Sitaki sitaki sitakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Hata ukiolewa hustahili kulindwa hivyo! kuna shairi la kiswahili lina maneno haya "Mlinda wajisumbua kulinda chenye hisia, ....chaenda chatenda charudi, kisha chasema Mlinda nilinde....(Maneno mengine siyakumbuki nadhani alikua Shaban Robert) point ni kwamba bila kuaminiana utaishia kupata presha maana kama mmoja au wote ni wezi huyo ataendelea kuiba tu hata ukikaa nae masaa zaidi ya ishirini na nane kwa siku
 
Si uachane nae basi kama wewe kidume?
Unalalamika nini sasa....hutaki tambaa.
 
huggy bear mbona umetuwekea avatar ya kiume nawe una mambo ya kike??
 
kaka usisahau wengine wamepewa yote... matumizi yanategemea mahitaji tu. kesho hakawii kusema anaolewa
tatizo lako nini hasa mkuu,mbona upo kujibu rabbish zaidi,bullshit tupu,kanda ya kazkazini hapa,ukitafuta bwana utakuja kuolewa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…