Sitaisahau Tabora

Sitaisahau Tabora

huu uongo wenu si mnghekuwa mnawasilimulia wazazi wenu sio kusumbua watoto watu humu jF?
 
hakuna mkuu huku ni interior kabisa , umeme shda, maji ,huduma zote mjini majoka mjini, gari lipo moja likipita saa kumi alfajiri ndo mpaka kesho tena saa kumi alfajiri,
IGHANUDA


Dah, na Kigwangalla akiwa huku mjini anajifanya bishoo kishenzi kumbe ndivyo kwao kulivyo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom