Sisi Watanzania ni wanafiki sana

Sisi Watanzania ni wanafiki sana

Bubu Msemaovyo

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2007
Posts
4,189
Reaction score
3,548
Unafiki wetu uko katika matukio, wapo wachache wanaohatarisha amani tumekuwa tukiwalaani sana kwa kuhatarisha amani lakini Polisi wakifanya kazi yao tunageuka na kuanza kulaani Polisi kwa kulinda amani yao.

Mahubiri wanayofanya viongozi wa dini hapa nchini ambayo yamekuwa ni chanzo cha kuvurika kwa amani raia, serikali wamekuwa wakikaa kimya kusubiri upepo upite. Tuwaache Polisi wafanye kazi yao.

Hata leo akitokea yeyote anayejaribu kuhatarisha amani kamwe tusimuonee huruma. Jana niliuliza kuhusu tukio la Ponda kupigwa risasi kwamba je alishapata taarifa ajisalimishe???

Hata hivyo kutoa mahubiri ya kuleta chuki za kidini hakuwezi kukumbatiwa tuache serikali idhibiti hali kama hiyo.

Hapa nadhani ndipo mahala ambapo sisi watanzania inabidi tuwe kitu kimoja badala ya kujifanya kuwa pande mbili.

Kwanza mtu mwenyewe si raia wa Tanzania tena akipona inabidi ashitakiwe kama mhamiaji haramu na kwanini hajaondoka hapa nchini kutii amri ya Rais wetu Mh Dr. Jakaya Mrisho Kikwete???

Ponda rudi kwenu Burundi utuachie Tanzania yetu yenye amani. Urakodze chane!!!
 
kweli mkuu majitu wanafiki sana.mtu anahatarisha aman ya nchi harafu polis wakichukua hatua mnalalamika na polis wasipochukua hatua mnalalamika.

ni sawa na ndugu wengine ukiwasaidia lawama usipowasaidia lawama pia. achen polis wafanye kazi.
yoyote asiyetii amri acha apigwe tu
 
kweli mkuu majitu wanafiki sana.mtu anahatarisha aman ya nchi harafu polis wakichukua hatua mnalalamika na polis wasipochukua hatua mnalalamika.

ni sawa na ndugu wengine ukiwasaidia lawama usipowasaidia lawama pia. achen polis wafanye kazi.
yoyote asiyetii amri acha apigwe tu

Nashukuru sana mimi nimejaribu kuwapima upepo watu kadhaa iwe hapa JF na huko mitaani kwa kweli sisi tumezidi kuwa wanafiki. Kama tunataka amani lazima tuwe tayari kuilinda kwa gharama zozote zile. Ponda kupigwa riasi ni malipo ya uovu ambao amekuwa akifanya. Mtu kakimbia kwao Burundi kuja kujisitiri Tanzania halafu anaendeleza uhalifu wa nchini kwake hapa Tanzania..........NO HAIKUBALIKI. Amekuwa akifanya vitu kana kwamba hakuna serikali hapa Tanzania halafu anatwangwa risasi kwa kukataa kujisalimisha eti tuanatoa matamko ya kulaani. Inashangaza sana!!!
 
Bubumsemahovyo!!!!!!

Hivi wizara ya mambo ya ndani imegawanyikaje? ???
 

Nashukuru sana mimi nimejaribu kuwapima upepo watu kadhaa iwe hapa JF na huko mitaani kwa kweli sisi tumezidi kuwa wanafiki. Kama tunataka amani lazima tuwe tayari kuilinda kwa gharama zozote zile. Ponda kupigwa riasi ni malipo ya uovu ambao amekuwa akifanya. Mtu kakimbia kwao Burundi kuja kujisitiri Tanzania halafu anaendeleza uhalifu wa nchini kwake hapa Tanzania..........NO HAIKUBALIKI. Amekuwa akifanya vitu kana kwamba hakuna serikali hapa Tanzania halafu anatwangwa risasi kwa kukataa kujisalimisha eti tuanatoa matamko ya kulaani. Inashangaza sana!!!
hatulaani Ponda kushugjulikiwa tunalaani Ponda kupigwa risasi hadharani mkuu, Nihatari kuendekeza kupiga watu hadharani hatujazoea hayo, kwanini wasitumia mbinu nyingine kumdhibiti?
 
