Sisi Watanzania ni wanafiki sana

Sisi Watanzania ni wanafiki sana

Naunga mkono hoja hii, niliposikia kapigwa risasi na nilipopata uzushi wa Zitto Kuwa Ponda amekufa nilishangilia nikiamini dudu hili limefika mwisho wa uovu wake, Kuwa bahati mbaya hakufa. Kwa yoyote asiyependa chuki mbaya ya udini aliyoileta Ponda ni wazi atafurahia Jambo hili, Polisi japo siwapendi lakini kwa hili niko pamoja nao.
 
Ponda is not the President of the United Republic of Tanzania, he is just a foreigner from Burundi. Several times he has been warned of his hatred preachings but he ignored. Now you are sympathizing, where were you to make him shut up his big mouth!!!???
Mhe. Babu M, mchana mwema hapo mie sii amini kuwa Shk p ni foreinger, nahisi kama kuna Ubaguzi !! ivo humu TZ tukichunguzana sii takribani wengi tutatoka patupu ? nina heshimu rai zako mara nyingi lakini ya racial / DISCRIMINATION itatuchanganya. good day
 
So you are condoning shooting somebody so long as it is done in secrecy? I do not like Ponda any bit, but I am totally against shooting him for whatever reason. Why not simply arrest him and take him to court? Afterall his conditional sentencing is still valid. It is a matter of putting him where he belongs - in jail. After the jail term, kick him out of the country if it can be proved beyond any reasonable doubt that he is a foreigner. After Ponda the next should be Bassaleh. He should go back to Zanzibar or Pemba.

Beore we agree/disagree, I do ask you, Don't you agree sometime killing/death is the best solution? for me I do, as long as is the last solution.

SP
 
kwani wewe huoni kwamba huyu Mrundi ni tatizo hapa Bongo au unajivua uelewa hata wa mambo madogo??
Acha UBAGUZI !! kama hauna uhakika, Elewa kuwa wenyeji wa nchi hi ni WAGOGO peke wengi humu ni wakufikia tuu. usije kujikuta unafungishwa virago urudi kwenu. take care !
 
Tunaongozwa na watu wanafiki ndo maan na sisi wanafiki
 
Pamoja na ukweli kwamba Ponda analeta shida katika amani ya Tanzania na ni mhamiaji, kupiga risasi siyo haki kwa kila binadamu. Polisi wanatkiwa kufuata mkondo wa sheria. Ili amani itawale zaidi, nchi lazima iongozwe kwa sheria.
 
Hivi Watanzania tunajiuliza ni msingi ipi ilitumika kumpa adhabu ya "kifungo cha nje"
How come?

KUna makubwa zaidi ya sisi tunavyojua.
Unaweza kutukumbusha alishtakiwa kwa kosa gani hata akapewa adhabu ya kifungo cha nje?
 
Acha UBAGUZI !! kama hauna uhakika, Elewa kuwa wenyeji wa nchi hi ni WAGOGO peke wengi humu ni wakufikia tuu. usije kujikuta unafungishwa virago urudi kwenu. take care !

huo ndio ukweli hamna cha ubaguzi. Kama babu wa babu yangu kazaliwa Tanganyika hii utanihamisha kunipeleka wapi??yeye ni mzaliwa Urundi ndio maana hataki kutikii mamlaka za Tanganyika.
 
huo ndio ukweli hamna cha ubaguzi. Kama babu wa babu yangu kazaliwa Tanganyika hii utanihamisha kunipeleka wapi??yeye ni mzaliwa Urundi ndio maana hataki kutikii mamlaka za Tanganyika.
Mkuu hapo mie siamini kama ulivo mpakizia huyo ni Mtanganyika ka mimi na wewe na mwengine, bila shaka kunawahasimu
wake ndo wanajibanzia kumchafulia uzawaa.!! au ukabila umeanza kutulevya.
 
Mkuu hapo mie siamini kama ulivo mpakizia huyo ni Mtanganyika ka mimi na wewe na mwengine, bila shaka kunawahasimu
wake ndo wanajibanzia kumchafulia uzawaa.!! au ukabila umeanza kutulevya.

Tanganyika hatuna ukabila na waTanganyika ni waelewa sana, hebu jicheki wewe afu nenda Katumba kule au mishamo ukatane na ndugu zake na huyu mzee ,yaani copy right neno tu anakutishia kukata shingo.
Chezea warundi wewe!!Hajapakaziwa kaka.
 
Tanganyika hatuna ukabila na waTanganyika ni waelewa sana, hebu jicheki wewe afu nenda Katumba kule au mishamo ukatane na ndugu zake na huyu mzee ,yaani copy right neno tu anakutishia kukata shingo.
Chezea warundi wewe!!Hajapakaziwa kaka.
Kweli hatuna TG hatuna ukabila! Lakini WaDini sii hatari zaidi na wahuni wa vyama watumiayo tindikali sii hatari zaidi? ya huko katuma au mishamo!! na Je we unaishi peke yako? au huja baguliwa katika ajira/shuleni/mafunzoni hata jeshini? be fair uwe mkweli Mkuu ! hakuna shida kutafakari. (kila ukoo kuna wazuri na wakaidi au makatili hata nyumbani/vijijini pia) sasa shehePonda ni mkaidi na mgumu wa kujisalimisha ndiyo apewe urundii? !! haya ni yaAjabu
 
