Sitaki kuendelea nae ila ananiganda

Huyo Demu nae mapepe aisee,
Kwa jamaa yake aligongwa kavu mpaka akajazwa,
Kuja kwa mshikaji nako kagongwa kavu vilevile,
Wadada nyinyi jamani
ha ha ha ha ha akili zetu tunazijua wenyewe ila kavu tam asikwambie mtu mkuu ngoma unaisikilizia kabisa yamotoo
 
ha ha ha ha ha akili zetu tunazijua wenyewe ila kavu tam asikwambie mtu mkuu ngoma unaisikilizia kabisa yamotoo
Kavu tamu kweli,
Nyama kwa nyama ina stimu zaidi kuliko Nyama kwa mpira,
Tena Nyama kwa nyama hata usiposugua ule mgusano tu wa Nyma mbili za watu tofauti ni raha tosha,
Shida sasa vile vijamaa vikiingiaga mwilini havitokagi tena na vikianza kula mwili basi Nyama kwa nyama yako utaifaidi miaka michache tu,
 
Inabidi umpime kwanza ili ufaidi mkuu mnapitia zahanati mnapima then unaenda kujipigia kwa raha zako maisha yenyewe mafupi haya
 
wenye mimba watamu.....naona kichwani ulikua na kauli hii ndio maana ukaamua kumla
Kaka nakutafuta sana mpaka napata wasiwasi umeliwa na majini tafadhali njoo chemba
 
Inabidi umpime kwanza ili ufaidi mkuu mnapitia zahanati mnapima then unaenda kujipigia kwa raha zako maisha yenyewe mafupi haya
Hapo sawa,
Unajisugulia tu bila hata wasiwasi
 
hiki kisa nilikisikia mahali, kama ndo wewe kijana umekwishaaaa, maana dada alikuwa akijiapiza ni ama zako au zake.
 
Huyo Demu nae mapepe aisee,
Kwa jamaa yake aligongwa kavu mpaka akajazwa,
Kuja kwa mshikaji nako kagongwa kavu vilevile,
Wadada nyinyi jamani
Hatari mkuu
 
Kweli mkuu
 
hiki kisa nilikisikia mahali, kama ndo wewe kijana umekwishaaaa, maana dada alikuwa akijiapiza ni ama zako au zake.
Nahisi sio Mimi mkuu,hatujafikia huko
 
Endelea kucheza tu mechi ya kirafiki hiyo, ukihitaji tu unatafuta uwanja
 
mkitatuliwa marinda mnalalamika, mengine mnajitakia
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…