Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 33,953
- 56,098
Nipo nyuma yako mkuuLeo nipo tegeta naenda usiku Hilo eneo kukagua
Nipo nyuma yako mkuuLeo nipo tegeta naenda usiku Hilo eneo kukagua
Mkuu, hakuna haja ya kwenda huko. Kwa kuwa unaishi na watu vizuri nitakuazima drone halafu nakupa location + coordinates unarusha drone huku unanyonya mvinyo.Leo nipo tegeta naenda usiku Hilo eneo kukagua
😃😃😃😃Nipo nyuma yako mkuu
sawa sawa comradeMkuu, hakuna haja ya kwenda huko. Kwa kuwa unaishi na watu vizuri nitakuazima drone halafu nakupa location + coordinates unarusha drone huku unanyonya mvinyo.
Hakuna kabuli pale, kiwanja cha mtu kile, ndiyo maana kina nguzo za mpaka wa kiwanjaKwa akili yangu ndogo hiyo miili Leo hailali apo yaan patafokolewa mpaka kucha!Fu*k u ccm!
Wakienda kufukua ndio watafukiwa wao!View attachment 3505414
Before
View attachment 3505415
After
Kwanini wakazi wa hapo wasiende kufukua tuone hapo kumefukiwa vitu gani?
Nakuheshim sitaki tuvunjiane heshima ila ninachoweza kusema unakatwa!Hakuna kabuli pale, kiwanja cha mtu kile, ndiyo maana kina nguzo za mpaka wa kiwanja
Rudi shuleHazikuwatazama wakati Wana Zika?
Arushe kuanzia height ya 120 wasisikie hata mlio apige picha za kushatoMkuu, hakuna haja ya kwenda huko. Kwa kuwa unaishi na watu vizuri nitakuazima drone halafu nakupa location + coordinates unarusha drone huku unanyonya mvinyo.
120 meter au feet?Arushe kuanzia height ya 120 wasisikie hata mlio apige picha za kushato
Angalia vizuri hiyo video na zingatia neno 'huenda' kwenye ripoti yaoNakuheshim sitaki tuvunjiane heshima ila ninachoweza kusema unakatwa!
Feet mkuu120 meter au feet?
Mimi pia nimejipa kazi kufatilia hizi soil disturbance ni kweli maeneo kadhaa yenye makabuli yana soil disturbance kubwa kati tarehe 29 na NovemberAngalia vizuri hiyo video na zingatia neno 'huenda' kwenye ripoti yao
Umefuatilia yote?..weka picha,haiwezi kuwa 29 oct,yaani walizika saa ngapi hiyo 29th na palikua pamenuka?Mimi pia nimejipa kazi kufatilia hizi soil disturbance ni kweli maeneo kadhaa yenye makabuli yana soil disturbance kubwa kati tarehe 29 na November
CNN wametaja sehemu moja tu Kondo - Tegeta.View attachment 3505414
Before
View attachment 3505415
After
Kwanini wakazi wa hapo wasiende kufukua tuone hapo kumefukiwa vitu gani?
Hili ni Sayansi..Umefuatilia yote?..weka picha,haiwezi kuwa 29 oct,yaani walizika saa ngapi hiyo 29th na palikua pamenuka?
Najua,mimi nimeomba picha ziwekweHili ni Sayansi..
Ukiwa na muda fatilia kitu kinaitwa NVDI au vegetation cover.
Satellite/camera zinavopiga picha Sehemu udongo na miti inayo akisi mwanga ni tofauti au pia udongo ukikauka au ukigeuzwa unakuwa una reflections value tofauti na awali, kwa hiyo ukiona tofauti za aina hiyo unakuwa na points of interest kadhaa