Kweli hatuna TG hatuna ukabila! Lakini WaDini sii hatari zaidi na wahuni wa vyama watumiayo tindikali sii hatari zaidi? ya huko katuma au mishamo!! na Je we unaishi peke yako? au huja baguliwa katika ajira/shuleni/mafunzoni hata jeshini? be fair uwe mkweli Mkuu ! hakuna shida kutafakari. (kila ukoo kuna wazuri na wakaidi au makatili hata nyumbani/vijijini pia) sasa shehePonda ni mkaidi na mgumu wa kujisalimisha ndiyo apewe urundii? !! haya ni yaAjabu

Hajapewa Urundi ndio asili yake !!Ni kama leo hivi Chagonja alivyooa Mtutsi kwenye makambi ya wakimbizi afu aje hapa jukwaani aseme watutsi sio shemeji zangu au mke wangu sio mtutsi. Ponda ni mrundi na ndivo ilivyo.
Kubaguliwa kwa njia moja hasa dini yangu ilishatokea tena kwenye taasisi moja ya elimu ya juu, lakini sikushangaa sana sababu ya hii mipango ya kuiua Tanganyika na kushinikiza kutoa ajira kwa kubalance pande za muungano .
 
Hajapewa Urundi ndio asili yake !!Ni kama leo hivi Chagonja alivyooa Mtutsi kwenye makambi ya wakimbizi afu aje hapa jukwaani aseme watutsi sio shemeji zangu au mke wangu sio mtutsi. Ponda ni mrundi na ndivo ilivyo.
Kubaguliwa kwa njia moja hasa dini yangu ilishatokea tena kwenye taasisi moja ya elimu ya juu, lakini sikushangaa sana sababu ya hii mipango ya kuiua Tanganyika na kushinikiza kutoa ajira kwa kubalance pande za muungano .
Sasa tukianza na asilia na uhalisi wa mtu ni asli gani? naona mmmh Mkuu, mie ndo wakwanza kutimuliwa kwa sababu wale waloko mipakani. Kwani TZ ina mipaka na nchi ngapi? hapo sasa ikiwa kila aliyekuja kutoka kwampakani arudishwe kwali ATABAKI mtu humu? Eee kweli wagogo watakuwa salio la NEW TANZANIA.!! ok mkuu tafakari na tujenge TAIFA letu imara.
God bless Tanzania na watu wake.
 
Unafiki wetu uko katika matukio, wapo wachache wanaohatarisha amani tumekuwa tukiwalaani sana kwa kuhatarisha amani lakini Polisi wakifanya kazi yao tunageuka na kuanza kulaani Polisi kwa kulinda amani yao.

Mahubiri wanayofanya viongozi wa dini hapa nchini ambayo yamekuwa ni chanzo cha kuvurika kwa amani raia, serikali wamekuwa wakikaa kimya kusubiri upepo upite. Tuwaache Polisi wafanye kazi yao.

Hata leo akitokea yeyote anayejaribu kuhatarisha amani kamwe tusimuonee huruma. Jana niliuliza kuhusu tukio la Ponda kupigwa risasi kwamba je alishapata taarifa ajisalimishe???

Hata hivyo kutoa mahubiri ya kuleta chuki za kidini hakuwezi kukumbatiwa tuache serikali idhibiti hali kama hiyo.

Hapa nadhani ndipo mahala ambapo sisi watanzania inabidi tuwe kitu kimoja badala ya kujifanya kuwa pande mbili.

Kwanza mtu mwenyewe si raia wa Tanzania tena akipona inabidi ashitakiwe kama mhamiaji haramu na kwanini hajaondoka hapa nchini kutii amri ya Rais wetu Mh Dr. Jakaya Mrisho Kikwete???

Ponda rudi kwenu Burundi utuachie Tanzania yetu yenye amani. Urakodze chane!!!
Hapo umemaliza sina cha kuongeza
 
Hivi raia wa nje wanaokuja hapa nchini,mbona wana kiherehere sana?kwao huko wamesababisha majanga halafu wanakuja kujificha hapa kwetu kwa migongo ya dini,ili iwe rahisi kukubalika!kama anapenda sana vita si arudi kwao akapigane!?Akimaliza kutuchonganisha huyooo mpaka Malawi,then huyoo Zimbabwe,then huyoo...!Huko kote ataacha majanga tu!Halafu naye anajiita mjumbe wa Mungu!Najaribu kufikiria huyo Mungu mwenye fikra za kiponda-ponda taswira yake itakuwaje,mpaka naogopa!
Inanikumbusha filamu moja inaitwa Predator!
 
Hivi raia wa nje wanaokuja hapa nchini,mbona wana kiherehere sana?kwao huko wamesababisha majanga halafu wanakuja kujificha hapa kwetu kwa migongo ya dini,ili iwe rahisi kukubalika!kama anapenda sana vita si arudi kwao akapigane!?Akimaliza kutuchonganisha huyooo mpaka Malawi,then huyoo Zimbabwe,then huyoo...!Huko kote ataacha majanga tu!Halafu naye anajiita mjumbe wa Mungu!Najaribu kufikiria huyo Mungu mwenye fikra za kiponda-ponda taswira yake itakuwaje,mpaka naogopa!
Inanikumbusha filamu moja inaitwa Predator!

Hivi wale waliofungwa kwa mauaji ya General Kombe wako wapi?
 
Me nadhan weng tunalaumu njia walizotumia hasa hiyo kupiga risasi za moto kwa mtu ambaye alikuwa hana siraha.
Halafu hivi ni kweli Ponda si raia wa Tanzania? Au ni propaganda za mtaani?
 
Back
Top Bottom