Sitaki kuamini wala sitokaa niamini kuwa uchaguzi wa Marudio Monduli waliojitokeza kwenye kura ni wengi kuliko wale wa uchaguzi mkuu!

sirluta

JF-Expert Member
Nov 28, 2012
6,325
2,486
Habari za wakati huu wadau,
Katika uchaguzi wa marudio wa ubunge uliofanyika katika jimbo la Monduli hivi karibuni idadi ya waliopiga kura ilikuwa;

2015 kati ya 60,000
2018 kati ya 70,000

hapa inaonyesha idadi ya waliopiga kura kwenye uchaguzi wa marudio inazidi idadi ya wapiga kura kwenye uchaguzi mkuu. Kwa mawazo yangu naona huu ni uwongo mtakatifu. Wa kunishawishi kuwa ni ukweli anisaidie. Asante.
 
Habari za wakati huu wadau,
Katika uchaguzi wa marudio wa ubunge uliofanyika katika jimbo la Monduli hivi karibuni idadi ya waliopiga kura ilikuwa;

2015 kati ya 60,000
2018 kati ya 70,000

hapa inaonyesha idadi ya waliopiga kura kwenye uchaguzi wa marudio inazidi idadi ya wapiga kura kwenye uchaguzi mkuu. Kwa mawazo yangu naona huu ni uwongo mtakatifu. Wa kunishawishi kuwa ni ukweli anisaidie. Asante.
Watu wanaongezeka kila siku
 
Habari za wakati huu wadau,
Katika uchaguzi wa marudio wa ubunge uliofanyika katika jimbo la Monduli hivi karibuni idadi ya waliopiga kura ilikuwa;

2015 kati ya 60,000
2018 kati ya 70,000

hapa inaonyesha idadi ya waliopiga kura kwenye uchaguzi wa marudio inazidi idadi ya wapiga kura kwenye uchaguzi mkuu. Kwa mawazo yangu naona huu ni uwongo mtakatifu. Wa kunishawishi kuwa ni ukweli anisaidie. Asante.
Kabla ya uchaguzi kuanza asubuhi watu wana kura zao 30,000 Kibindoni...kuna uchaguzi hapo?
 
Watu wanaongezeka kila siku

Hii hoja ya watu kuongezeka kila siku ni potofu kwa sababu zifuatavyo:-

1. Kwenye uchaguzi mdogo watu hawakujiandikisha upya kupiga kura bali wale waliojiandikisha 2015 ambao wanavitambisho vya kupigia kura ndiyo waliruhusiwa kupiga kura.

2. Pili ukizingatia kwamba kuna wapiga kura wengine wamekufa, wengine wamesafiri, wengine wamepoteza kadi za kupigia kura na hamasa ya marudio ya chaguzi ndogo ni mdogo ukiachilia marudio ya chaguzii za kipuuzi kama hizi ni lazima watu wapungue.
 
Mwenyekiti wako Mbowe sasa hivi anajiandaa kwa uchaguzi wa Liwale.....hana habari na makelele yenu

Mbowe ashiriki ili kuendelea kuipa uhalali cdm wa kuwa chama cha siasa. Ila asichowez na ambacho hataweza ni kutulazimisha tujitokeze kupiga kura. Hii idadi ndogo ya wapiga kura tutaendelea kuishusha kudhibitisha kwamba ccm haikubaliki. Huko mbeleni tutapata njia sahihi ya kuiondoa ccm madarakani nje ya box la kura waliloshindwa kuliheshimu.
 
Vipi mkuu kama mungeshinda, je haya tungeyasikia?

Huenda hujaelewa hoja, hapa hoja sio ushindi bali ni idadi ya wapiga kura kuwa wachache vituoni tofauti na idadi ya kupika iliyotangazwa na tume. Idadi ndogo ya wapiga kura ni kiashiria kuwa wamepuuza hilo zoezi la uchaguzi kwani wametambua ni upuuzi tu unaoendelea. Tunawapongeza wananchi kwa kupuuza huo ushenzi unaoitwa uchaguzi.
 
Back
Top Bottom