Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
unanichanganya
na utachanganyikiwa sana mwaka huu
unanichanganya
usitake kabisa. Ukitaka tu itakatakwa na ikitakwa itatumbuliwa.
hivi mlalamikaji ni da au ka......?
teh teh teh hata kidogo
kidume cha mbegu
hata hivo ndo msimamo wangu,thanks
Una id nyingi eh?
Id ndo nini????
la mbegu
hahaha mbwa ukimjua hakusumbui lakini,,pole zake ajue tu kuwa inavyoonekana nae wala si mwaminifu.
aaah ataniua kwa mtindo huo bhana
dume la mbegu uwe wewe?unakimbia matatizo instead ya kuyaface.Mwanaume rijali hayuko hivyo labda kama wanakucameroon