sitaipenda CHADEMA HADI KUFA

sitaipenda CHADEMA HADI KUFA

kupe

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
1,036
Reaction score
330
viongozi wa CHADEMA wakiwa na akili timamu tena wasomi wanawashawishi wananchi wasiojua kitu kujiunga na maandamano au mikusanyiko yao isiyo na kibali cha serikali wakijua fika kabisa kuwa ni uvunjaji wa sheria . na wakijua kitakachotokea .mfano ..... KIFO CHA MUUZA MAGAZETI , na sasa KIFO CHA MWANDISHI WA HABARI. wenyewe wamekaa kwenye magari yao makubwa na majumbani mwao wanapigwa na viyoyozi huku wakipata umaarufu kitaifa na kimataifa kwa mbinu chafu na haramu. naapa ni bora nizikwe hai kuliko kuiona NCHI YA AMANI KIPENZI CHA DUNIA TANZANIA ikiteketezwa na waroho wa urais CHADEMA . TANZANIA inaweza kufanya mabadiriko katika njia sahihi na za amani kama tulivyoingia katika vyama vingi kwa amani. lakini si kwa njia hii ya CHADEMA ...MUNGU ibariki TANZANIA .MUNGU inusuru TANZANIA na hili jinamizi la CHADEMA .
 
viongozi wa CHADEMA wakiwa na akili timamu tena wasomi wanawashawishi wananchi wasiojua kitu kujiunga na maandamano au mikusanyiko yao isiyo na kibali cha serikali wakijua fika kabisa kuwa ni uvunjaji wa sheria . na wakijua kitakachotokea .mfano ..... KIFO CHA MUUZA MAGAZETI , na sasa KIFO CHA MWANDISHI WA HABARI. wenyewe wamekaa kwenye magari yao makubwa na majumbani mwao wanapigwa na viyoyozi huku wakipata umaarufu kitaifa na kimataifa kwa mbinu chafu na haramu. naapa ni bora nizikwe hai kuliko kuiona NCHI YA AMANI KIPENZI CHA DUNIA TANZANIA ikiteketezwa na waroho wa urais CHADEMA . TANZANIA inaweza kufanya mabadiriko katika njia sahihi na za amani kama tulivyoingia katika vyama vingi kwa amani. lakini si kwa njia hii ya CHADEMA ...MUNGU ibariki TANZANIA .MUNGU inusuru TANZANIA na hili jinamizi la CHADEMA .

View attachment 63892wakati unaowaita majinamizi wanakatazwa kufanya mikutano kwa sababu ya sensa MAJINAMIZI haya yalikuwa yanaendelea na mikutano kama kawaida. CHADEMA haiitaji ipendwe na watu wote ndio maana kuna vyama vingi. Mawazo yako ni mgando sana hujui usemalo. ila ipo siku utakuja kuelewa.
 
Wewe kweli kupe aisee jina lako na pumba zako limekupendezea sana ati NCHI YA AMANI KIPENZI CHA DUNIA who told you kuwa kuna amani Tanzania kama hufahamu sasa ni bora kuishi Somalia kabisa ukifahamu kuwa moja kwa moja kuna vita kuliko Tanzania wanafiki wengi haswa hiyo serikali unayosema ati Chadema wapewe vibali na serikali acha pumba kama huan cha kuandika bora angalia PORNO kwa hizo credit zako ulizonunua kwa Tigo/Vodafone.Pole kwa kutofahamu nini katiba inasemaje kuhusu uhuru wa vyama vya siasa acha Upimbi wewe KUPE nafahamu unakula kupitia CCM magamba na wewe pia ni Gamba ndio maana huwezi kuunga mkono chama cha Ukweli ole wako 2015 subiri kujinyonga
 
huyu Kupe na walewale wavivu wa kufikiri na wenye dhiki ya akili, ningekua Invisible nisingempa acces ya hili jukwaa ningemruhusu awe anaishia jukwaa la jokes na jukwaa la mapishi tu
 
wewe utakuwa uataka tukuombee ufe haraka, nasisi hatukuombei hivyo ng'o. Naomba Mungu akujalie maisha marefu mpaka siku utayoona CDM wanachukua nchi. Udondoke, uzimie na Kufa pale Rais kutoka CDM atakapomaliza kula kiapo cha uongozi.

Nakufananisha na sheria za South Afrika: Polisi wameua raia lkn wanafunguliwa mashitaka ya uuaji raia. Sasa nawe unajua ni polisi wametekaleza mauaji hayo yote kama ulivyotaja, lkn unawachukia CDM.

Ishi miaka mingi ushuhudie mapinduzi
 
Kupe;utajinyea bure mzee wakati tumbo hauumwi wewe...wewe na magamba wenzio punde mtageuka chama cha upinzani kilichopoteza mvuto kama KANU...haiwi rahisi kuamini kuwa sasa zama za magamba zimepita ila wewe ni kati ya abiria wachache mnaoisindikiza meli ya ccm hadi kutia nanga kwenye kina kirefu.....
 
Kwani umelazimisha? Kama wewe binafsi hujipendi hadi unatumika kama nepi utaipendaje CDM? Penda usipende CDM haitegemei mapenzi yako. Una mapenzi gani wakati hata kupenda ni msamiati adimu na mgumu kwako? Siku zote kupe ni kupe hata umpe nini atabaki kuwa kupe. Go ahead with your misguided thoughts about CDM.
 
wewe ni shankupe na unalipa fadhila kwa mabwana zako wa magamba kupitia posts zako
 
wewe ni shan-kupe na unalipa fadhila kwa mabwana zako wa magamba kupitia posts zako
 
wewe unafikiria kwa kutumia makalio. Kwanza polisi hawatoi vibali,usikurupuke tu! Pili inaonekana wewe ni kipofu-morogoro walioua ni polisi,arusha ni polisi,tarime ni polisi,machimbo ya madini ni polisi na Nyororo iringa ni polisi hata wakamjelui na polisi mwenzao. Baba yako ni mwenyekiti wa mkoa wa ccm au wewe ni Mkuu wa wilaya?


Nafikiri ukichaa sio lazima kuokota makopo hata tabia kama zako zinaweza kukufanya kuitwa kichaa.
 
Amani yako inatumika vibaya ndio maana unadhani tz ina amani.UNAWEZAJE KUHUBIRI AMANI WAKATI WANANCH WANAKUFA NJAA? PUMBAFUU ZAKO.
 
Spoiled my day! f*******************k uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!:shetani:
 
Kupe una point.. alafu hongera cdm ni janga la kitaifa.. watu kama wewe ndio wazalendo mnaohitajika.. hawajamaa chadema mi nawachukia sababu wadini sana..
 
Back
Top Bottom