Sitaisahau CHRISTMAS ya mwaka 1997

Sitaisahau CHRISTMAS ya mwaka 1997

Mi nakumbuka 1999 nilikua a town tukaenda na maza na mzee tunaingia duka moja mzee alishatupiga biti kila mtu bajet yake ya kila kitu ni elfu 50000 yaani hapo ni shati suruali sox na viatu, ila baada ya kununuliwa kila kitu kasoro viatu bajet yangu ikiwa imebaki elfu 12 tukaingia kwenye duka la mhindi mmoja nikaona kiatu kikali kujaribu mpaka mwisho, mhindi kataja bei Laki mwisho elfu 80 mimi nang'angania kidogo kaingia jamaa wanafanya kazi na mzee kamwambia bro acha ubahili mpe kijana kiatu elfu 80 unalia nini akampa mzee 15 ongezea hapo, ikabd mzee kwa shngo upande anunue, mi kwangu ushindi ila njiani 2ko kwenye gari tunarudi home nilikula masingi na misonyo... Ile kufika hme tukakuta kuna wageni wamekuja toka dar wako kibarazani Basi tukaanza kutoa vitu tukijaribisha kila mtu na vyake mara si mbwa wetu mmoja kapita na kiatu changu kimoja kumkimbiza akapita geti la nyuma kuna shamba huko kuja kumkuta anakirarua kiatu hakifai narudi nalia nimeshika kiatu kimekuwa tambara mzee alicheka sana sana akasema usijali utavaa kilchobaki sitasahau xmas hiyo sikutoka ndani
dah kiongozi izo bei zitakuwa za 2025 ,1999 bei izo TZ
 
Tena huyo mshenzi aliyeniibia raizon yangu Alikuwa Anaitwa Masanyiwa Mapalala akakutana na mtu ya kutokea kasai sina masihara hata kidogo halafu wakuu 1982 siyo zamani kuna watu wamefukia miaka dahari hebu angalia zee la malofa lina 80 ila bado lina nguvu za kutosha
 
sitosahauu chritmass ya 2015,pale ambapo mimba ya mtoto wangu wa kwanza ilitungwaa, daa ilikuwa kama. masiharaa hivii yaan, bintii kalazimisha mzigoo basi mimi kwenye uke mkesha wa sikukuu ikabidi nioshe rungu,, sasa hvi mtoto mkubwaa tuuh anawasalim sanaa
hizi smart nazoo....kwenye nini sijui
 
Mie mtoto wa masikini sikumbuki vizuri mwaka ila ilikuwa miaka ya mwisho ya 80 au mwanzoni miaka ya 90.

Nimelelewa katika maadili ya kiroho. Na siku hiyo ya krismasi nilikuwa niwe mtumishi kwenye mksa ya pili iliyokuwa ianze saa 2:30. Basi nilikuwa nimepewa suruali kodrai na shati toka kwenye moja ya mashirika ya masista pale kanisani kwetu.

Braza wangu ambaye tulikuwa tunalingana lingana naye asubuhi akavaa nguo zangu bila mimi kujua na kutimkia kanisani, kustuka nguo hamna!

Muda unaenda na nilitakiwa kuwahi kwa ajili ya kujiandaa kwa ajili ya kutumikia ile ibada. Nikavaa nguo zangu za zamani siyo mpya nikaenda kanisani. Sikuwa na furaha kwa kweli. Padri(Deo) akaniuliza nikampa kisa chote, akaniambia nisijali. Tukapiga ibada, misa ikaisha tukarudi nyumbani.

Kesho yake boxing day father Deo kaja na Ballo la mitumba akaleta pale home. Tulipata nguo kibao kuanzia mimi na mabroo zangu na dada zangu pia. Sitakaa nisahau hii kitu.

R.I.P FATHER DEO
 
Mie mtoto wa masikini sikumbuki vizuri mwaka ila ilikuwa miaka ya mwisho ya 80 au mwanzoni miaka ya 90.

