Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 10,185
- 7,367
Eti Mtu nisiyejulikana2 ulitaka kujikojolea baada ya kumuona nyoka hapo kitandani ni kwa sababu ulikuwa na nyege ya kutaka kuchapa magoli yako au?
hakuna mkuu huku ni interior kabisa , umeme shda, maji ,huduma zote mjini majoka mjini, gari lipo moja likipita saa kumi alfajiri ndo mpaka kesho tena saa kumi alfajiri,hakuna joka la kulikumbatia hapo?
Hata sijui kama zinafanyika mkuu. Sijatoka hata njeVipi sherehe za Mapinduzi zinaendeleaje?
Au na ninyi mnafanya kuokoa gharama kama Uhuru tulivyofanya?



Umeanza vizuri fable yako but umeharibu sana pale ulipoingiza story ya joka!Watanzania mnajifanya hamsadiki uchawi wakati miili yenu yote imejaa chale za waganga,90% ya wanaoponda Uzi wangu ukigagua miili yao utakuta imejaa chale
Sent using Jamii Forums mobile app
hakuna mkuu huku ni interior kabisa , umeme shda, maji ,huduma zote mjini majoka mjini, gari lipo moja likipita saa kumi alfajiri ndo mpaka kesho tena saa kumi alfajiri,
IGHANUDA