Jonogomero
Member
- Feb 8, 2012
- 99
- 27
Aisee sisi wanaume kwa kweli ni kwele, kama hili limemfukuzia demu zaidi ya miezi miwili, limehonga weee mpaka simu ya bei mbaya limenunua. Leo limenyimwa mambo lipo ooooh kwanza demu mwenyewe mshamba tu, oh sio level zangu, hajui hata kuvaa. Sasa mi nashangaa inamaana hayo yote hakuyaona!! Au ndio za sungura kuwa sizitaki mbichi hizi