Nimelelewa katika maadili ya kiroho. Na siku hiyo ya krismasi nilikuwa niwe mtumishi kwenye mksa ya pili iliyokuwa ianze saa 2:30. Basi nilikuwa nimepewa suruali kodrai na shati toka kwenye moja ya mashirika ya masista pale kanisani kwetu.

Braza wangu ambaye tulikuwa tunalingana lingana naye asubuhi akavaa nguo zangu bila mimi kujua na kutimkia kanisani, kustuka nguo hamna!

Muda unaenda na nilitakiwa kuwahi kwa ajili ya kujiandaa kwa ajili ya kutumikia ile ibada. Nikavaa nguo zangu za zamani siyo mpya nikaenda kanisani. Sikuwa na furaha kwa kweli. Padri(Deo) akaniuliza nikampa kisa chote, akaniambia nisijali. Tukapiga ibada, misa ikaisha tukarudi nyumbani.

Kesho yake boxing day father Deo kaja na Ballo la mitumba akaleta pale home. Tulipata nguo kibao kuanzia mimi na mabroo zangu na dada zangu pia. Sitakaa nisahau hii kitu.

R.I.P FATHER DEO
Ameen mkuu ...nami nliwahi kuwa ministrant
 
Mie mtoto wa masikini sikumbuki vizuri mwaka ila ilikuwa miaka ya mwisho ya 80 au mwanzoni miaka ya 90.

Nimelelewa katika maadili ya kiroho. Na siku hiyo ya krismasi nilikuwa niwe mtumishi kwenye mksa ya pili iliyokuwa ianze saa 2:30. Basi nilikuwa nimepewa suruali kodrai na shati toka kwenye moja ya mashirika ya masista pale kanisani kwetu.

Braza wangu ambaye tulikuwa tunalingana lingana naye asubuhi akavaa nguo zangu bila mimi kujua na kutimkia kanisani, kustuka nguo hamna!

Muda unaenda na nilitakiwa kuwahi kwa ajili ya kujiandaa kwa ajili ya kutumikia ile ibada. Nikavaa nguo zangu za zamani siyo mpya nikaenda kanisani. Sikuwa na furaha kwa kweli. Padri(Deo) akaniuliza nikampa kisa chote, akaniambia nisijali. Tukapiga ibada, misa ikaisha tukarudi nyumbani.

Kesho yake boxing day father Deo kaja na Ballo la mitumba akaleta pale home. Tulipata nguo kibao kuanzia mimi na mabroo zangu na dada zangu pia. Sitakaa nisahau hii kitu.

R.I.P FATHER DEO
Hahahaaaa
 
Mie ilikuwa Christmas ya mwaka 2003. Nipo darasa la nne..! Mzee na mama walikuwa hawaishi pamoja na mie nilikuwa nakaa na mama.. So sikukuu ilipofika mzee akakichanga aniletee nguo na viatu vya sikukuu.. Basi bwana kuletwa nguo kweli zimanikaa kama nilipimishwa.. Issue ikaja kwenye viatu.! Mwanaume najaribisha imebaki nafasi kuubwa kwa mbele..! Mzee akakata kipande cha godoro na mifuko ikasokomezwa mbele ili kinikae vizur.. Kumbe mwanaume issue ile sijapenda bana.. Nilitaka kiatu kinikae sawasawa kama kama nmezaliwa nacho..![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nikakataa namwambia mzee avirudishe alipovitoa mzee akakataa..! Daah nili mind kinyamaa..! Sikukuu ilipofika baada ya kula pilau, kila mtu anavaa nguo zake na viatu vimewakaa vizuri sanaa..! Kuvaa mimi kiatu kikawa kama cha mzee charlie Chaplin (wanaomjua wananielewa) aisee hasira zikanikaba kooni nikawa nahisi kama nataka kufa vile..! [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Kidume nikasema no sweat ngoja niblend in kwani sikukuu si ni leo tu.?! Baada ya leo nikavua na kukitupia uvunguni sikivai tena..![emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]

