johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,128
Tufunge tu Mjadala kwa kusema kwenye Siasa hakuna Rafiki wala Adui wa kudumu kama alivyosema Mbowe Wakati akimtambulisha Dr Slaa pale Mwanza
Ila kuna ule Urafiki wa kitaa au mtaani kiukweli JK rafiki yake alikuwa Ditto
Akubarikini Mungu wa Mbinguni 😂
Ila kuna ule Urafiki wa kitaa au mtaani kiukweli JK rafiki yake alikuwa Ditto
Akubarikini Mungu wa Mbinguni 😂