Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,334
kwa ufupi ndugu zangu watanzania naombeni ni waambie 2015 sitagombea Ubunge naendelea na dhamira yangu ya Urais, wale mnaonilazimisha naomba ni seme sitabadilisha msimamo wangu, Ikulu lazima niingie2015. Hii ndio habari ya mjini. Wilaya ya KAHAMA ni kwetu na nitapajenga na ninaendelea kupajenga. VIVA Chama cha NCCR-MAGEUZI.