Tumezunguka weeeeh mitaa yote... Jamaa yangu mmoja akasuggest twende mtoni tukaangalie watu wanavyoogelea..! Raia tukakubali, fika kule bana wakaanzisha tena issue ya viatu vyangu..! Aisee watoto muda mwingine huwa tuna roho mbaya sana(they dont know when to quit)..! Yaani waliniharasi mpaka nikajuta kuungana nao kwenye ile safari..! [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]

Mambo yaliponizidia sijui akili ilitoka wapi bana..! Nikajikuta nimevua viatu kwa hasira nikavitupa mtoni...! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Aisee katika siku ambazo nilikula kichapo.. Ile siku siwezi kuisahau..! Mixer mama alinimwagia mpaka maji ya ukoko wa pilau..! [emoji46][emoji46][emoji46][emoji46][emoji46][emoji46]

Nilijutaaaaaa...! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mzee alipokuja kusikia habari zile.. Akasema huyu atavaa viatu vya shule pair moja kwa miaka miwili bila ya kununuliwa kingine..! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na kweli maana nilivaa kiatu mpaka vidole vikachungulia nje..! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mie ilikuwa Christmas ya mwaka 2003. Nipo darasa la nne..! Mzee na mama walikuwa hawaishi pamoja na mie nilikuwa nakaa na mama.. So sikukuu ilipofika mzee akakichanga aniletee nguo na viatu vya sikukuu.. Basi bwana kuletwa nguo kweli zimanikaa kama nilipimishwa.. Issue ikaja kwenye viatu.! Mwanaume najaribisha imebaki nafasi kuubwa kwa mbele..! Mzee akakata kipande cha godoro na mifuko ikasokomezwa mbele ili kinikae vizur.. Kumbe mwanaume issue ile sijapenda bana.. Nilitaka kiatu kinikae sawasawa kama kama nmezaliwa nacho..![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nikakataa namwambia mzee avirudishe alipovitoa mzee akakataa..! Daah nili mind kinyamaa..! Sikukuu ilipofika baada ya kula pilau, kila mtu anavaa nguo zake na viatu vimewakaa vizuri sanaa..! Kuvaa mimi kiatu kikawa kama cha mzee charlie Chaplin (wanaomjua wananielewa) aisee hasira zikanikaba kooni nikawa nahisi kama nataka kufa vile..! [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Kidume nikasema no sweat ngoja niblend in kwani sikukuu si ni leo tu.?! Baada ya leo nikavua na kukitupia uvunguni sikivai tena..![emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]

Tumezunguka weeeeh mitaa yote... Jamaa yangu mmoja akasuggest twende mtoni tukaangalie watu wanavyoogelea..! Raia tukakubali, fika kule bana wakaanzisha tena issue ya viatu vyangu..! Aisee watoto muda mwingine huwa tuna roho mbaya sana(they dont know when to quit)..! Yaani waliniharasi mpaka nikajuta kuungana nao kwenye ile safari..! [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]

Mambo yaliponizidia sijui akili ilitoka wapi bana..! Nikajikuta nimevua viatu kwa hasira nikavitupa mtoni...! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Aisee katika siku ambazo nilikula kichapo.. Ile siku siwezi kuisahau..! Mixer mama alinimwagia mpaka maji ya ukoko wa pilau..! [emoji46][emoji46][emoji46][emoji46][emoji46][emoji46]

Nilijutaaaaaa...! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mzee alipokuja kusikia habari zile.. Akasema huyu atavaa viatu vya shule pair moja kwa miaka miwili bila ya kununuliwa kingine..! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na kweli maana nilivaa kiatu mpaka vidole vikachungulia nje..! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duuuh
 
Sitasahau Christmas ya mwaka 2016. Nikiwa na rafiki yangu asubuhi kunakucha hatuna hili wala lile tunajipa moyo na kusogea gengeni kulikuwa na mama mmoja alikuwa anatuuzia mboga, ndani tulikuwa na mia 3 ila unga tulikuwa nao tatizo kubwa lilikuwa ni mboga, safari ya kwenda gengeni ikaanza taratibu huku tukiwa na matumaini ya kumkuta mama dah! Kufika tunakuta wapo tu wauza nyanya hapo tuna njaa ya ya siku moja maana usiku hatukula, ikabidi tupumzike pale gengeni tukawa tunasubiri labda mama angekuja atupatie mboga ila wapi.

