Sitaki kuamini wala sitokaa niamini kuwa uchaguzi wa Marudio Monduli waliojitokeza kwenye kura ni wengi kuliko wale wa uchaguzi mkuu!

Habari za wakati huu wadau,
Katika uchaguzi wa marudio wa ubunge uliofanyika katika jimbo la Monduli hivi karibuni idadi ya waliopiga kura ilikuwa;

2015 kati ya 60,000
2018 kati ya 70,000

hapa inaonyesha idadi ya waliopiga kura kwenye uchaguzi wa marudio inazidi idadi ya wapiga kura kwenye uchaguzi mkuu. Kwa mawazo yangu naona huu ni uwongo mtakatifu. Wa kunishawishi kuwa ni ukweli anisaidie. Asante.
La ! Nimekimbilia kutafuta rekodi za 2015 nikakuta kweli wapiga kura waliopiga kura walikuwa 60000.

Leo hii ni kweli wameongezeka hadi 69000. Kwa akili ya kawaida haiwezekani idadi ya wapiga kura kuongezeka kwani kuna suala LA watu kuhama kikazi au kimaisha ya utafutaji,kusafiri,kuzeeka na kufa.

Pili kuna suala LA hamasa ya kwenda kupiga kura kupungua kutokana na ukweli kuwa tume ya uchaguzi si huru na inasikiliza maelekezo kutoka juu. Mfano,wakurugenzi waliopewa nyumba nzuri na usafiri na posho wameshaonywa kuwa wasitangaze mpi nzani kuwa ndie ameshinda.

Hivyo naungana nawe kwa kutoa hitimisho kuwa kwa vyovyote vile matokeo haya yamepikwa kwani haiwezekani vituoni kuwe na mwitikio hafifu wa wapiga kura harafu takwimu za mwisho zioneshe wapiga kura wameongezeka na wamezidi hats idadi ya 2015.

Haya mambo yataendelea kutoka Tanzania tu kwa kuwa watu wake wengi ni wavivu wa kufikiri,kusoma na kufanya utafiti. Kwao unafiki na ubinafsi ndio mpango mzima: yaani unamkuta MTU kwakuwa yeye maisha take binafsi yanakwenda vizuri basi anakwambia hataki kufuatilia mambo ya siasa.
 
Huenda hujaelewa hoja, hapa hoja sio ushindi bali ni idadi ya wapiga kura kuwa wachache vituoni tofauti na idadi ya kupika iliyotangazwa na tume. Idadi ndogo ya wapiga kura ni kiashiria kuwa wamepuuza hilo zoezi la uchaguzi kwani wametambua ni upuuzi tu unaoendelea. Tunawapongeza wananchi kwa kupuuza huo ushenzi unaoitwa uchaguzi.
Zile Hewa alizokuwa analalamika kuwa ameachiwa na Kikwete sasa wameamua kuzipeleka kwenye Chaguzi ndogo.

Sasa ni mwendo wa Chaguzi Hewa na Kura Hewa ............ Bora CCM ishinde, MTU afurahi!!
 
watanzania wameamua bora liende.mtu aache kwenda kutafuta ugali wa watoto.
Aende kumpigia kura mbunge aliyeacha ubunge kwa makusudi.hapo hapo anarudi tena kuomba kura.
Upuuuzi
 
Habari za wakati huu wadau,
Katika uchaguzi wa marudio wa ubunge uliofanyika katika jimbo la Monduli hivi karibuni idadi ya waliopiga kura ilikuwa;

2015 kati ya 60,000
2018 kati ya 70,000

hapa inaonyesha idadi ya waliopiga kura kwenye uchaguzi wa marudio inazidi idadi ya wapiga kura kwenye uchaguzi mkuu. Kwa mawazo yangu naona huu ni uwongo mtakatifu. Wa kunishawishi kuwa ni ukweli anisaidie. Asante.
Yaan wewe mkurugenzi nimekuteua mm, nimekupa gari la kutembelea Mimi, nimekupa nyumba ya kuishi Mimi, na mshahara na kulipa mimi, alafu nisikie umetangaza upinzani amepita , ntakuona wajabu Sana. Nukuu kutoka kwa kiongozi, unadhani upinzani utapita kirahisi.
 
mkuu kura zilikuwa zikiingizwa ndani ya kituo na uvccm wakiwa kama wasimamizi wa uchaguzi mara baada ya kuwafurusha mawakala wa upinzani vituoni.
 
