Komando tamimy
Senior Member
- Nov 18, 2020
- 108
- 121
- Thread starter
- #61
Hapana hayo ni mambi ya kitaaalamu sisi mavuvuzela wa lumumba tuna mada zetu za kujibuOngelea kuhusu Covid mbona utaonekana fastaaa
Hapana hayo ni mambi ya kitaaalamu sisi mavuvuzela wa lumumba tuna mada zetu za kujibuOngelea kuhusu Covid mbona utaonekana fastaaa
Nitaipata nasikia mnyika anazungumza kesho"Buku 7 unayoisaka kwa sasa haipatikani tafadhali jaribu tena 2025"
"Buku 7 unayoisaka kwa sasa haipatikani tafadhali jaribu tena 2025"Nita
Nitaipata nasikia mnyika anazungumza kesho
Hamna mzaha huo ndo ukweli njaaa imetamalaki niko lumumba hapa nadeki vyooUkweli unaosemwa kama mzaha.
Weww utakuwa ni muuuza ngada hela ngumuDamu gani tumetokwa nawakati tunafanya kazi kwa juhudiii, na noti tunazipataaa kikamilifu na kodi tunalipa kikamilifu ili serikali nayo ipate mapato?
chini kabisa kati
Chato bi moto sasa hivi unafikiri kitu gani ambacho kitakisa chato ndani ya miaka5 ijayoBasi ongelea kidogo kuhusu uwekezaji wa Chato,na ukosefu wa ajira.
Sasa umekalia umbea wako hapo offisini kwenu ufipani, kazi utafanya saangapiii. Akili yako inakutuma kuwa kila anayepata noti ameuza hizo ngada zenuWeww utakuwa ni muuuza ngada hela ngumu
Sasa umekalia umbea wako hapo offisini kwenu ufipani, kazi utafanya saangapiii. Akili yako inakutuma kuwa kila anayepata noti ameuza hizo ngada zehuna
Nani mmbea weye nfija nawewe utaanza kulalamika kitamboSasa umekalia umbea wako hapo offisini kwenu ufipani, kazi utafanya saangapiii. Akili yako inakutuma kuwa kila anayepata noti ameuza hizo ngada zenu
Ilizoeleka tukiwajibu wapinzani ndo tunaonekana zaidi, pia wakati wa uchaguzi tumefanya kampeni kuwapigania wagombea wetu wapite kwa kishindo.Walipita kwa kishindo.
Lakini sasa hali imekuwa ngumu hakuna wa kumjibu wapinzani wamejifanya kukaaa kimya kama Nchi siyo Ya kwao. Hata ile buku saba hapa lumumba imekata.
Ajira za chama zimekata pia, tulizoea kila mwaka sisi vijana makada watiifu kutuma vyeti vyetu kupangiwa kazi afisa tarafa, utendaji wa kijiji, na wale waliosomea msmbo ya uandisi walipangiwa kufanya kazi katika wizara husika. Mimi nilitegea kwa sababau nilitaka kuwa DED, DAS, RAC, DC au RC.
Sasa vyote nimevikosa nimebaki na piga miayo. Wapinzani jamani liamsheni dude ili nasi vijana tuwajibu kwa maneno ili tupate mkate wa kila siku.
Wanajamvi msinichukie hali ni mbaya huku ground, nawasilisha.
Sawa mwalimu tumekusikia. Nyie si ndio architect wa Mitano tena nyinyi?! Mtuvumilie!Ilizoeleka tukiwajibu wapinzani ndo tunaonekana zaidi, pia wakati wa uchaguzi tumefanya kampeni kuwapigania wagombea wetu wapite kwa kishindo.Walipita kwa kishindo.
Lakini sasa hali imekuwa ngumu hakuna wa kumjibu wapinzani wamejifanya kukaaa kimya kama Nchi siyo Ya kwao. Hata ile buku saba hapa lumumba imekata.
Ajira za chama zimekata pia, tulizoea kila mwaka sisi vijana makada watiifu kutuma vyeti vyetu kupangiwa kazi afisa tarafa, utendaji wa kijiji, na wale waliosomea msmbo ya uandisi walipangiwa kufanya kazi katika wizara husika. Mimi nilitegea kwa sababau nilitaka kuwa DED, DAS, RAC, DC au RC.
Sasa vyote nimevikosa nimebaki na piga miayo. Wapinzani jamani liamsheni dude ili nasi vijana tuwajibu kwa maneno ili tupate mkate wa kila siku.
Wanajamvi msinichukie hali ni mbaya huku ground, nawasilisha.
Fanya kazi acha kulia liaNani mmbea weye nfija nawewe utaanza kulalamika kitambo
HESHIMA HIYO KWIYO!!! MWIZI WA KURA ATABAKI KUWA MWIZI WA KURA TU NA KIZAZI CHANGU NTAHAKIKISHA NAKIRITHISHA HISTORIA HIYOLakini si vyema kuwatukana wakubwa zetu heshima haiuzwi
Hawa si vijana wa CCM, hawa nisquad ya tundulissu haina raha baada ya wananji kuwaumbua kotekote. Hii ni idara ya disinformation inaratibiwa EUIlizoeleka tukiwajibu wapinzani ndo tunaonekana zaidi, pia wakati wa uchaguzi tumefanya kampeni kuwapigania wagombea wetu wapite kwa kishindo.Walipita kwa kishindo.
Lakini sasa hali imekuwa ngumu hakuna wa kumjibu wapinzani wamejifanya kukaaa kimya kama Nchi siyo Ya kwao. Hata ile buku saba hapa lumumba imekata.
Ajira za chama zimekata pia, tulizoea kila mwaka sisi vijana makada watiifu kutuma vyeti vyetu kupangiwa kazi afisa tarafa, utendaji wa kijiji, na wale waliosomea msmbo ya uandisi walipangiwa kufanya kazi katika wizara husika. Mimi nilitegea kwa sababau nilitaka kuwa DED, DAS, RAC, DC au RC.
Sasa vyote nimevikosa nimebaki na piga miayo. Wapinzani jamani liamsheni dude ili nasi vijana tuwajibu kwa maneno ili tupate mkate wa kila siku.
Wanajamvi msinichukie hali ni mbaya huku ground, nawasilisha.