Sitakaa nimsahau mwanamke yule fedhuli….!

unajihami mzee mzima ushamba mzigo mwenzangu,mimi nilipokuja dar 20yrs ago nilielekezwa tu nanilifika nilipoelekezwa bila kumuuliza yeyote na ni mara yangu ya kwanza ,toka pale nina ujasiri sana na huu mji ,ila niwakwenda nao taratibu sana unaumbua kwelikweli


ulikuwa na miaka mingapi ?
 
Heshima mbele: Hii hainihusu mimi....
Ole wake atakayenihusisha na habari hii..............LOL
leo Story hujaimalizia vizuri, Yule kijana alipewa Kazi pale pale ofisini kwa Secretary mkorofi au alienda kwa Boss kulima Bustani? maana ujuzi wake hujautaja.
Je Secretary ni mzigo wa Boss au naye anataka ndugu zake waajiriwe ofisi hiyo?
Ingawa hujaelezea jinsia mpaka Secretary lakini inaonyesha wewe ni ME
Asante sana Mtambuzi kwa Story zako najua umechoka na vurugu za Askari wa Jiji FFU na JWTZ huko mitaani sijui matokea yake ndio wanazaliwa BOKO HARAMU kesho hapo DSM
 
Last edited by a moderator:
Kama angemuliza huyo dada jinsi ya kutumia iko choo, yote yasinge mkuta.
Ila wanaume vijana hawapendi waonekane wajinga ndio maana wanakutana na hayo yote.
Tena bora alitokea kijijini, huyo dada alimuona mshamba na yupo innocent.
Kama angekuwa mtoto wa town-mtaani wanao jifanya wajuaji, asinge mkubalia hata aingie uko chooni, tena hata hapo mapokezi angemtoa. My experience, ufedhuli unakutana nao, inategemea wewe mwenyewe upoje.

Mie mwanamke nimepita maoffice mengi miaka zaidi ya 10 sasa, sikuwai kukutana na hayo, hapo dar.
Ila kuna siku mwaka 2010 nilienda office moja hivi na Taxi driver, yote yakaenda sawa.
Tunakaribia kukamilisha alitokea kijana mwingine ambae nilimfaham kidogo, huyu jamaa akajingiza kujifanya mjuaji.
Hapo akaribu kila kitu. Akasababisha hadi mimi huwo ufedhuli nikutane nao na madoc kuzikosa.
Huyu jamaa aliniuzi kweli, ila pale sikumwambia lolote. Nikamua nimjibu kifedhuli yule dada tukapandishiana. Na nikamuambia na uduma yake sitaki. Naenda office ingine.

Siku iliofuata nikaenda tena pale pale sababu zile doc nilikuwa nazitaji sana na wao tu ndio wanao toa hizo doc. Basi nilipofika wale madada walinikumbuka na yule tuliefyatuliana maneno aliona aibu hadi nikamuonelea huruma dada wa watu. Wakanitekelezea chapchap, dani ya nusu saa doc zote nikazipata.
Nikagundua yule jamaa yangu yeye mwenyewe ndio kapinda, kujifanya mjuaji.:blabla:
 
Heshima mbele: Hii hainihusu mimi....
Ole wake atakayenihusisha na habari hii..............LOL

Kwanini unajihami Mtambuzi? Jambo la kawaida sana nyakati hizo ambazo tulikuwa tumezoea vyoo vya shimo! Ni watu wangapi ambao walijifanya watundu na kuanza kushangaa na hatimaye "kuflashi" na baada ya maji kuanza kutoka nao wantoka nduki?

Sina uhakika na tathmini ya huyo Mkulima lakini KUJICHUBUA @ kutumia mgorogo ni kutojithamni, kujiamini na kwa hiyo kuwachukia wanaAdamu wenzio bila kuwa na sababu yeyote. Wana kawaida ya kuwadhalilisha watu wote ambao wanahisi wako chini yao kihadhi!

Bazazi!
 
Last edited by a moderator:
Mtambuzi, huyu Receptionist hapa kwetu ni zaidi ya huyu nadhani, hivi wanakuaga na matatizo gani hawa dada zetu??? yaani customer care kwao ni zero

Wengi wao wanatembea na mabosi sasa wanahisi wewe waweza kuwa na undugu na bosi halafu habari zao zitavuja ikiwa utaajiriwa hapo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom