Sitaki kupenda tena sana

Sitaki kupenda tena sana

kama uliendekeza mapenzi ya kihindi lazima uumie...
 
Love yourself mkuu

True happiness comes from within and not from somebody else
 
Niaje wakuu,

Wanawake bana waajabu sana, nilimpenda sana msichana mmoja akanifanya nisahau na kuacha vitu vingi tu nilivyokuwa nimezoea, kiufupi nilikuwa sijazoea kuwa na msichana mmoja kwenye mahusiano yaani ilikuwa lazima niwe nao wawili au watatu ila ikatokea nikakutana na binti mmoja nilitokeakuvutiwa nae sana nikaanza kumfukuzia.

Ila alikuwa mgumu ilinichukua miaka 2 kukubaliwa mpaka kuanza kuitwa baby yani wivu mwingi sana akawa nao ikabidi wasichana wengine niwaachei wote nikabaki nae pekee.

Nilimhudumia kila kitu nnachotakiwa kumfanya hadi katika masomo yake nilimpigania sana mpaka kaja kufaulu na kumaliza vizuri huku tukiwekeana hadi ahadi za kuoana.

Lakini alichokuja kunifanyia kwakwel najuta kwanini nilimpenda alikuja kubadilika mpaka nikawa naduwaa nikishindwa kuamini kama ndo yeye aliyekuwa hadi analia sababu ya kunimisi, sitopenda tena maana kaniumiza sana.

Saivi wasichana nawaogopa

skia ndugu yangu.
me pia nimhanga wa mapenzi.
nilifanywa vibaya zaidi yako na binti niliyempenda sana.
nikushauri kitu kimoja.
ukikutana na msichana piga kazi ya maana kisha usisave hata namba,
we do them, then we leave.
it's hit and run!
usirudie makosa.
piga kisha sepa.
nimegundua these girls are not meant to be loved.
ukijataka kuoa utatuliza kichwa utampata mmoja baada ya kua umemjua vzuri.
ila kwa sasa piga usepe.
hakunaga kitu mapenzi ya kweli.
 
Ya kawaida hayo.. "never say never"
Katika maisha inatokea, utasahau then maisha yatasonga mbele..
 
Ahahahaha...... kaka hujayajua mapenzi......... Jidanganye hutopenda sana tena.....utarudi humuhumu kutuambia tena..............yangu macho
 
Mapenzi yanauma bt mwanaume akiachwa maumiv yake atabk nayo moyon ila mwanamke akitendwa itatangaza dunia nzima ili ijue katendwa
 
umesahau kama nawe uliwaacha watu kisa yeye sasa naye kakuacha kisa wengine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom