BestOfMyKind
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 1,348
- 1,466
Serikali hii ilianza vibaya. Walianza kwa kujitenga na Magufuli bila kujua watanzania wengi walimpenda, na hata ambao hawakumpenda walihuzunishwa na kifo chake kwakua walimzoea.
Hapa tulipofikia, wale waliotakiwa kuridhika na serikali kutokua chini ya Magufuli, hawaridhiki na serikali iliyopo na wale wapenzi wa Magufuli wanaona wamesalitiwa kwa serikali kuanza kurudi nyuma ya alipokua Magufuli.
Mimi sikuridhishwa na teuzi za mh. Raisi, mojawapo ikiwa ya Ummy Mwalimu TAMISEMI. Kuna teuzi zilizonifurahisha kama ya Mchengerwa wa Utumishi, huyu bwana anapenda sana utumishi hata kabla ya kuwa waziri ( nasubiri kupanda daraja mwezi huu).
Jambo ambalo sitakubali ni watu kuanza kumpima Raisi Samia, maagizo ya Rais yametoka kuhusu masuala flani lakini watu wanaenda tofauti kwa kupima uimara wake.
Mnaofanya hivyo mjue Raisi hayupo peke yake, yupo na sisi tulio tayari kufa kwa ajili ya nchi yetu na tutamlinda Rais wetu.
Karne ya 21 hii jamani, binadamu aliyehai leo amestaarabika zaidi kuliko binadamu wa kipindi chochote tangu mwanzo wa ulimwengu.
Kwanini tunaishi kama hayawani wasio na ustaarabu hata kidogo?
Hayawani wao kuzaa na nduguze, mama na baba zao ni sawa tu, sisi tusiwe hivyo. Sisi ni viumbe tuliostaarabika sana.
Sasa kama mtashindwa kuwa wastaarabu, niwaambieni tu. Nchi hii sio ya kwenu peke yenu, tupo wengi ambao tupo tayari kuweka maisha yetu rehani ili nchi yetu ibaki na amani iliyokua nayo.
Raisi Samia piga kazi, watakaokupima utuambie sisi tutawatengua viuno.
Hapa tulipofikia, wale waliotakiwa kuridhika na serikali kutokua chini ya Magufuli, hawaridhiki na serikali iliyopo na wale wapenzi wa Magufuli wanaona wamesalitiwa kwa serikali kuanza kurudi nyuma ya alipokua Magufuli.
Mimi sikuridhishwa na teuzi za mh. Raisi, mojawapo ikiwa ya Ummy Mwalimu TAMISEMI. Kuna teuzi zilizonifurahisha kama ya Mchengerwa wa Utumishi, huyu bwana anapenda sana utumishi hata kabla ya kuwa waziri ( nasubiri kupanda daraja mwezi huu).
Jambo ambalo sitakubali ni watu kuanza kumpima Raisi Samia, maagizo ya Rais yametoka kuhusu masuala flani lakini watu wanaenda tofauti kwa kupima uimara wake.
Mnaofanya hivyo mjue Raisi hayupo peke yake, yupo na sisi tulio tayari kufa kwa ajili ya nchi yetu na tutamlinda Rais wetu.
Karne ya 21 hii jamani, binadamu aliyehai leo amestaarabika zaidi kuliko binadamu wa kipindi chochote tangu mwanzo wa ulimwengu.
Kwanini tunaishi kama hayawani wasio na ustaarabu hata kidogo?
Hayawani wao kuzaa na nduguze, mama na baba zao ni sawa tu, sisi tusiwe hivyo. Sisi ni viumbe tuliostaarabika sana.
Sasa kama mtashindwa kuwa wastaarabu, niwaambieni tu. Nchi hii sio ya kwenu peke yenu, tupo wengi ambao tupo tayari kuweka maisha yetu rehani ili nchi yetu ibaki na amani iliyokua nayo.
Raisi Samia piga kazi, watakaokupima utuambie sisi tutawatengua viuno.