Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Sisimizi mmoja baada ya kupotezana na wenzie kwa muda mrefu,aliamua kuwaeleze alikopotelea."Basi bwana niliingia katika shimo moja lenye unyevunyevu na fukuto la joto kali,mara ghafla nyoka akaingia ndani ya shimo na kuanza kunitafuta kwa hasira,akaingia na kutoka zaidi ya mara 50 lakini hakunipata,kwa hasira za kunikosa akaamua kutema mate yake ndani ya shimo kisha akaondoka zake".Mi sijui huyu sisimizi aliingia shimo gani na alikumbana na nyoka wa aina gani?