofanya choices, nyie si mnabeba tu ilimradi kakuvutia mvuto wa nje.
 
Last edited by a moderator:
Jamani jamani jamnani!! Hivi kwa hilo lililotokea hata huo mkuno mzuri unaouongelea unadhani unakuwa na hamu nao!! Genye zote zinakata! Usiombe yakukute.

Dada wanaume ni wahuni sana kumbe ulikua hujui? Sasa ulikuwa mshauri wa ndoa wakati bado hujafuzu vidato sasa hivyo ndio vidato ukishauri ndoa utatoa ushauri vizuri poyeeeeee
 
Dada wanaume ni wahuni sana kumbe ulikua hujui? Sasa ulikuwa mshauri wa ndoa wakati bado hujafuzu vidato sasa hivyo ndio vidato ukishauri ndoa utatoa ushauri vizuri poyeeeeee

Mweeeeeh Latifaa umechanganya madesa mie sio mleta mada, nilikuwa najaribu tu kumjibu mtu alocomment hapo.
 
Last edited by a moderator:
Ishi maisha yako, utakuwa na amani zaidi.
Ndoa nyingi maigizo tu.
 
Back
Top Bottom