sisi wanaume duh!

Jonogomero

Member
Feb 8, 2012
99
27
Aisee sisi wanaume kwa kweli ni kwele, kama hili limemfukuzia demu zaidi ya miezi miwili, limehonga weee mpaka simu ya bei mbaya limenunua. Leo limenyimwa mambo lipo ooooh kwanza demu mwenyewe mshamba tu, oh sio level zangu, hajui hata kuvaa. Sasa mi nashangaa inamaana hayo yote hakuyaona!! Au ndio za sungura kuwa sizitaki mbichi hizi
 
hahahha kawaida bana...ah wao wanawake wanyodo sana aoo wee nae ponda tuu.
 
Aisee sisi wanaume kwa kweli ni kwele, kama hili limemfukuzia demu zaidi ya miezi miwili, limehonga weee mpaka simu ya bei mbaya limenunua. Leo limenyimwa mambo lipo ooooh kwanza demu mwenyewe mshamba tu, oh sio level zangu, hajui hata kuvaa. Sasa mi nashangaa inamaana hayo yote hakuyaona!! Au ndio za sungura kuwa sizitaki mbichi hizi

umeshawahi kukutana na demu aliyefukuzia mtu na kumkosa??? hapo ndio utakoma kabisa.... hiyo ya sizitaki mbichi hizi cha mtoto:A S embarassed:
 
Mpaka mtu aanze kuongea hivyo jua kimemgusa. . .mshamba ni yeye asiyeweza kucontrol hisia zake.
 
Ndio njia pekee ya kujifariji na kumtoa moyoni; hata nami nikimzimikia broman, asiponinotice, nitatafuta njia ya kumtoa kasoro ili moyo wangu usiumie!
 
Lol! Ama ukikuta mdada kaachwa? Mipondo yake hadi huruma. Hapa kamanda nakubaliana na wewe, vita yetu hamuiwezi,lol!
umeshawahi kukutana na demu aliyefukuzia mtu na kumkosa??? hapo ndio utakoma kabisa.... hiyo ya sizitaki mbichi hizi cha mtoto:A S embarassed:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom