Zero One Two
JF-Expert Member
- Sep 16, 2007
- 9,347
- 3,023
Maisha ni vita.....:sad:
Heshima mbele: Hii hainihusu mimi....
Ole wake atakayenihusisha na habari hii..............LOL
Heshima mbele: Hii hainihusu mimi....
Ole wake atakayenihusisha na habari hii..............LOL
Heshima mbele: Hii hainihusu mimi....
Ole wake atakayenihusisha na habari hii..............LOL
mwaJ umemgundua enh!si wala hatumuogopi!sasa kama kweli alifanya mbofu mbofu ofsini kwa watu tusimcheke!LOLHa ha haaaaaaaaa Mtambuzi ndio zako kututishia kila unaposimulia visa vyako! Inakuhusu sana!
Ila duh! Inaonekana huyo dada alikukera kweli. Eti amejichubua na uso wake kufanana kama pupa wa kipepeo!
mwaJ umemgundua enh!si wala hatumuogopi!sasa kama kweli alifanya mbofu mbofu ofsini kwa watu tusimcheke!LOL
mi hata simuogopi bana!LIWALO NA LIWE source PM wenu!
Heshima mbele: Hii hainihusu mimi....
Ole wake atakayenihusisha na habari hii..............LOL
1990, Mtambuzi ulikuwa hujawahi kutumia choo cha kukaa na kuflash?
ram unashangaa mwaka 1990 juzi tu angekitumia wapi,
tena kule milimani hadi leo tunashimba kashimo na kale kajembe
then unajihelp baada ya hapo unafukia kashimo kako unaondoka.
Yah! Ni kweliMamndenyi, kwa vijini hii ni issue ya kawaida sana
Unajua mi namuonaga Mtambuzi mjanja sana kumbe 90s ndo kaingia town