borncool
JF-Expert Member
- Jul 8, 2013
- 226
- 49
Niaje wakuu,
Wanawake bana waajabu sana, nilimpenda sana msichana mmoja akanifanya nisahau na kuacha vitu vingi tu nilivyokuwa nimezoea, kiufupi nilikuwa sijazoea kuwa na msichana mmoja kwenye mahusiano yaani ilikuwa lazima niwe nao wawili au watatu ila ikatokea nikakutana na binti mmoja nilitokeakuvutiwa nae sana nikaanza kumfukuzia.
Ila alikuwa mgumu ilinichukua miaka 2 kukubaliwa mpaka kuanza kuitwa baby yani wivu mwingi sana akawa nao ikabidi wasichana wengine niwaachei wote nikabaki nae pekee.
Nilimhudumia kila kitu nnachotakiwa kumfanya hadi katika masomo yake nilimpigania sana mpaka kaja kufaulu na kumaliza vizuri huku tukiwekeana hadi ahadi za kuoana.
Lakini alichokuja kunifanyia kwakwel najuta kwanini nilimpenda alikuja kubadilika mpaka nikawa naduwaa nikishindwa kuamini kama ndo yeye aliyekuwa hadi analia sababu ya kunimisi, sitopenda tena maana kaniumiza sana.
Saivi wasichana nawaogopa
Wanawake bana waajabu sana, nilimpenda sana msichana mmoja akanifanya nisahau na kuacha vitu vingi tu nilivyokuwa nimezoea, kiufupi nilikuwa sijazoea kuwa na msichana mmoja kwenye mahusiano yaani ilikuwa lazima niwe nao wawili au watatu ila ikatokea nikakutana na binti mmoja nilitokeakuvutiwa nae sana nikaanza kumfukuzia.
Ila alikuwa mgumu ilinichukua miaka 2 kukubaliwa mpaka kuanza kuitwa baby yani wivu mwingi sana akawa nao ikabidi wasichana wengine niwaachei wote nikabaki nae pekee.
Nilimhudumia kila kitu nnachotakiwa kumfanya hadi katika masomo yake nilimpigania sana mpaka kaja kufaulu na kumaliza vizuri huku tukiwekeana hadi ahadi za kuoana.
Lakini alichokuja kunifanyia kwakwel najuta kwanini nilimpenda alikuja kubadilika mpaka nikawa naduwaa nikishindwa kuamini kama ndo yeye aliyekuwa hadi analia sababu ya kunimisi, sitopenda tena maana kaniumiza sana.
Saivi wasichana nawaogopa