Sitaki ushauri, namuomba radhi mpenzi wangu

Sitaki ushauri, namuomba radhi mpenzi wangu

Prof Janabi wa JF

Senior Member
Joined
Jul 7, 2023
Posts
189
Reaction score
489
Wakuu kwa sasa naona napoteza na sitaki ushauri. Mpenzi wangu ameniblock everywhere sijui nampataje. Nimemtumia email hajibu kitu kwa hiyo niko hovyo sana. Tayari nimespend some milion TZS ili kujiweka sawa ila bado namkumbuka mama yenu aisee. She was my manager, nikitumia hela hovyo ananikumbusha nk na mambo kibao.

Kimsingi nashindwa fanya kitu cha msingi kwa sasa zaidi ya kukaa kula ulabu ili kuwa sawa hiki kipindi cha mpito. Kwake nilishaapa kumchukua nimuweke home, ameshafika kijijini kwetu na kijijini kwao wananijua ila ndio hivyo ngoma imekufa juu kwa juu yaani hapa naumia utadhani nachinjwa na msumeno.

Siwezi kurupuka kuchukua mwanamke mwingine maana nimespend miaka kafhaa na huyu dear ambapo akakaa akilini ile yenyewe. Kwa sasa kila kitu nafanya namkumbuka huyu dear.

Najitokeza kuomba radhi kwa yote my dear rudi tuendeleze mipango yetu.
 
Wakuu kwa sasa naona napoteza na sitaki ushauri. Mpenzi wangu ameniblock everywhere sijui nampataje. Nimemtumia email hajibu kitu kwa hiyo niko hovyo sana. Tayari nimespend some milion TZS ili kujiweka sawa ila bado namkumbuka mama yenu aisee. She was my manager, nikitumia hela hovyo ananikumbusha nk na mambo kibao.

Kimsingi nashindwa fanya kitu cha msingi kwa sasa zaidi ya kukaa kula ulabu ili kuwa sawa hiki kipindi cha mpito. Kwake nilishaapa kumchukua nimuweke home, ameshafika kijijini kwetu na kijijini kwao wananijua ila ndio hivyo ngoma imekufa juu kwa juu yaani hapa naumia utadhani nachinjwa na msumeno.

Siwezi kurupuka kuchukua mwanamke mwingine maana nimespend miaka kafhaa na huyu dear ambapo akakaa akilini ile yenyewe. Kwa sasa kila kitu nafanya namkumbuka huyu dear.

Najitokeza kuomba radhi kwa yote my dear rudi tuendeleze mipango yetu.
Huyo mpenzi wako yuko humu JF?
Kama ulishamuonyesha uwezo wako kifedha elewa kuwa kapata mwenye uwezo zaidi yako. Achana naye kisha jiunge na kina Erythrocyte upunguze machungu kwa kupigania reforms hewa.
 
Njia zilizotumika hadi jamaa kukataa ushauri na kuomba radhi kwa wakati mmoja.
downloadfile-336.jpg
 
Break-up ya namna hiyo huwa chungu kumeza.

Huwa haisimuliki,ni maumivu mtindo mmoja.Hakika hakuna cha kukushauri maana moyo huwa haushauriki.

Mwanamke akijua unampenda huwa anazidisha kukuvuruga,ulikosea tangu mwanzo.

MWANAMKE AKIWA ANATISHIA KUACHANA AU MKAACHANA USIJERUDIA HUO UJINGA WA KUANZA KUMBEMBELEZA HUO NI MTEGO.UNACHOTAKIWA KUFANYA NI KUJIKAZA KIUME,UGULIA NDANI KWA NDANI BUT NEVER START TO CHASE HER!!!!UTASHANGAA NDANI YA WIKI MPAKA WIKI MBILI ATAKUTAFUTA.HAPO NAPO USIANZE KULALAMA WEWE FANYA KUMPOKEA NA JIFANYE HUNA HABARI NA SABABU ZA NYIE KUACHANA,HATARUDIA HUO UJINGA TENA!!!WANAWAKE HUWA WANATISHIA ILI KUJUA UVUMILIVU NA UNGANGARI WAKO BWANA MDOGO.

