We sista sasa nakupiga bana!! mbona hunielewi hivyo??!! wapi nimesema mwanamke pekee ndo anatakiwa kuwa mcha Mungu? Halafu hii ishu ya kuchagua mwenye hofu ya Mungu tuliijadili sana siku ile tukaenda sawa, leo naona kama unachanganya madesa.
Haya mi nakupa mfano wangu sasa. Mimi kwa sababu ya majukumu ya kazi sikai na wifi yako for like 4 to 8 months kila mwaka. Lakini sichepukagi kwa sababu ni dhambi kwa imani yangu, so namuogopa Mungu na siyo wifi yako, coz najua wifi yako naweza kumficha kirahisi na asijue miaka nenda rudi uje. Lakini naamini Mungu ananiona po pote pale nilipo. So you can see point yangu ya kutochepuka ni hofu ya Mungu and not otherwise.
Nilikwambiaga bila hofu ya Mungu there is no way mwanaume rijali, mwenye uchumi wake atashinda tamaa za ngono. Kwa taarifa yako mwanaume akikuta dadake yake uchi sehemu ya falagha halafu akahakikishiwa kuwa huyo dadake hawezi kujua kwa lolote atakalomfanyia, atamtia!! Hii ilishawahi kuwekwa humu kuelezea jinsi gani sex ilivyo priority kwa wanaume. Spidi gavana pekee ya mwanaume ni kuwa na roho wa mungu baaasi, hayo mengine geresha tu!!
Haya usinichokonoe tena, kama hadi hapo bado hujaelewa basi mwambie
Heaven Sent akufafanulie zaidi, manake nimeongea hadi ambavyo sijawahi weka hadharani!!