Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,841
- 37,579
Tanga raha jamani....asikwambie mtu.Kabisaaa. Kwenye upishi kama nazi yauzwa 2000 basi tutanunua ilimradi tu pishi liwe shatashata. 😂😂😂😂
Tanga raha jamaani.
Kwanza wanawake wote twajua upishi,
Tukiwa jikoni hatulembi, hapa sima ya bada na sangara wa nazi, pale wali wa nazi wenye hiriki na uturi kidogo, kule pembeni ngogwe na bamia chukuchuku, pembeni kuna sharubati ya embe mixer makakara.....kitandani sasa....kama kitanda chako cha jani la mvuje, waweza hamishia godoro chini.
Au sio mwanakwetu.