Ukimrudia ni mateso,ukikaa mbali nae ni mateso.Chagua mateso yepi unayoweza kuyamudu.

NB;Tafuta mwanamke mwingine kisha fanya marekebisho kwa yale mapungufu uliyokuwa nayo kwa huyo nyongo mkalia ini wako wa awali.

Wanawake wote ni sawa usipagawe.Jambo la msingi jua kuwa unavyomyenyekea au kumfatafata ndio unazidi kumkosa.Jikeep busy acha ajichanganye huko akiona unaumuhimu atarudi.Kisha na wewe utapima kama bado anastahili kupewa nafasi.

Wataalamu wa mambo haya wanasema kwa kawaida kama imepita siku 60 mtoto hajarudisha majeshe,basi fanya mambo mengine hapo hakuna mapenzi.Muache aende zake.
 
Break-up ya namna hiyo huwa chungu kumeza.

Huwa haisimuliki,ni maumivu mtindo mmoja.Hakika hakuna cha kukushauri maana moyo huwa haushauriki.

Mwanamke akijua unampenda huwa anazidisha kukuvuruga,ulikosea tangu mwanzo.

MWANAMKE AKIWA ANATISHIA KUACHANA AU MKAACHANA USIJERUDIA HUO UJINGA WA KUANZA KUMBEMBELEZA HUO NI MTEGO.UNACHOTAKIWA KUFANYA NI KUJIKAZA KIUME,UGULIA NDANI KWA NDANI BUT NEVER START TO CHASE HER!!!!UTASHANGAA NDANI YA WIKI MPAKA WIKI MBILI ATAKUTAFUTA.HAPO NAPO USIANZE KULALAMA WEWE FANYA KUMPOKEA NA JIFANYE HUNA HABARI NA SABABU ZA NYIE KUACHANA,HATARUDIA HUO UJINGA TENA!!!WANAWAKE HUWA WANATISHIA ILI KUJUA UVUMILIVU NA UNGANGARI WAKO BWANA MDOGO.

Ukimrudia ni mateso,ukikaa mbali nae ni mateso.Chagua mateso yepi unayoweza kuyamudu.

NB;Tafuta mwanamke mwingine kisha fanya marekebisho kwa yale mapungufu uliyokuwa nayo kwa huyo nyongo mkalia ini wako wa awali.

Wanawake wote ni sawa usipagawe.Jambo la msingi jua kuwa unavyomyenyekea au kumfatafata ndio unazidi kumkosa.Jikeep busy acha ajichanganye huko akiona unaumuhimu atarudi.Kisha na wewe utapima kama bado anastahili kupewa nafasi.

Wataalamu wa mambo haya wanasema kwa kawaida kama imepita siku 60 mtoto hajarudisha majeshe,basi fanya mambo mengine hapo hakuna mapenzi.Muache aende zake.
Acha tu, ila ndio hivyo sitaki ushauri
 
Ufanikiwe aiseeh, Mungu awape wepesi msameheane muyajenge.
Mapenzi sometimes ni uchizi,na ukicheza unadata kwelikweli.

Kijana kaamua kupenda na anakwambia kuliko kumkosa mtoto bora avumilie visa kudadeki😀😀😀


mapenzi yafutweeee🙌🙌🙌🙌
 
Mapenzi sometimes ni uchizi,na ukicheza unadata kwelikweli.

Kijana kaamua kupenda na anakwambia kuliko kumkosa mtoto bora avumilie visa kudadeki😀😀😀


mapenzi yafutweeee🙌🙌🙌🙌
Mapemzi konyoooo! Unaweza uamini ni wewe aiseeh!
 
Taja I'd yake, tukusaidie msamaha wako.
Poleee mwayaa,
 
Nimesoma mawazo yote kwa uzuri ila ndio hivyo kwa sasa nataka mrembo wangu arudi nyumbani. Gharama ya kuondoka ni kubwa kuliko nikivumilia visa vyake
Nenda kijijini kwao kamuulizie, ikiwezekana utoe mahari kabisa
 
Back
Top Bottom