Sitakaa nimwamini mwanamke maisha mwangu

Sitakaa nimwamini mwanamke maisha mwangu

Molembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
9,932
Reaction score
11,851
Nimeamini ule msemo wa mwanamke sio ndugu yako na sitakaa katika maisha yangu nimwamini mwanamke, sijaamini kama Frorah angemwacha Mbasha aingie jela ama kweli hujafa hujaumbika hivi kweli mwanaume hata kama mmekosana unaweza kukubali apelekwe jela, wanawake sio hawana ubinadamu.
 
Mimi hilo najua siku nyingi mwanamke sio mtu,akikugeuka sio binadamu,
 
Wanawake wa tanzania wa sasa hivi..wana matatizo makubwa sana ambayo sijui watatasolve vipi..kwanza ule uwezo wao wa kupokeachallange na kuzifanyia kazi umepungua sana..kama ukiangalia haya matukio ya vick kamata na flora mbasha..yanakupa maswali mengi sana kuliko majibu..i don't know men..hapa miaka ya 90 mpaka 2000..kuna kitu kimenyonya uwezo wa wanawake wa kitanzania ..sijui ni yale mambo ya kukulia mahistel ndo yamewaaribu...na kuna hili wimbi limekuja la wanawake hasa wa bongo kujipa thamani ndogo sana..
 
Acheni mawazo mgando anza kutokumwamini mama yako Dada zako na Ndugu zako wote Wa jinsia ya kike maana msg yako imewaona sibinadamu badala yakuona wanaume nimajanga unawaonea wanawake
Kutaja mama, dada nk ...does't solve the problem sisi wengine tuna dada zetu na ndugu zetu pia wa kike tunaona wanavyoendesha maisha sikuhizi...hawatulii...hawataki kuvumilia umaskini hata kidogo..na wanakuwa na papara ya maisha...unless otherwise wewe ndugu zako wa kike ni malaika hawana shida...!!!!!
 
Lile suala lilikuwa la kumaliza kifamilia na mambo yakasonga lakini Frola kamwaacha baba watoto wake ateketee.
 
A woman's heart is like an ocean.....full of secrets and plenty of things hidden..... ukiwa na mwanamke ambae yuko in love with another man.....anything can happen....
 
Mhh kwani jamaa si kamkaba housegal au mi ndo sijui stori ipoje....
Btw wanaume na nyie mnaaminika kwani??...
Mi nachoona sikuhizi waliokuwa wanayafanya wanaume tu leo hii hata wanawake wanafanya,and men just cant take it..ngoma droo kwenye society ina changamoto zake
 
Kutaja mama, dada nk ...does't solve the solution sisi wengine tuna dada zetu na ndugu zetu pia wa kike tunaona wanavyoendesha maisha sikuhizi...hawatulii...hawataki kuvumilia umaskini hata kidogo..na wanakuwa na papara ya maisha...unless otherwise wewe ndugu zako wa kike ni malaika hawana shida...!!!!!

Mama Yangu na Ndugu zangu wote wakike si malailaka ila hawana shida kama wako hata walioolewa pia hatujawahi kusikia Kesi kwa maana hiyo wako salama ila wanaume ndiyo viwembe tujiangalie vizuri pole kama umeowa ukapoteza uaminifu kwa mkeo kama bado hutakiwi kuzungumza chochote juu ya mke na mme maana hujuwi maumivu ya ndoa
 
mkuu sipingani na ww kuwa wanawake si watu wa kuwaamin ila naomba usiGENERALIZE maana kila basi ni gari ila si kila gari ni basi there are some women who atleast wanajielewa ila kwa Flora mzee wa Misukule inaelekea katoa mpunga mwiingi saana tena wa maana manzi akakosa pa kitokea.
 
A woman's heart is like an ocean.....full of secrets and plenty of things hidden..... ukiwa na mwanamke ambae yuko in love with another man.....anything can happen....

si wanawake tu hata wanaume! watu hawaangalii mbali wala hawana hofu ya Mungu!
 
Na ukiwa na mwanaume ambaye yuko in love with another woman,hapo inakuwaje?

By nature sisi wanaume ni protector wa familia na provider...ndo maana mwanaume unakuta hataki kukuacha while labda amekuchoka na attention yote ipo kwa mwingine but tunajali image na fear ya kuonekana umeshindwa... tofauti na wanawake......mwanamke akisha fall.....automatically anakuwa ana take order from the new man....so huyo new man kama ni evil enough to kill anaweza kum convince mkeo akuue......but wanaume we don't take orders from nyumba ndogo.....tuna give orders kote kote....
 
Na ukiwa na mwanaume ambaye yuko in love with another woman,hapo inakuwaje?

wanaume wanachepuka sana ila hawasahau familia zao na kuwatendea mabaya wenzao tunachepuka tukirudi nyumbani tunajifanya lakini nyie mkianza mnatupeleka gerezani kwa kesi za kutengeneza.
 
Mama Yangu na Ndugu zangu wote wakike si malailaka ila hawana shida kama wako hata walioolewa pia hatujawahi kusikia Kesi kwa maana hiyo wako salama ila wanaume ndiyo viwembe tujiangalie vizuri pole kama umeowa ukapoteza uaminifu kwa mkeo kama bado hutakiwi kuzungumza chochote juu ya mke na mme maana hujuwi maumivu ya ndoa
Hongera sana kwa upande wako..unakutana na unazungukwa na wanawake wazuri na wanaojitambua..ila sisi wengine tumepata exposure ambayo siyo nzuri ndo maana tunaongea hivi..
 
Back
Top Bottom