Lyehagi
Member
- Dec 10, 2010
- 19
- 13
Jana Sitta na waheshimiwa wenzake walikuwa Mbeya wakiongea na wasomi wa vyuoni. Hilo siyo tatizo kwangu ila ninachojiuliza matamshi aliyoyachana jana yameendelea kuiwekapaya sana agenda ya mh. sana bwana mdogo Ngeleja, ambaye mpaka sasa anajivuna kwa kuwa na mipango mingi wizarani kwake bila kuwepo maendeleo yoyote tangu 1992 ya umeme. Sitta alikuwepo katika system zote tangu enzi hizo,
swali;
kwanini hakushtuka na kutoa maonyo yote hayo awali kabla hatujatumbukia kote huku?
kwanini kama alitoa ushauri hapo kale hakutaka kujitenga nao au kujipambanua zamani?
kama alishauri wakambeza ni lini ameeleza bayana kuwa aliwahi kutoa ushauri akakataliwa?
Je, nikisema kuwa naye ni walewale wanaotafuta madaraka halafu wawekane maswahiba wale keki ya taifa hili nitakosea?
Majuzi alipokuwa bungeni alitetea hoja ya posho kwani yeye hapo alipo anakula posho kibao; kwanza anafaidi kama spika mstaafu posho na maslahi zote za tiba na nyumba kwa familia yake, pili analipwa posho za mbunge n.k. inafikia hata kuwaita watoa hoja wanafiki ndani ya bunge.
Kwangu binafsi sijaamini kama ni mwenzetu sisi walalahoi kwani yabainika wazi ni nyoka anayejaribu kubangua ganda lake aonekane sumu kupungua but wapi, wako katika siasa za mnyukano tu wa makundi ndani ya chama chao cha mafisadi. Tuweni naye makini sana maana haeleweki, au ndo siasa zetu za kibongo kwamba ukipewa kukaimu kiti cha mwehu na wewe unageuka kuwa mwehu ili kiti kisije kuhisi kakaa mtu tofauti?
T A F A K A R I !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
swali;
kwanini hakushtuka na kutoa maonyo yote hayo awali kabla hatujatumbukia kote huku?
kwanini kama alitoa ushauri hapo kale hakutaka kujitenga nao au kujipambanua zamani?
kama alishauri wakambeza ni lini ameeleza bayana kuwa aliwahi kutoa ushauri akakataliwa?
Je, nikisema kuwa naye ni walewale wanaotafuta madaraka halafu wawekane maswahiba wale keki ya taifa hili nitakosea?
Majuzi alipokuwa bungeni alitetea hoja ya posho kwani yeye hapo alipo anakula posho kibao; kwanza anafaidi kama spika mstaafu posho na maslahi zote za tiba na nyumba kwa familia yake, pili analipwa posho za mbunge n.k. inafikia hata kuwaita watoa hoja wanafiki ndani ya bunge.
Kwangu binafsi sijaamini kama ni mwenzetu sisi walalahoi kwani yabainika wazi ni nyoka anayejaribu kubangua ganda lake aonekane sumu kupungua but wapi, wako katika siasa za mnyukano tu wa makundi ndani ya chama chao cha mafisadi. Tuweni naye makini sana maana haeleweki, au ndo siasa zetu za kibongo kwamba ukipewa kukaimu kiti cha mwehu na wewe unageuka kuwa mwehu ili kiti kisije kuhisi kakaa mtu tofauti?
T A F A K A R I !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!