Dakika chache nikamuona mpenzi wangu na rafiki yake wanatoka salon kutengeneza nywele, alishangaa mimi kuwa pale akauliza vipi huko kwenu sikukuu vipi nikamwambia poa tu hapa tumekuja kuchukua nyanya tukapike karibuni wakasema asante. Nikamuuliza wapi mbona mmetoka salon akasema tunajiandaa kutoka (nikajua tayari naenda kugongewa) nikamwambia kila la kheri uwe makini wakaanza safari ya kwenda huko kwenye mtoko wao.

Basi jamaa yangu akaniambia twende kwa shangazi yupo hapa mjini najua tutakula na kurudi home tukiwa vizuri bhana safari ya kwenda kwa shangazi ikaanza wakati huo nilikuwa nina jipu kwenye paja yaani maumivu ya jipu njaa na hela hakuna nilikuwa naona kama maisha yanatutania sana, basi tukafika kwa shangazi tulikuta kuna foleni ya watu maana wengi walikuja pale pia kujumuika nao hvyo msosi wetu ukawa haupo kwenye mahesabu wakaugawanya gawanya hatimaye na sisi tukapata kidogo tukala na jioni tukarudi nyumbani.

Ile tunafika tukakuta majirani wanapika pilau kuku aisee nikaingia ndani nikamwambia mshikaji mimi nalala (tulikuwa vyumba tofauti) kabla sijasinzia akaja kugonga mlango akaniomba sufuria kubwa nikampa baada ya muda akaja na pilau limejaa sufuria likiwa na nyama aisee tulikula siku 2 pilau haliishi hadi tukamwaga.

Siku hiyo niliamini Mungu ndiye anajua nini utakula hata kama huna pesa. MUNGU ATUFANIKISHE SANA.
Mkuu yule shemeji etu vipi? Hakurudi?
 
Mi nakumbuka 1999 nilikua a town tukaenda na maza na mzee tunaingia duka moja mzee alishatupiga biti kila mtu bajet yake ya kila kitu ni elfu 50000 yaani hapo ni shati suruali sox na viatu, ila baada ya kununuliwa kila kitu kasoro viatu bajet yangu ikiwa imebaki elfu 12 tukaingia kwenye duka la mhindi mmoja nikaona kiatu kikali kujaribu mpaka mwisho, mhindi kataja bei Laki mwisho elfu 80 mimi nang'angania kidogo kaingia jamaa wanafanya kazi na mzee kamwambia bro acha ubahili mpe kijana kiatu elfu 80 unalia nini akampa mzee 15 ongezea hapo, ikabd mzee kwa shngo upande anunue, mi kwangu ushindi ila njiani 2ko kwenye gari tunarudi home nilikula masingi na misonyo... Ile kufika hme tukakuta kuna wageni wamekuja toka dar wako kibarazani Basi tukaanza kutoa vitu tukijaribisha kila mtu na vyake mara si mbwa wetu mmoja kapita na kiatu changu kimoja kumkimbiza akapita geti la nyuma kuna shamba huko kuja kumkuta anakirarua kiatu hakifai narudi nalia nimeshika kiatu kimekuwa tambara mzee alicheka sana sana akasema usijali utavaa kilchobaki sitasahau xmas hiyo sikutoka ndani
Haaaah. Haaaah. Haaaab. Mzee wako kauzu.... Utavaa kilichobaki!
 
Back
Top Bottom