hatulaani ponda kushugjulikiwa tunalaani ponda kupigwa risasi hadharani mkuu, Nihatari kuendekeza kupiga watu hadharani hatujazoea hayo, kwanini wasitumia mbinu nyingine kumdhibiti?

alikuwa gelezani kwanini walimuachia
 
Kweli hata mimi nimeamini watanzania wanafiki,maana polisi walifanya kazi yao ya kulinda amani ya nchi kwa kumuua DAUDI MWangosi ambaye alihatarisha amani ya nchi,aliuawa kijana kwa kupigwa risasi ARusha kwenye mkutano wa cdm,na yule muuza magazeti aliyeuawa morogoro kwenye maandano ya cdm, nakushukuru kiongozi wetu wa unafiki kwa kuleta hii mada.
 
Kweli hata mimi nimeamini watanzania wanafiki,maana polisi walifanya kazi yao ya kulinda amani ya nchi kwa kumuua DAUDI MWangosi ambaye alihatarisha amani ya nchi,aliuawa kijana kwa kupigwa risasi ARusha kwenye mkutano wa cdm,na yule muuza magazeti aliyeuawa morogoro kwenye maandano ya cdm, nakushukuru kiongozi wetu wa unafiki kwa kuleta hii mada.

wewe ni bingwa wa rivasi
 
  • Thanks
Reactions: LD
umetoka poooovu... Kweli wewe ni msema hovyo....
PIGA KELELE KINANA NA RAGE WARUDISHWE KWAO SOMALIA BASI...
MWANGOSI NAE NI MCHOCHEZI?,YULE MACHINGA ALIYEPIGWA RISASI MAANDAMANO YA CDM MORO NAE NI MCHOCHEZI.. Ulimboka,kubenea,kibanda, na hawa nao vipi.. Vipi na watuhumiwa wooote wanaouliwa mikononi mwa polisi?? ... (***## la nguoni)
 
umetoka poooovu... Kweli wewe ni msema hovyo....
PIGA KELELE KINANA NA RAGE WARUDISHWE KWAO SOMALIA BASI...
MWANGOSI NAE NI MCHOCHEZI?,YULE MACHINGA ALIYEPIGWA RISASI MAANDAMANO YA CDM MORO NAE NI MCHOCHEZI.. Ulimboka,kubenea,kibanda, na hawa nao vipi.. Vipi na watuhumiwa wooote wanaouliwa mikononi mwa polisi?? ... (***## la nguoni)

Shukrani kwa kutambua hilo Mimi pia ni Bubu Mwimba Kwaya
 
Nakuunga mkono na ndiyo maana hujaona popote nina walaani polisi juu ya Ponda na wahatarisha amani wenzake .Uko sahihi.
 
Tena sana na wanasahau hayo maneno machafu wanayotoa na kupata muda wa ku comnt ni kwa sababu ya uwepo wa polisi nchini
 
Nakuunga mkono na ndiyo maana hujaona popote nina walaani polisi juu ya Ponda na wahatarisha amani wenzake .Uko sahihi.

mimi nalaani sana polisi kufanya vile tena kwenye umati wa watu wanapandikiza mbegu mbaya sana
 
Polisi wanatakiwa wafanye kazi yao kimaadili kama walivyofundishwa. Kama wakikosea wanastahili kushughukiwa kama wafanya kazi wengine wanapokosa i.e. kuwajibishwa. Tunachoomba kuelezwa ni hali halisi na kinachotakiwa kutekelzwa kwa mujibu wa sheria za nchi.
 
Back
Top Bottom