sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,325
- 2,486
Habari za wakati huu wadau,
Katika uchaguzi wa marudio wa ubunge uliofanyika katika jimbo la Monduli hivi karibuni idadi ya waliopiga kura ilikuwa;
2015 kati ya 60,000
2018 kati ya 70,000
hapa inaonyesha idadi ya waliopiga kura kwenye uchaguzi wa marudio inazidi idadi ya wapiga kura kwenye uchaguzi mkuu. Kwa mawazo yangu naona huu ni uwongo mtakatifu. Wa kunishawishi kuwa ni ukweli anisaidie. Asante.
Katika uchaguzi wa marudio wa ubunge uliofanyika katika jimbo la Monduli hivi karibuni idadi ya waliopiga kura ilikuwa;
2015 kati ya 60,000
2018 kati ya 70,000
hapa inaonyesha idadi ya waliopiga kura kwenye uchaguzi wa marudio inazidi idadi ya wapiga kura kwenye uchaguzi mkuu. Kwa mawazo yangu naona huu ni uwongo mtakatifu. Wa kunishawishi kuwa ni ukweli anisaidie. Asante.