Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 10,488
- 20,039
Ukweli unaosemwa kama mzaha.
Labda vijana wa hapo makao makuu ufipani. Mimi nikijana wa ccm ninayoamanii saaanaa.Ilizoeleka tukiwajibu wapinzani ndo tunaonekana zaidi, pia wakati wa uchaguzi tumefanya kampeni kuwapigania wagombea wetu wapite kwa kishindo.Walipita kwa kishindo.
Lakini sasa hali imekuwa ngumu hakuna wa kumjibu wapinzani wamejifanya kukaaa kimya kama Nchi siyo Ya kwao. Hata ile buku saba hapa lumumba imekata.
Ajira za chama zimekata pia, tulizoea kila mwaka sisi vijana makada watiifu kutuma vyeti vyetu kupangiwa kazi afisa tarafa, utendaji wa kijiji, na wale waliosomea msmbo ya uandisi walipangiwa kufanya kazi katika wizara husika. Mimi nilitegea kwa sababau nilitaka kuwa DED, DAS, RAC, DC au RC.
Sasa vyote nimevikosa nimebaki na piga miayo. Wapinzani jamani liamsheni dude ili nasi vijana tuwajibu kwa maneno ili tupate mkate wa kila siku.
Wanajamvi msinichukie hali ni mbaya huku ground, nawasilisha.
Ahhh jamani liamsheni tu ili ulaji wetu urudiTukiliamsha dude mtaweza kulichezea?
Poleni sana wanalumumba... Nawashauri mrudi vijijini kuna mashamba ya kulima
Unaamini katika nini haki,dhulmaLabda vijana wa hapo makao makuu ufipani. Mimi nikijana wa ccm ninayoamanii saaanaa.
Imba mapambio kwanguvu Sana hata sauti yako isikike zaidi ya waimbaji wengine.Huta hitachi hata siiviii.Vipi tunatumaje CV zetu chamani huko, Mana wengine tupo ground Sana mpaka kufikia huko lumumba Ni kazi Sana, tutumie Mbinu gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkalime Sana kwa juhudi kwa kutumia minjino.Tukiliamsha dude mtaweza kulichezea?
Poleni sana wanalumumba... Nawashauri mrudi vijijini kuna mashamba ya kulima
Minjino au meno?Mkalime Sana kwa juhudi kwa kutumia minjino.
Nyie si mpaka mtoke damu ila hali ni mbaya sanaLabda vijana wa hapo makao makuu ufipani. Mimi nikijana wa ccm ninayoamanii saaanaa.
[emoji23] chini kabisa katitupo katika uchumi wa chini kabisa kati.
Nimedhulumiwa ninii, nawakati niko apa town to village nakula bata kwa jasho languuUnaamini katika nini haki,dhulma
Damu gani tumetokwa nawakati tunafanya kazi kwa juhudiii, na noti tunazipataaa kikamilifu na kodi tunalipa kikamilifu ili serikali nayo ipate mapato?Nyie si mpaka mtoke damu ila hali ni mbaya sana
Hata kama ni kwa uimbaji mapambio wewe sema,tu kwani ndipo tulipo fika.Nimedhulumiwa ninii, nawakati niko apa town to village nakula bata kwa jasho languu
Ulipofikia wewe, maana ulizoea vya kunyonga vya kuchinja huweziiiHata kama ni kwa uimbaji mapambio wewe sema,tu kwani ndipo tulipo fika.