shelumwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 516
- 190
Tena hawa wahamaji Nakwambia 2020 watakalishwa benchi na chama walichoamia sasa hivi wanahama na kugombea bila kupitishwa wanadania mwenyeji wanawakubali kumbe ni mbinu ya kuwatawala kiwepesiUsiseme unafiki seme waoga na tuna ubinafsi tu.....tunaogapa impact ya kukosoa walio shika mtuti wa bunduki.......chochote kinawezekana kufanwya kwako ukawa mfano wakuingwa kwa wengine.....kama uamini piga simu ubiligiji ulizie bado ya hilo tukio, watu wanahama chama kuunga jihudi za mueshimiwa.......
Natabili