The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,870
unajihami mzee mzima ushamba mzigo mwenzangu,mimi nilipokuja dar 20yrs ago nilielekezwa tu nanilifika nilipoelekezwa bila kumuuliza yeyote na ni mara yangu ya kwanza ,toka pale nina ujasiri sana na huu mji ,ila niwakwenda nao taratibu sana unaumbua kwelikweli
ulikuwa na miaka mingapi ?