Tusubiri 2020 ambapo CCM kwa mara ya kwanza tangu tuingie rasmi ktk mfumo wa vyama vingi, watapata ushindi wa Tsunami ktk nafasi ya urais wa zaidi ya 98%. Ongezeko la zaidi ya 40%.
Wakati huo huo Twaweza wakionyesha kuporomoka kwa Rais kwa takriban 40%.
Sasa utajiuliza waliompigia kura zote hizo ni Majini, Mashetani au Hayawani.
TUSISAHAU: Kila roho itaonja umauti. Hakuna atakaeishi milele. Hesabu zetu za Mazuri na mabaya tutazikuta siku ya hukumu parapanda litakapolia.
Kuwafanyia ubaya wananchi wako ambao universal set yake ni zaidi ya watu milioni 45 si kitu cha mzaha wala kubeza hata kidogo.
Imebaki miaka si zaidi ya 8 uongozi huu utapita lakini ubaya na uonevu uliofanyika utakuwa umeongezeka mno tofauti na sasa ambapo miaka ya ubaya huo si zaidi ya mitatu.
Bora kuomba toba na kujirekebisha ili kuongeza mizania ya wema, mazuri na haki kwa wananachi waliokubali kuongozwa.
Mwenyez Mungu ni mwingi wa rehema na mwepesi mno kusamehe.
Toba ndo kila kitu na muda wa kutubu kwa Mola bado upo mwingi sana ukilinganisha na miaka iliyofanyika ubaya wa kukandamiza haki za Watanzania.
MNAOHUSIKA MJITAFAKARI NA KUCHUKUWA HATUA.
WE PASS THIS WORLD JUST ONCE.
 
Kitu ambacho najua ni kwamba pamoja na ccm "kushinda" wanaelewa kabisa hawakubaliki na wananchi.
Hilo wanalijua wazi kabisa..
Ili ukubalike uwe kama Chadema wabunge wao na madiwani wanaohama? Au kama wewe na kisimu chako kibovu unaona maisha rahisi
 
Kwa huu upuuzi unaoendelea kwenye hizi chaguzi nashindwa kukasirika wazungu wakituita manyani. Huwa kila siku tunasema chini ya awamu hii data zinapikwa, na kwenye uchaguzi huu ushahidi umepatikana.
Kwani Mkuu kipindi kile wakati wanamshtumu Trump kuwaita viongozi wa Afrika nyani wewe uliumia? Binafsi niliona ni sahihi kabisaaa.
 
Habari za wakati huu wadau,
Katika uchaguzi wa marudio wa ubunge uliofanyika katika jimbo la Monduli hivi karibuni idadi ya waliopiga kura ilikuwa;

2015 kati ya 60,000
2018 kati ya 70,000

hapa inaonyesha idadi ya waliopiga kura kwenye uchaguzi wa marudio inazidi idadi ya wapiga kura kwenye uchaguzi mkuu. Kwa mawazo yangu naona huu ni uwongo mtakatifu. Wa kunishawishi kuwa ni ukweli anisaidie. Asante.
Mmmmh
 
Anachomaanisha ni kwamba vituoni hakukuwa na watu kabisa kiasi kwamba wasimamizi wakawa wanasinzia.
Be analytical kidogo tu
Vituo gan ambavyo havikuwa na watu KABISA?????

Njoo na takwimu utuambie n watu wangap walioenda kupga kura to extent ya kusema hakukuwa na watu KABISA???

Je ukichukua ukonga kama case n kwel waweza sema wasimamizi waliotaka kushambuliwa na mgombea ubunge chadema na kikundi chake KUWA N WASIMAMIZI WALIOKUWA WAMELALA??

Tunahtaj watu makin kuwa na upinzan makin
 
Watu wanaongezeka kila siku
Yes, kumbuka pia watu wanakufa na kuzaliwa na wengine wanahama na kuhamia eneo husika but je, ulisikia kama daftari limeboreshwa kabla ya UPIGAJI wa KURA!? Kama jibu ni ndio the your assumption is correct but if the answer is NO then..., hizo tangazo la mshindi limetengenezwa maabara
 
Back
Top Bottom