Sitaki Ajira kwa sababu naogopa kufukuzwa kazi

Zero IQ

JF-Expert Member
Dec 21, 2016
13,917
24,674
Nimeona wafanyakazi wengi wakipagawa mara baada tu ya kibarua kuota nyasi. Walikuwa wanaishi kwa kutegemea mshahara, kazi inapokata kila kitu kinakata. Kuanzia Akili, Mawazo, mpaka Pesa mwisho wa siku wanaishia kupaniki katika Maisha. Wanapita wakiongea wenyewe kama machizi, kama wana watoto wa kike wakubwa watabadili tabia ili kujikimu.

Ajira ni kama kifungo, Unafungwa kwa pesa zinazoweza kukuhudumia tu lakini sio za kuweza kukupa Maendeleo.

Leo niko nakomaa na Uchakataji wangu wa Viazi kuwa chipsi, kesho nitatafuta mishe nyingine ya kufanya lakini iwe personal.

Ajira sitaki kwa sababu Naogopa mno kufukuzwa kazi.



Cc Zero IQ

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maisha ya mshahara na kujiajiri n tofauti....hayo mambo anayeweza mtu alowah kujiajiri....then nd akaajiriwa ili atafute mtaji.....otherwise maisha ya mshahara wengi ni woga kutoka
Sawa mkuu kuna wakati tunaajiriwa tutafute mtaji

Maana kila mtu anapenda kujiajiri tatizo mtaji

hapo ndio inabidi uajiriwe utafute mtaji ili ujiajiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeona wafanyakazi wengi wakipagawa mara baada tu ya kibarua kuota nyasi. Walikuwa wanaishi kwa kutegemea mshahara, kazi inapokata kila kitu kinakata. Kuanzia Akili, Mawazo, mpaka Pesa mwisho wa siku wanaishia kupaniki katika Maisha. Wanapita wakiongea wenyewe kama machizi, kama wana watoto wa kike wakubwa watabadili tabia ili kujikimu.

Ajira ni kama kifungo, Unafungwa kwa pesa zinazoweza kukuhudumia tu lakini sio za kuweza kukupa Maendeleo.

Leo niko nakomaa na Uchakataji wangu wa Viazi kuwa chipsi, kesho nitatafuta mishe nyingine ya kufanya lakini iwe personal.

Ajira sitaki kwa sababu Naogopa mno kufukuzwa kazi.



Cc Zero IQ

Sent using Jamii Forums mobile app
Sitaki biashara kwa sababu naogopa kupata hasara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baba yangu alifujuzwaga kazi ila alikua na biashara ya pembeni hio biashara imenisomesha mimi na kunipeleka sehemu mbali mbali duniani..ameiacha kijana wake nimeajiriwa sehemu lakini naiendeleza hio biashara...ila asingelifukuzwa kazi ile asingelikua na biashara hii
 
Nimeona wafanyakazi wengi wakipagawa mara baada tu ya kibarua kuota nyasi. Walikuwa wanaishi kwa kutegemea mshahara, kazi inapokata kila kitu kinakata. Kuanzia Akili, Mawazo, mpaka Pesa mwisho wa siku wanaishia kupaniki katika Maisha. Wanapita wakiongea wenyewe kama machizi, kama wana watoto wa kike wakubwa watabadili tabia ili kujikimu.

Ajira ni kama kifungo, Unafungwa kwa pesa zinazoweza kukuhudumia tu lakini sio za kuweza kukupa Maendeleo.

Leo niko nakomaa na Uchakataji wangu wa Viazi kuwa chipsi, kesho nitatafuta mishe nyingine ya kufanya lakini iwe personal.

Ajira sitaki kwa sababu Naogopa mno kufukuzwa kazi.



Cc Zero IQ

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu niajili kesho nijekuanza kazi
 
Nimeona wafanyakazi wengi wakipagawa mara baada tu ya kibarua kuota nyasi. Walikuwa wanaishi kwa kutegemea mshahara, kazi inapokata kila kitu kinakata. Kuanzia Akili, Mawazo, mpaka Pesa mwisho wa siku wanaishia kupaniki katika Maisha. Wanapita wakiongea wenyewe kama machizi, kama wana watoto wa kike wakubwa watabadili tabia ili kujikimu.

Ajira ni kama kifungo, Unafungwa kwa pesa zinazoweza kukuhudumia tu lakini sio za kuweza kukupa Maendeleo.

Leo niko nakomaa na Uchakataji wangu wa Viazi kuwa chipsi, kesho nitatafuta mishe nyingine ya kufanya lakini iwe personal.

Ajira sitaki kwa sababu Naogopa mno kufukuzwa kazi.



Cc Zero IQ

Sent using Jamii Forums mobile app

Majambazi utawajua tu.
 
Back
Top Bottom