Sitaki kupenda tena sana

Sitaki kupenda tena sana

Mtenda hutendwa, pole sn inauma lakin hayo yote hayana budi kutokea ili ujifunze kua katk kupenda usiingize miguu yote kwa pamoja
 


Saivi wasichana nawaogopa

You should've, toka zamani. Probability za mahusiano kuvunjika ni kubwa sana kwa hiyo ni kitu unatakiwa kukiweka kwenye mipango kazi. Pia unavyojisikia ndivyo idadi ya wasichana kadhaa uliowahi kuwaacha wanavyojisikia.

Kama basi mahusiano ya siku hizi kuachana ni kawaida. Na kuachana lazima at least mmoja anakuwa hajajiandaa.

Ukichukulia na namba ya watu wenye mahusiano humu. Ni jambo la wazi kuwa hayo ndo maisha ya kila siku ya watu.
It really isn't worth a thread
 
Niaje wakuu,

Wanawake bana waajabu sana, nilimpenda sana msichana mmoja akanifanya nisahau na kuacha vitu vingi tu nilivyokuwa nimezoea, kiufupi nilikuwa sijazoea kuwa na msichana mmoja kwenye mahusiano yaani ilikuwa lazima niwe nao wawili au watatu ila ikatokea nikakutana na binti mmoja nilitokeakuvutiwa nae sana nikaanza kumfukuzia.

Ila alikuwa mgumu ilinichukua miaka 2 kukubaliwa mpaka kuanza kuitwa baby yani wivu mwingi sana akawa nao ikabidi wasichana wengine niwaachei wote nikabaki nae pekee.

Nilimhudumia kila kitu nnachotakiwa kumfanya hadi katika masomo yake nilimpigania sana mpaka kaja kufaulu na kumaliza vizuri huku tukiwekeana hadi ahadi za kuoana.

Lakini alichokuja kunifanyia kwakwel najuta kwanini nilimpenda alikuja kubadilika mpaka nikawa naduwaa nikishindwa kuamini kama ndo yeye aliyekuwa hadi analia sababu ya kunimisi, sitopenda tena maana kaniumiza sana.

Saivi wasichana nawaogopa

miaka miwili unatongoza!? Hapo mzee ulilazimisha kupendwa, piga moyo konde...songa mbele!! ila usirudie kosa la kung'ang'ana na usipopendwa!!
 
Total momentum b4 iz equal to the total momentum after..... Uswazeee hii ni kama cycle nayeye atajaumizwa atakukumbuka sna weweapoo
 
Kweli mtenda husahau na akitendwa hudhani ameonewa. Umesema uliwatenda wengine kumbuka nao waliumia tena zaidi ya ulivyoumizwa. Tubu tu na wala usijihesabie haki kt hili, muombe Mungu kupe wa kukufaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom